Pendekeza Majina ya Wabunge wapya ambao ungependa waingie Bungeni Hapo Mwakani

Hii nchi kila siku vijana wanaendelea kuwa chawa na kuwapigia upatu watu walewale miaka nenda rudi. Sijaona watu wapya hapo.

Nenda wewe bungeni sio kutaja majina ya watu wanaokula kodi za wananchi ili waendelee kuzitafuna zaidi.
 
Hahaha kwani hicho Unachovuta wanaku changanyiaga na nini 🀣🀣
Hizo comments za jana zote nilikuwa na type nikiwa sehemu nagonga shots πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Naahidi kuwashughulikia wale ngedere wote na mbuni wanaoharibu miundombinu kwenye treni yetu ya umeme
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ na wale wanaokata tiketi ya g/mboto halafu wanapitiliza had Dom
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ na wale wanaokata tiketi ya g/mboto halafu wanapitiliza had Dom
🀣🀣🀣Hiyo deal hata mimi na ubunge wangu tarajiwa nikizipata hizo ticket walahi natembea zangu mpaka mji kasoro bahari
 
Wewe umeshindikanaa Wallah vile 🀣🀣
🀣🀣🀣 Humu ukijifanya timamu utaichosha akili, ni kwenda nao kichale chale huku unagonga shots zako mdogo mdogo…
 
Yaani tukutane pale mjini mapemaaa,na camera ziwe full tukiingia huko ni mwendo wa mipicha tu,tukishuka dodoma wakavuuuπŸ˜…πŸ˜…
Tupande lile lenye karaoke 🎀 tujisnap huku tunavaibika mpaka tukifika dom tuko hoi 🀣🀣

Hebu tufanye kweli nimemiss kuswampa ujue πŸ˜‚πŸ˜‚
Tukitoka dom twende Zanzibar hakuna kutulia
 
Tupande lile lenye karaoke 🎀 tujisnap huku tunavaibika mpaka tukifika dom tuko hoi 🀣🀣

Hebu tufanye kweli nimemiss kuswampa ujue πŸ˜‚πŸ˜‚
Tukitoka dom twende Zanzibar hakuna kutulia
Hiyo inaitwa nginjangija....
Kumbe kuna hadi karioke?je kuna vitu vya kushushia hizo nyimbo?au ndio Fanta orange?
 
Hiyo inaitwa nginjangija....
Kumbe kuna hadi karioke?je kuna vitu vya kushushia hizo nyimbo?au ndio Fanta orange?
Ngoja tumuulize wizzy yeye alishasafiri atuambie πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Countrywide hivi kwenye SGR kuna mvinyo?
Dada anataka kujua hapa..!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…