Kuwepo na idara ya kusajili "Private bureaus of investigation"Tanzania Bureau of Investigation(TBI) ipo miaka mingi sana, ukienda ghorofa ya Saba wizara ya mambo ya ndani Dar utawakuta hapo wamejaaa na kazi wanapiga sanaaa.
Wa polisi ni ma CID, na wao wanafanya kazi nzuri sana.
Endelea kuwa bize...Mkuu tuko busy na NOEL/X-Mass. Unaonaje ukaenda ukawauliza Mahakama na Polisi??
Wakati mwingine jitofautishe na mbwa wa kufugwa.Mkuu tuko busy na NOEL/X-Mass. Unaonaje ukaenda ukawauliza Mahakama na Polisi??
Wakati mwingine kapate bia mbili tatu upunguze stress za siasa mkuu!!Endelea kuwa bize...
Hela ya hizo bia ndiyo tatizo... SINA.Wakati mwingine kapate bia mbili tatu upunguze stress za siasa mkuu!!
Hopeless leo tuko busy na sikukuu nyinyi mko busy na siasa tuuuu!! Leo Yesu Kazaliwa mtuachee!!
Njoo Mbezi Beach upate mbili au tatu mkuu.Hela ya hizo bia ndiyo tatizo... SINA.
Yesu ndiye mtu maarufu zaidi kupambana na hila za wanasiasa. Kuzaliwa kwake hakuui siasa bali kunazifanya ziwe za kupigania haki zaidi. Au unamzungumzia Yesu yupi?Leo Yesu Kazaliwa mtuachee!!
Yesu ninayemwamini mimi.Yesu ndiye mtu maarufu zaidi kupambana na hila za wanasiasa. Kuzaliwa kwake hakuui siasa bali kunazifanya ziwe za kupigania haki zaidi. Au unamzungumzia Yesu yupi?
Sheria haisemi hivyo bali imeweka utaratibu wa kushughulikia jinai mkuuUkweli mtupu kwa asilimia 100
Inakuwaje mathalani kwa kesi ya kutakatisha pesa na uhujumu uchumi ya Kabendera, hivi sasa ni miezi sifa, kila ifikapo mahakamani Polisi wanadai kuwa upelelezi haujakamika!
Mahakama inapaswa izitupilie mbali kesi hizo za "kubambika" wanazoleta hao Polisi kwa nia ya kuwakomoa watuhumiwa, huku wakijua fika kuwa mashitaka hayo hayana dhamana
We jamaa niazime laki basi nina shida sana..Njoo Mbezi Beach upate mbili au tatu mkuu.
Tofauti na yule aliyewaita Mafarisayo na Masadukayo kwamba ni wanafiki?Yesu ninayemwamini mimi.
Sheria inasemaje?Sheria haisemi hivyo bali imeweka utaratibu wa kushughulikia jinai mkuu
Njoo uchukue hapa Mbezi mkuu
Kitendo cha Polisi na waendesha mashtaka wa serikali kuendelea kupeleka watuhumiwa mahakamani bila ya kuwa na ushahidi wa kutosha dhidi ya tuhuma zao ni kuidharau mahakama? Kwani nini wapeleke watu mahakamani kisha waseme kuwa ushahidi haujakamilika?