Ushora Ndago,
..Nakubaliana na wewe kwamba Kiswahili pia kinatakiwa kupewa msukumo.
..Sasa hivi kumeibuka kundi kubwa la vijana waliohitimu masomo lakini hawazungumzi Kiswahili fasaha.
..Vilevile wako wanaozungumza Kiswahili fasaha lakini uwezo wao wa kujenga hoja na kuwasiliana ni mdogo ukilinganisha na kiwango cha elimu walichohitimu.
..Kwa ujumla tunatakiwa tuboreshe ufundishaji wa KISWAHILI na KIINGEREZA na iwe " must " kwa wahitimu wetu kuzungumza lugha hizo kwa UFASAHA.
..Nakubaliana na wewe kwamba Kiswahili pia kinatakiwa kupewa msukumo.
..Sasa hivi kumeibuka kundi kubwa la vijana waliohitimu masomo lakini hawazungumzi Kiswahili fasaha.
..Vilevile wako wanaozungumza Kiswahili fasaha lakini uwezo wao wa kujenga hoja na kuwasiliana ni mdogo ukilinganisha na kiwango cha elimu walichohitimu.
..Kwa ujumla tunatakiwa tuboreshe ufundishaji wa KISWAHILI na KIINGEREZA na iwe " must " kwa wahitimu wetu kuzungumza lugha hizo kwa UFASAHA.