roadmaster
JF-Expert Member
- Mar 21, 2023
- 1,609
- 2,751
Dada angu hii nchi Ina washamba mno!! Hawaamini kama mungu wao kafaHuo ni ujinga. Ibaki kwa jina lake Morogoro lililoweleka toka enzi na enzi.
Msituletee mambo ya kishamba hapa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dada angu hii nchi Ina washamba mno!! Hawaamini kama mungu wao kafaHuo ni ujinga. Ibaki kwa jina lake Morogoro lililoweleka toka enzi na enzi.
Msituletee mambo ya kishamba hapa.
Au ibakie namba yake Motorway one au number one.Hii barabara iitwe dar moro highway!! Kama ilivyo Ile ya Kenya Nairobi Mombasa highway!! Au aThika road !!! Jamani acheni ushamba wasukuma mtazidi kudharaulika
Mimi sio fisad ila jamaa ni mwamba fekiMafisadi hayataki hata kumsikia huyu mwamba baada ya kuyapa supana kwa miaka kadhaa ,sasa yanamtungia vitabu vya kumchafua, sina uhakika kama yanaona zuri hata moja toka kwake.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji1787][emoji1787] Mkuu, asante kwa kiburudisho hichi.
Hii sio Barabara ya mtaa kwamba unaweza ita jina lolote la kienyeji , Bali Barabara kuu ya Tanzam highway class one T1.Ili kumuenzi hayati John Magufuli kwa kazi zake nzuri za ujenzi, Kipande cha Barabara ya Kimara hadi Kibaha kibadilishwe jina kutoka morogoro road na kiitwe MAGUFULI HIGHWAY.
Hii itaacha kumbukumbu kwa vizazi vijavyo ma pia itaonyesha kudhamini mchango wake hasa kwenye ujenzi wa miundo Mbinu.
Tunaomba rais pamoja na baraza lako ulifikirie hilo.
View attachment 2593330
wasiojua kuandika pia ni wajinga.Nawajinga
SwadaktaIli kumuenzi hayati John Magufuli kwa kazi zake nzuri za ujenzi, Kipande cha Barabara ya Kimara hadi Kibaha kibadilishwe jina kutoka morogoro road na kiitwe MAGUFULI HIGHWAY.
Hii itaacha kumbukumbu kwa vizazi vijavyo ma pia itaonyesha kudhamini mchango wake hasa kwenye ujenzi wa miundo Mbinu.
Tunaomba rais pamoja na baraza lako ulifikirie hilo.
View attachment 2593330
Jina linalo wekwa nila LEGEND, ambaye hakuna Rais wa nchi hii amewahi kufanya mambo makubwa kama yeye.. kwa miaka 5 amefanya mambo ambayo Marais wote yaliwashinda.Hii sio Barabara ya mtaa kwamba unaweza ita jina lolote la kienyeji , Bali Barabara kuu ya Tanzam highway class one T1.
Hayo majina kaite kwenye Barabara za mtaani kwenu.
Nimekwambia huo ujinga peleka kwenu, Highway Huwa haziitwi majina ya kienyejiJina linalo wekwa nila LEGEND, ambaye hakuna Rais wa nchi hii amewahi kufanya mambo makubwa kama yeye.. kwa miaka 5 amefanya mambo ambayo Marais wote yaliwashinda.
MAGUFULI HIGHWAY LOOKS GOOD
Legend fake aliogopa hata kusafiri ....lugha gonganaNi Legend