Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 12,893
- 20,089
Na mie acha nifungue kanisa liitwe senti MagufuliIli kumuenzi hayati John Magufuli kwa kazi zake nzuri za ujenzi , Kipande cha Barabara ya Kimara hadi Kibaha kibadilishwe jina kutoka morogoro road na kiitwe MAGUFULI HIGHWAY.
Hii itaacha kumbukumbu kwa vizazi vijavyo ma pia itaonyesha kudhamini mchango wake hasa kwenye ujenzi wa miundo Mbinu.
Tunaomba rais pamoja na baraza lako ulifikirie hilo. View attachment 2593330
SamwalekoHuo ni ujinga. Ibaki kwa jina lake Morogoro lililoweleka toka enzi na enzi.
Msituletee mambo ya kishamba hapa.
Ili kumuenzi hayati John Magufuli kwa kazi zake nzuri za ujenzi , Kipande cha Barabara ya Kimara hadi Kibaha kibadilishwe jina kutoka morogoro road na kiitwe MAGUFULI HIGHWAY.
Hii itaacha kumbukumbu kwa vizazi vijavyo ma pia itaonyesha kudhamini mchango wake hasa kwenye ujenzi wa miundo Mbinu.
Tunaomba rais pamoja na baraza lako ulifikirie hilo. View attachment 2593330
Mbona zipo alizojenga kule Chato.Ili kumuenzi hayati John Magufuli kwa kazi zake nzuri za ujenzi , Kipande cha Barabara ya Kimara hadi Kibaha kibadilishwe jina kutoka morogoro road na kiitwe MAGUFULI HIGHWAY.
Hii itaacha kumbukumbu kwa vizazi vijavyo ma pia itaonyesha kudhamini mchango wake hasa kwenye ujenzi wa miundo Mbinu.
Tunaomba rais pamoja na baraza lako ulifikirie hilo. View attachment 2593330
Na walioijenga hiyo barabara kabla ya shetani lenu la Chattle tunawaenzi vp?Ili kumuenzi hayati John Magufuli kwa kazi zake nzuri za ujenzi , Kipande cha Barabara ya Kimara hadi Kibaha kibadilishwe jina kutoka morogoro road na kiitwe MAGUFULI HIGHWAY.
Hii itaacha kumbukumbu kwa vizazi vijavyo ma pia itaonyesha kudhamini mchango wake hasa kwenye ujenzi wa miundo Mbinu.
Tunaomba rais pamoja na baraza lako ulifikirie hilo. View attachment 2593330
Wazo zuriIli kumuenzi hayati John Magufuli kwa kazi zake nzuri za ujenzi , Kipande cha Barabara ya Kimara hadi Kibaha kibadilishwe jina kutoka morogoro road na kiitwe MAGUFULI HIGHWAY.
Hii itaacha kumbukumbu kwa vizazi vijavyo ma pia itaonyesha kudhamini mchango wake hasa kwenye ujenzi wa miundo Mbinu.
Tunaomba rais pamoja na baraza lako ulifikirie hilo. View attachment 2593330
Pesa ni za walipa kodi, dont pretend you dont know. You are loosing touch with reality, the deceased was a lunaticMagufuli ni kama maji, utayanywa tuu.. unatembeza kigali chako cha mil 10 kwa madaha kwenye barabara nzuri iliyojengwa na unaye mchukie bila hat sababu, kisa tuu alikukatia mirija ya wizi..
Poti zile ni kodi zetu na zimejengwa na Tanzania sio mtu mmoja.Magufuli ni kama maji, utayanywa tuu.. unatembeza kigali chako cha mil 10 kwa madaha kwenye barabara nzuri iliyojengwa na unaye mchukie bila hat sababu, kisa tuu alikukatia mirija ya wizi..
Jambo jema kabisaIli kumuenzi hayati John Magufuli kwa kazi zake nzuri za ujenzi , Kipande cha Barabara ya Kimara hadi Kibaha kibadilishwe jina kutoka morogoro road na kiitwe MAGUFULI HIGHWAY.
Hii itaacha kumbukumbu kwa vizazi vijavyo ma pia itaonyesha kudhamini mchango wake hasa kwenye ujenzi wa miundo Mbinu.
Tunaomba rais pamoja na baraza lako ulifikirie hilo. View attachment 2593330
Naibaje hela za umma wakati niko kitaa?Acha wizi wa pesa za umma, utakua na maisha mazuri tuu..