Iite nyumba yakoIli kumuenzi hayati John Magufuli kwa kazi zake nzuri za ujenzi , Kipande cha Barabara ya Kimara hadi Kibaha kibadilishwe jina kutoka morogoro road na kiitwe MAGUFULI HIGHWAY.
Hii itaacha kumbukumbu kwa vizazi vijavyo ma pia itaonyesha kudhamini mchango wake hasa kwenye ujenzi wa miundo Mbinu.
Tunaomba rais pamoja na baraza lako ulifikirie hilo. View attachment 2593330
Nyumba yako iandike madufuli houseIli kumuenzi hayati John Magufuli kwa kazi zake nzuri za ujenzi , Kipande cha Barabara ya Kimara hadi Kibaha kibadilishwe jina kutoka morogoro road na kiitwe MAGUFULI HIGHWAY.
Hii itaacha kumbukumbu kwa vizazi vijavyo ma pia itaonyesha kudhamini mchango wake hasa kwenye ujenzi wa miundo Mbinu.
Tunaomba rais pamoja na baraza lako ulifikirie hilo. View attachment 2593330
Mbona nilisikia kuwa Chadema imekufa,kwani wewe bila kuitaja Chadema basi siku hiyo hulipwi? Mkuu kuna ACT tena iko hai achana na ChademaBavicha watakwambia iitwe gaidi highway
Sonona itawaua nyie Sukuma gang, kwani msikubali tu matokeo kuwa mungu wenu kafa na mwisho wenu umekuwa wa aibu na kamwe hamtokuja tena kushika madaraka ya juu.Hatujawahi kuwa na Rais mchapakazi namna ile, anayeshinda site na kuipitia hata ile miradi tuliyoidharau na kuiona midogo, hilo moja ni la kuenziwa na nitamkumbuka kwalo!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Magufuli anapendwa sana.
mmemkili alafu mnajifanya eti mungu kaamua ugomvi,mnajiona Mayele au mnajiona Baleke wauwaji,wao na kipa awakosi![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Anapendwa mno na watu dizain yako
Hapana mkuu hakuna kitu kama hichoMkuu hivi huko Uingereza pia mabarbara pia huitwa majina ya Wanasiasa wasiopendwa na Wananchi?
Hahaaaha ngoshaaaaa mkono wa Shweta wakuwashaaaa hahahaaaaa !!! Nje ya mada jiwe hakutosha hata umtetee vipi aisee!!Bavicha watakwambia iitwe gaidi highway
Wazeee wa kulinda kaburiHatujawahi kuwa na Rais mchapakazi namna ile, anayeshinda site na kuipitia hata ile miradi tuliyoidharau na kuiona midogo, hilo moja ni la kuenziwa na nitamkumbuka kwalo.
Hii barabara iitwe dar moro highway!! Kama ilivyo Ile ya Kenya Nairobi Mombasa highway!! Au aThika road !!! Jamani acheni ushamba wasukuma mtazidi kudharaulikaIli kumuenzi hayati John Magufuli kwa kazi zake nzuri za ujenzi, Kipande cha Barabara ya Kimara hadi Kibaha kibadilishwe jina kutoka morogoro road na kiitwe MAGUFULI HIGHWAY.
Hii itaacha kumbukumbu kwa vizazi vijavyo ma pia itaonyesha kudhamini mchango wake hasa kwenye ujenzi wa miundo Mbinu.
Tunaomba rais pamoja na baraza lako ulifikirie hilo.
View attachment 2593330
😆🤣🤣 Mkuu, asante kwa kiburudisho hichi.Kutafuta misifa ya kijinga
NawajingaMagufuli anapendwa sana.