Kasome sheria ya utakatishaji wa pesa imeweka masharti ya uendeshaji wa kesi za aina hiyo mkuu!!Sheria inasemaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kasome sheria ya utakatishaji wa pesa imeweka masharti ya uendeshaji wa kesi za aina hiyo mkuu!!Sheria inasemaje?
Mwongozo upi mkuu?Mahakama nayo imekubali kuendeshwa na siasa. Hawafuati mongozo tena
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwamba unaweza kumpeleka mtu mahakamani bila ya kuwa na ushahidi wa kutosha?Kasome sheria ya utakatishaji wa pesa imeweka masharti ya uendeshaji wa kesi za aina hiyo mkuu!!
Nitumie kwa mpesa basi! Nikupe namba?Njoo uchukue hapa Mbezi mkuu
Siku yatakapomgusa yeye ( na yatamgusa tu kwa uwezo.wa bwana mwenye mbingu) ndio itamuingia akilini. Kwa sasa naona ana akili za kumwita dada kumwambia kama anataka kwenda ku poo tu!Endelea kuwa bize...
Usimsumbue mwanasheria wetu kwenye mjadala huu. Alikuwa bize na Noel kaja hapa kwa dharura tu!!
Sheria haiwezi kusema hivyo. Kumbuka kama hakuna kesi ya kupelekwa mahakamani hata hizo mahakama hazitakuwa na umuhimu wa kuwepo, hata mahakimu/Majaji hawataajiriwa mkuu. Sheria zote zinasisitiza kupeleka watuhumiwa mahakamani ndiyo maana zinasema ndani ya masaa 24.Kwamba unaweza kumpeleka mtu mahakamani bila ya kuwa na ushahidi wa kutosha?
Kitendo cha Polisi na waendesha mashtaka wa serikali kuendelea kupeleka watuhumiwa mahakamani bila ya kuwa na ushahidi wa kutosha dhidi ya tuhuma zao ni kuidharau mahakama? Kwani nini wapeleke watu mahakamani kisha waseme kuwa ushahidi haujakamilika?
Mimi na mahakama ni pete na kidole mkuu! Nafanyakazi huko huko mkuuSiku yatakapomgusa yeye ( na yatamgusa tu kwa uwezo.wa bwana mwenye mbingu) ndio itamuingia akilini. Kwa sasa naona ana akili za kumwita dada kumwambia kama anataka kwenda ku poo tu!
Yote mawili ni kosa kisheria na kama mahakama ingekuwa imara isingeendelea na hizo kesi zinazopelekwa mahakamani bila ya kuwa na ushahidi toshelevu au watuhumiwa walikamatwa na kushikiliwa na Polisi kinyume na sheria.Tukikaa nao ili tukamilishe ushahidi mnalazimisha tuwapeleke mahakamani,.dawa.ni moja tu ML
Sheria yako wewe kada wa Lumumba ndiyo haisemi hivyoSheria haisemi hivyo bali imeweka utaratibu wa kushughulikia jinai mkuu
Pia kuna sheria ya kukamata mtu, huwezi kukamata mtu kama huna ushahidi wa kutosha na hizo saa 24 zimewekwa kuifanya Polisi isikamate watu hovyo.Sheria zote zinasisitiza kupeleka watuhumiwa mahakamani ndiyo maana zinasema ndani ya masaa 24.
We jamaa nijibu kule..Mimi na mahakama ni pete na kidole mkuu! Nafanyakazi huko huko mkuu
Mkuu Mahakama itajuaje kama Polisi wamembambikia kesi mtu bila kuisikiliza hiyo kesi? Pia sheria inaruhusu kuishitaki Serikali kama umeonewa na Polisi kwa kubambikiwa kesi. Acha siasa mkuu.Sheria yako wewe kada wa Lumumba ndiyo haisemi hivyo
Hivi inakuwaje mahakama iendelee ku-entertain kesi hizo, huku ikijulikana wazi kuwa Polisi wamembambikia mtu huyo hoyo kesi kwa lengo tu la kumkomoa?
Unaongea mambo yanayopingana na sheria. Ili mtu aseme kabambikiwa kesi si lazima kwanza kesi ianze kusikilizwa, sasa haisikilizwi kwa kuwa polisi wanasema "Ushahidi haujakamilika". Mtu atasemaje kuwa amebambikiwa kesi kama kesi yenyewe haisikilizwi kwa kuwa ushahidi haujakamilika?Mkuu Mahakama itajuaje kama Polisi wamembambikia kesi mtu bila kuisikiliza hiyo kesi? Pia sheria inaruhusu kuishitaki Serikali kama umeonewa na Polisi kwa kubambikiwa kesi. Acha siasa mkuu.
Hahaha Wakili msomi unanisikitisha sana unaposema eti mtuhumiwa anakamatwa tu ukiwa na ushahidi wa kutosha! Ingekuwa hivyo then kusingekuwa na haja ya upelelezi baada ya mtuhumiwa kukamatwa. Sijawahi ona ama kusikia hata huko mataifa makubwa yaliyoendelea kama mtuhumiwa hukamatwa tu na kufikishwa mahakamani na kesi ikaanza kusikilizwa hasa kwenye kesi hizi za Money Laundering na Cyber Crime.Pia kuna sheria ya kukamata mtu, huwezi kukamata mtu kama huna ushahidi wa kutosha na hizo saa 24 zimewekwa kuifanya Polisi isikamate watu hovyo.
Maana yake ukimkamata mtu ni LAZIMA uwe na ushahidi umpeleke mahakamani ama kama huna umwachie ndani ya hizo saa 24. Sawa wakili msomi?
Hali ndiyo hiyo sasa na sheria ndiyo hizo! Unashauri nini sasa Wakili Msomi.Unaongea mambo yanayopingana na sheria. Ili mtu aseme kabambikiwa kesi si lazima kwanza kesi ianze kusikilizwa, sasa haisikilizwi kwa kuwa polisi wanasema "Ushahidi haujakamilika". Mtu atasemaje kuwa amebambikiwa kesi kama kesi yenyewe haisikilizwi kwa kuwa ushahidi haujakamilika?
Jambo jingine huwezi kuishtaki serikali kabla kesi haijaisha. Sasa kama kesi haisikilizwi itakwisha lini ili serikali ishitakiwe kwa kubambika kesi raia wake?
Yesu hana uhusiano na Wanyang'anyi.Hopeless leo tuko busy na sikukuu nyinyi mko busy na siasa tuuuu!! Leo Yesu Kazaliwa mtuachee!!
Kwanza ni kwa nini kesi hizo za utakatishaji fedha na makosa ya kimtandao zisiwe na dhamana?Sijawahi ona ama kusikia hata huko mataifa makubwa yaliyoendelea kama mtuhumiwa hukamatwa tu na kufikishwa mahakamani na kesi ikaanza kusikilizwa hasa kwenye kesi hizi za Money Laundering na Cyber Crime.