Wewe akili huna na bila shaka yawezekana humjui baba yako mzazi na mazingira uliyokulia yanajionesha kupitia hizi comment zako... Au yawezekana wewe ni mmoja ya wanaume ambaye mmezoea kuwapa mimba wake za watu na mna watoto wenu kwenye ndoa za watu na ndio maana hii mada imekuchoma sana.Wamarekani wajinga tu hata ndoa zao za mikataba
Waafrika tunaamini kitanda hakizai haramu
Huo upumbavu ubakie huko huko marekani