Pendekezo: Francis Mutungi na Sisty Nyahyoza waondolewe Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, wametumika kupandikiza migogoro kwenye vyama vya siasa

Wanafanya kazi kwa matakwa ya bosi wao ili kumfurahisha
Kila mtu ana boss wake, Mungu pekee ndiye hana boss. Tumeona Tume ua Uchaguzi ya Kenya inavyoteuliwa na boss na kumsikiliza boss, kura zikapigwa 4-3 lakini wachache ndiyo wakashinda. Wewe una shida na Shoza kwa kukukatalia hoja zako za kigaidi au kikabila, nenda Kenya ujifunze unyenyekevu.
 
Hawa jamaa ingekuwa nchi kama Kenya tungekuwa tulishaanua matanga yao siku nyingi! Ni upumbavu mtupu!
 
WANATEKELEZA MAAGIZO
 
CHADEMA msitake kutuendesha EBO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…