Pendekezo: Barabara ya Kimara-Kibaha iitwe Magufuli Highway

Pendekezo: Barabara ya Kimara-Kibaha iitwe Magufuli Highway

Hii barabara iitwe dar moro highway!! Kama ilivyo Ile ya Kenya Nairobi Mombasa highway!! Au aThika road !!! Jamani acheni ushamba wasukuma mtazidi kudharaulika
Au ibakie namba yake Motorway one au number one.
 
Mafisadi hayataki hata kumsikia huyu mwamba baada ya kuyapa supana kwa miaka kadhaa ,sasa yanamtungia vitabu vya kumchafua, sina uhakika kama yanaona zuri hata moja toka kwake.
Mimi sio fisad ila jamaa ni mwamba feki
 
Hii barabara iitwe dar moro highway!! Kama ilivyo Ile ya Kenya Nairobi Mombasa highway!! Au aThika road !!! Jamani acheni ushamba wasukuma mtazidi kudharaulika
MUGUFULI HIGHWAY ITANOGA ZAIDI
 
Ili kumuenzi hayati John Magufuli kwa kazi zake nzuri za ujenzi, Kipande cha Barabara ya Kimara hadi Kibaha kibadilishwe jina kutoka morogoro road na kiitwe MAGUFULI HIGHWAY.

Hii itaacha kumbukumbu kwa vizazi vijavyo ma pia itaonyesha kudhamini mchango wake hasa kwenye ujenzi wa miundo Mbinu.

Tunaomba rais pamoja na baraza lako ulifikirie hilo.
View attachment 2593330
Hii sio Barabara ya mtaa kwamba unaweza ita jina lolote la kienyeji , Bali Barabara kuu ya Tanzam highway class one T1.

Hayo majina kaite kwenye Barabara za mtaani kwenu.
 
Ili kumuenzi hayati John Magufuli kwa kazi zake nzuri za ujenzi, Kipande cha Barabara ya Kimara hadi Kibaha kibadilishwe jina kutoka morogoro road na kiitwe MAGUFULI HIGHWAY.

Hii itaacha kumbukumbu kwa vizazi vijavyo ma pia itaonyesha kudhamini mchango wake hasa kwenye ujenzi wa miundo Mbinu.

Tunaomba rais pamoja na baraza lako ulifikirie hilo.
View attachment 2593330
Swadakta
 
Hii sio Barabara ya mtaa kwamba unaweza ita jina lolote la kienyeji , Bali Barabara kuu ya Tanzam highway class one T1.

Hayo majina kaite kwenye Barabara za mtaani kwenu.
Jina linalo wekwa nila LEGEND, ambaye hakuna Rais wa nchi hii amewahi kufanya mambo makubwa kama yeye.. kwa miaka 5 amefanya mambo ambayo Marais wote yaliwashinda.
 
Jina linalo wekwa nila LEGEND, ambaye hakuna Rais wa nchi hii amewahi kufanya mambo makubwa kama yeye.. kwa miaka 5 amefanya mambo ambayo Marais wote yaliwashinda.
Nimekwambia huo ujinga peleka kwenu, Highway Huwa haziitwi majina ya kienyeji
 
Mnakera sana na hayo majina yenu.

Unaweza ita hata Choo chako Hilo.
 
Back
Top Bottom