Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safi hongera kwa kujiamini sio kama hilo li fala lianzisha thread lioshambwa kazi yake kusema wengine ndio wana sifa.Mimi mwenyewe Sexless natakiwa kuwa mbunge Jimbo lolote.
Hizo comments za jana zote nilikuwa na type nikiwa sehemu nagonga shots 😂😂😂Hahaha kwani hicho Unachovuta wanaku changanyiaga na nini 🤣🤣
Bunge litakuwa la moto 😂😂😂Hahahah mate! Kweli kutawaka moto! 😂
😂😂😂 na wale wanaokata tiketi ya g/mboto halafu wanapitiliza had DomNaahidi kuwashughulikia wale ngedere wote na mbuni wanaoharibu miundombinu kwenye treni yetu ya umeme
Wewe umeshindikanaa Wallah vile 🤣🤣Hizo comments za jana zote nilikuwa na type nikiwa sehemu nagonga shots 😂😂😂
🤣🤣🤣Hiyo deal hata mimi na ubunge wangu tarajiwa nikizipata hizo ticket walahi natembea zangu mpaka mji kasoro bahari😂😂😂 na wale wanaokata tiketi ya g/mboto halafu wanapitiliza had Dom
🤣🤣🤣 Humu ukijifanya timamu utaichosha akili, ni kwenda nao kichale chale huku unagonga shots zako mdogo mdogo…Wewe umeshindikanaa Wallah vile 🤣🤣
😂😂😂 weekend moja twende na sie tukapande SGR kwa buku sis mpk Dom🤣🤣🤣Hiyo deal hata mimi na ubunge wangu tarajiwa nikizipata hizo ticket walahi natembea zangu mpaka mji kasoro bahari
Yaani tukutane pale mjini mapemaaa,na camera ziwe full tukiingia huko ni mwendo wa mipicha tu,tukishuka dodoma wakavuuu😅😅😂😂😂 weekend moja twende na sie tukapande SGR kwa buku sis mpk Dom
Tupande lile lenye karaoke 🎤 tujisnap huku tunavaibika mpaka tukifika dom tuko hoi 🤣🤣Yaani tukutane pale mjini mapemaaa,na camera ziwe full tukiingia huko ni mwendo wa mipicha tu,tukishuka dodoma wakavuuu😅😅
Hiyo inaitwa nginjangija....Tupande lile lenye karaoke 🎤 tujisnap huku tunavaibika mpaka tukifika dom tuko hoi 🤣🤣
Hebu tufanye kweli nimemiss kuswampa ujue 😂😂
Tukitoka dom twende Zanzibar hakuna kutulia
Ngoja tumuulize wizzy yeye alishasafiri atuambie 😂😂😂Hiyo inaitwa nginjangija....
Kumbe kuna hadi karioke?je kuna vitu vya kushushia hizo nyimbo?au ndio Fanta orange?
Sijapanda😂😂😂Ngoja tumuulize wizzy yeye alishasafiri atuambie 😂😂😂
Countrywide hivi kwenye SGR kuna mvinyo?
Dada anataka kujua hapa..!!
Acha uongo, warumi 😂😂Sijapanda😂😂😂
Nikienda Dom napanda shabiby😂😂Acha uongo, warumi 😂😂
Sio champion 🤣🤣Nikienda Dom napanda shabiby😂😂
Kweli tubeless kabisa na glass zetu,muulize vizuri bwanaSio champion 🤣🤣
Bhana em tuambie km mvinyo upo au tunaruhusiwa kubeba yetu?
Tunataka kwenda kweli na sisy Joha..!