Pendekezo: Itungwe sheria ya upimaji wa DNA kwa mtoto. Sheria iwe lazima pindi tu mtoto anapozaliwa

Pendekezo: Itungwe sheria ya upimaji wa DNA kwa mtoto. Sheria iwe lazima pindi tu mtoto anapozaliwa

Wamarekani wajinga tu hata ndoa zao za mikataba

Waafrika tunaamini kitanda hakizai haramu
Huo upumbavu ubakie huko huko marekani
Wewe akili huna na bila shaka yawezekana humjui baba yako mzazi na mazingira uliyokulia yanajionesha kupitia hizi comment zako... Au yawezekana wewe ni mmoja ya wanaume ambaye mmezoea kuwapa mimba wake za watu na mna watoto wenu kwenye ndoa za watu na ndio maana hii mada imekuchoma sana.
 
Wewe akili huna na bila shaka yawezekana humjui baba yako mzazi na mazingira uliyokulia yanajionesha kupitia hizi comment zako... Au yawezekana wewe ni mmoja ya wanaume ambaye mmezoea kuwapa mimba wake za watu na mna watoto wenu kwenye ndoa za watu na ndio maana hii mada imekuchoma sana.
Wewe ndio akili huna mtoto umelea miaka 30 unaambiwa sio wako unawaka akili zimo? Cheti cha kuzaliwa kinasomeka jina lako kesi ndogo hiyo mbona

Hakuna cha DNA wala nini hao ni watoto wako full stop. Unaenda kupima DNA ya nini si ujinga tu huo
 
Kwa taarifa yako kwetu kwa upande wa kaka tuna watoto wawili wazungu.mapacha wakati sisi weusi tulikubali kama watoto wetu kuwa kitanda hakizai haramu

Tukasema hao watoto wanafanana na bibi mzaa bibi wa bibi wa bibi alikuwa mzungu tukataifisha .Tukawa tunakisubiri kitokee kidume koko kijitokeze kiseme hao ni watoto wake tukionyeshe cha mtema kuni.Tukasema hakuna cha DNA wala nini ni watoto wetu wa ndani ya ndoa

Tunafurahi kwenye familia yetu tuna wazungu watoto wetu
Kwa huo ujasiri wao una uwezo wa kuishi hata jahanam
 
Mkuu hiyo italeta maafa mazito katika Taifa! Twende hivi hivi tu,Mwanamme unachopaswa kufanya ni kuhakikisha mtoto akizaliwa anaandikishwa kwa Jina lako.
Wewe mtambue hivyo hivyo kuwa ni mtoto wako.
Labda kama mke alizaa na Muhindi au Mzungu au Albino na kisha akazaliwa mtoto wa jinsi hiyo,hapo ni Talaka bila rejea.
 
Kwa kweli wanawake wenye roho za kishetani wanatufanyia sana ushetani kwenye hili....dah!!😂😂😂
Kitendo Cha serikali kusema eti kikitoa majibu ya kweli ya DNA test kitapelekea ndoa nyingi kuparanganyika, hapo ni kuwapa uhuru wa Moja kwa Moja wanawake kuchepuka watakavyo na kisha kuwaleta watoto wa nje kwenye ndoa zao na kuwalazimisha waume zao wabebe majukumu yote ya malezi ya watoto hao bila bugudha ya aina yoyote ile.

Ndio maana siku hizi wanawake wanachagua waolewe na nani na pia watoto wao wazae na nani, sababu hawana hofu yoyote ile ya maamuzi yao so serikali tayari imeshawapa kinga..?
 
Hii wanawake ni chungu mno kwao. Ikipitishwa ndoa hazitadumu nyingi mno.

Kuna jamaa mtoto wa baba mdogo mke kazalishwa na ka msela tu na anamsomesha shule za ghalama sana daah Yani siku akijua ataua mtu
Nasi ishatuwia ngumu kumwambia asee
Mbaya zaidi siku za mbeleni baada ya huyo mototo kuwa mtu mzima na huyo baba yake mlezi(social father) kuwa ameshajichokea... Mama mzazi wa huyo dogo atamkutanisha nwanae na baba yake mzazi na yeye ndio anaenda kufaidi matunda ya huyo dogo, huku huyo baba mlezi akibaki kwenye depression....
 
Kupima DNA ni unyanyasaji wa mtoto
Fikiria umekua umelelewa na baba na mama ukiwajua hao ndio wazazi waliokuzaa halafu unafika miaka 30 unaambiwa ukapimwe DNA huyo aliyepo sio baba yako
Haikubaliki hata kwa mtoto ni unyanyasaji wa watoto kimeili,kiroho ,kiakili na kihisia

Ni kumuumiza mtoto

Vizuri abaki hivyo hivyo akijua baba yake ndie huyo aliyepi sio huyo kibaka anayeibuka mtoto akiwa na miaka 30

Ni hatari mtoto anayejielewa aweza ua huyo kibaka kuwa miaka yote ulikuwa wapi nyoko wewe leo ndio unajitokeza baada ya kuona nimekua
 
Mbaya zaidi siku za mbeleni baada ya huyo mototo kuwa mtu mzima na huyo baba yake mlezi(social father) kuwa ameshajichokea... Mama mzazi wa huyo dogo atamkutanisha nwanae na baba yake mzazi na yeye ndio anaenda kufaidi matunda ya huyo dogo, huku huyo baba mlezi akibaki kwenye depression....
Shida kubwa ni hata kwenye mahafari ya darasa la Saba jamaa alienda maana huyu bro aliyezalishiwa alikuwa kazini siku hiyo!! Nina uhakika mtoto atajurishwa muda sio mrefu kuwa huyu ndo babako na vile mtoto ni ke hatacheleweshwa kuambiwa
 
Mkuu hiyo italeta maafa mazito katika Taifa! Twende hivi hivi tu,Mwanamme unachopaswa kufanya ni kuhakikisha mtoto akizaliwa anaandikishwa kwa Jina lako.
Wewe mtambue hivyo hivyo kuwa ni mtoto wako.
Labda kama mke alizaa na Muhindi au Mzungu au Albino na kisha akazaliwa mtoto wa jinsi hiyo,hapo ni Talaka bila rejea.
Unalea mtoto kwa taaabu, Halafu baada ya miaka mitano mama mtu Tena kwa kujiamini kabisa anakwambia "huyu mtoto sio wako" na hapo unakuta umejinyima kufanya mambo Kibao... Halafu kirahisi rahisi tu unakuja kuambiwa huyo mtoto hakuhusu serious?

Hivi nyie wenzangu mnafikiri kwa kutumia kiuongo gani?? Yaani hamfikiri kabisa mental damage inayoweze kumkuta mwanaume kutokana na paternity fraud? Au ndio Yuko katika nyakati ambazo mwanaume ni kama gogo tu lolote baya likimkuta ni sawa tu?
 
Hilo neno unasomesha mtoto had chuo kikuu kumbe sio wako afu backstage mama mtu kashamjulisha na kumtambulisha mtoto kwa baba ake halisi nyie msione tu matukio ya hovyo yanatokea watu wanapata maumivu makali sana naunga mkono hoja biashara iwe mapema tu unapeleka mzgo kwa muhusika
 
Mkuu hiyo italeta maafa mazito katika Taifa! Twende hivi hivi tu,Mwanamme unachopaswa kufanya ni kuhakikisha mtoto akizaliwa anaandikishwa kwa Jina lako.
Wewe mtambue hivyo hivyo kuwa ni mtoto wako.
Labda kama mke alizaa na Muhindi au Mzungu au Albino na kisha akazaliwa mtoto wa jinsi hiyo,hapo ni Talaka bila rejea.
Ni sawasawa na kupewa gari la uwizi wakati alienunua ni mwingine.
Hiyo kitu ya kufumbia macho hili jambo ndio inafanya mwanaume azidi kuumizwa tena na tena ikiwemo kubambikiwa

What if kuna uwezekani wa kuzuia hilo mapema?
 
Shida kubwa ni hata kwenye mahafari ya darasa la Saba jamaa alienda maana huyu bro aliyezalishiwa alikuwa kazini siku hiyo!! Nina uhakika mtoto atajurishwa muda sio mrefu kuwa huyu ndo babako na vile mtoto ni ke hatacheleweshwa kuambiwa
Basi wakati wanamfanyia huo ukatili wa kisaikolojia wawe making sana huyo mtoto wao asije akapewa chocolate na baba yake mlezi(social father) ambayo ndani yake imetiwa Pollonium 201 akaja kufa baada ya miezi tisa baadae.

Kuna wanaume baadhi tukipigwa na tukio zito kama Hilo huwa tunaona ni heri tukose wote, kwanzia wewe baba mzazi, mama mtu na Mimi mwenyewe.
 
Back
Top Bottom