Penati ya wazi waliyonyimwa Kagera Sugar dhidi ya Yanga

Penati ya wazi waliyonyimwa Kagera Sugar dhidi ya Yanga

Luc alisema mashabiki wa Utopolo fc ni uneducated, na wanaropoka ka manyani na mbwa koko.
Hakukosea kabisa, Wao wanakua wakwanza kulalamikia marefa, lakini ikitokea lile kosa linawapa faida timu yao hapo hawasemi. Ila lile kosa liwe la kuifadisha timu nyingine tofauti na wao utawaona wanapiga kelele na kufanya propaganda kwa marefa. Sasa unashindwa kuelewa huwa wanapiga kelele ili kuwe na fair kwenye mchezo au kuwe na favour kwenye timu yao.
Kosa la Jana Utopolo mlistahili kuadhibiwa kwa penati ila referee hakuona, hapo ndo favour yenu ilipokuwepo.
Mnapotetea fair kwa marefa muwe wa kweli sio kwa unafiki, maana fair kuna wakati itakugusa hata wewe vile vile unfair kuna siku itakugusa wewe.
 
Sasa unatakaje yaani
IMG_20200830_020057.jpg
 
Luc alisema mashabiki wa Utopolo fc ni uneducated, na wanaropoka ka manyani na mbwa koko.
Hakukosea kabisa, Wao wanakua wakwanza kulalamikia marefa, lakini ikitokea lile kosa linawapa faida timu yao hapo hawasemi. Ila lile kosa liwe la kuifadisha timu nyingine tofauti na wao utawaona wanapiga kelele na kufanya propaganda kwa marefa. Sasa unashindwa kuelewa huwa wanapiga kelele ili kuwe na fair kwenye mchezo au kuwe na favour kwenye timu yao.
Kosa la Jana Utopolo mlistahili kuadhibiwa kwa penati ila referee hakuona, hapo ndo favour yenu ilipokuwepo.
Mnapotetea fair kwa marefa muwe wa kweli sio kwa unafiki, maana fair kuna wakati itakugusa hata wewe vile vile unfair kuna siku itakugusa wewe.
Tuanzie kwako
Simba mkiwa mnacheza na wawa akashika huku refa hajaona
Je utamfata refa na kumwambia atenge tuta mfungwe ili kuendeleza hiyo fair play unayodai?
 
Mna tabia ya kulaumu sana waamuzi wanapofanya makosa ya kawaida kabisa yanayowapa faida Simba inapocheza Simba.Tena kibaya zaidi hamuangalii Simba wanavyofanyiwa na waamuzi wakati mwingine.Unaweza kuta kuna rafu mbaya zinazohitaji hata direct red card lakini mtu hapewi hata yellow.

Sasa tunataka tuwaoneshe kila kosa linalowabeba nyie utopolo,na yako mengi sana.
Kwa mara ya kwanza kwenye historia nimeona mwamuzi kaona mpira umevuka mstari ndani ya goli ila inakuwa conner!

Najua mengi tutayaona kwa vile ni kawaida yenu kubebwa halafu ninyi ndio lia lia hovyo
Tuanzie kwako
Simba mkiwa mnacheza na wawa akashika huku refa hajaona
Je utamfata refa na kumwambia atenge tuta mfungwe ili kuendeleza hiyo fair play unayodai?
 
Mna tabia ya kulaumu sana waamuzi wanapofanya makosa ya kawaida kabisa yanayowapa faida Simba inapocheza Simba.Tena kibaya zaidi hamuangalii Simba wanavyofanyiwa na waamuzi wakati mwingine.Unaweza kuta kuna rafu mbaya zinazohitaji hata direct red card lakini mtu hapewi hata yellow.

Sasa tunataka tuwaoneshe kila kosa linalowabeba nyie utopolo,na yako mengi sana.
Kwa mara ya kwanza kwenye historia nimeona mwamuzi kaona mpira umevuka mstari ndani ya goli ila inakuwa conner!

Najua mengi tutayaona kwa vile ni kawaida yenu kubebwa halafu ninyi ndio lia lia hovyo
Hujajibu swali langu hapo kweli soka la bongo kazi kweli kama mashabiki ndo nyie
 
Tuanzie kwako
Simba mkiwa mnacheza na wawa akashika huku refa hajaona
Je utamfata refa na kumwambia atenge tuta mfungwe ili kuendeleza hiyo fair play unayodai?
Unapoongea hivyo umefikiria hata sheria za mpira zinasemaje kuhusu kuingia uwanjani kwa asiyehusika?
Ungekua unasoma vzr nilichokianda na kuruhusu akili yako bila ushabiki usingeuliza ulichokiuliza. Fair ninayoisema Mimi ni kwa sisi mashabiki kujua kua kuna wakati referee naye ni binadamu anaweza kukosea kutokuona kwa sababu yeye huona tukio Mara moja. Pia ka tunakosoa makosa ya marefa tuwe fair kwa kukosoa bila kujali yameipa faida timu yako. Hiyo ndio fair. Sio referee kakosea kuipa favour timu yako unaanza kutetea ubovu uliyofanyika na referee .tuwe fair kukosoa bila kujali hayo makosa ya referee yameifaidisha timu yako. Kama ni black tuseme black, na kama ni white tuseme ni white. Ilo litasaidia kufikia malengo ya kuifanya Ligi yetu iwe bora
 
Unapoongea hivyo umefikiria hata sheria za mpira zinasemaje kuhusu kuingia uwanjani kwa asiyehusika?
Ungekua unasoma vzr nilichokianda na kuruhusu akili yako bila ushabiki usingeuliza ulichokiuliza. Fair ninayoisema Mimi ni kwa sisi mashabiki kujua kua kuna wakati referee naye ni binadamu anaweza kukosea kutokuona kwa sababu yeye huona tukio Mara moja. Pia ka tunakosoa makosa ya marefa tuwe fair kwa kukosoa bila kujali yameipa faida timu yako. Hiyo ndio fair. Sio referee kakosea kuipa favour timu yako unaanza kutetea ubovu uliyofanyika na referee .tuwe fair kukosoa bila kujali hayo makosa ya referee yameifaidisha timu yako. Kama ni black tuseme black, na kama ni white tuseme ni white. Ilo litasaidia kufikia malengo ya kuifanya Ligi yetu iwe bora
Kwanza wapi nimesema uingie uwanjan kufanya nn kumpiga refa?
Swali ni lile lile kutokana na maoni yako
Na wala sijakosea
Mpira haupo fair kama unavyodai ile ni slogan tu wanaihubiri.
Sasa ili kuthibitisha nakuuliza swali jingine ili twende na hiyo fair play
Team mna mechi ,mchezaji akakatwa ndani ya box
Na refa akapeta je utamwambia refa kuwa huyu mchezaji tumemfanyia madhambi weka penalti iende golini kwetu.?
Ama utapeta ili msifungwe
Kwanini basi usifanye fair na kuomba refa aweke penalti kwan mmefanya madhambi kwenye box...! Bila shaka huwezi hakuna anayependa kupoteza chochote ..

Maumivu huwa ni kwa mtendewa na sio mtenda
 
Kwanza wapi nimesema uingie uwanjan kufanya nn kumpiga refa?
Swali ni lile lile kutokana na maoni yako
Na wala sijakosea
Mpira haupo fair kama unavyodai ile ni slogan tu wanaihubiri.
Sasa ili kuthibitisha nakuuliza swali jingine ili twende na hiyo fair play
Team mna mechi ,mchezaji akakatwa ndani ya box
Na refa akapeta je utamwambia refa kuwa huyu mchezaji tumemfanyia madhambi weka penalti iende golini kwetu.?
Ama utapeta ili msifungwe
Kwanini basi usifanye fair na kuomba refa aweke penalti kwan mmefanya madhambi kwenye box...! Bila shaka huwezi hakuna anayependa kupoteza chochote ..

Maumivu huwa ni kwa mtendewa na sio mtenda
Rudi soma hiyo post yangu ya mwisho ndo ulete hoja zako kulingana na nilichozunguzia mimi.
Mi nazunguzia fair kwenye kukosoa mapungufu ya marefa we unaleta habari zako.
 
Rudi soma hiyo post yangu ya mwisho ndo ulete hoja zako kulingana na nilichozunguzia mimi.
Mi nazunguzia fair kwenye kukosoa mapungufu ya marefa we unaleta habari zako.
Umeshindwa kujibu mkuu kwani nimeongelea nini masumbwi ama nini?
Kubali tu iko hivyo
 
Wazee wa kubebwa mshaedit tayari
 
Mpira ulikowa unanyemelea mkono na kuna site za ubavu.
Pia mchezaji alijitahidi kuzuia kabisa, Ila siku nyingine uende wewe ukawe refa, maana unajua sana sheria hadi za ndoa
Mnavyotetea ujinga hapo. Ikitokea kwa simba oooh wanabebwa ooh refa kahongwa. MKOME kutupilia mikilele yetu
 
Rudi soma hiyo post yangu ya mwisho ndo ulete hoja zako kulingana na nilichozunguzia mimi.
Mi nazunguzia fair kwenye kukosoa mapungufu ya marefa we unaleta habari zako.
Hivi unafikiri unaweza kumwelimisha nyani uneducated
 
Back
Top Bottom