Pendekezo: Matibabu ya Malaria yawe bure

Pendekezo: Matibabu ya Malaria yawe bure

Marathon day

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2020
Posts
643
Reaction score
1,016
Nashauri serikali yetu tukufu wafikirie Malaria tiba yake iwe Bure. Mfano Kenya matibabu na vipimo vya Malaria ni Bure Kama sijakoaea.

Fikiria mtu kupima malaria ni Bure ila ukija upande wa tiba inakua mtihani. Maeto ambao unahati punguzo (nembo ya Jani) mahospitalini hazionekani, badala yake tunazipata private hospitals, kwa gharama kubwa mpaka Tsh 3500, watu wanaishia kurudi majumbani na kutafuna mizizi kama tiba mbadala.
 
Nashauri serikali yetu tukufu wafikirie Malaria tiba yake iwe Bure. Mfano Kenya matibabu na vipimo vya Malaria ni Bure Kama sijakoaea.

Fikiria mtu kupima malaria ni Bure ila ukija upande wa tiba inakua mtihani. Maeto ambao unahati punguzo (nembo ya Jani) mahospitalini hazionekani, badala yake tunazipata private hospitals, kwa gharama kubwa mpaka Tsh 3500, watu wanaishia kurudi majumbani na kutafuna mizizi kama tiba mbadala.
Unaweza ukawa na point nzuri lakini fedha za kulipa ma-DC wote wa Tanzania ambao hawana kazi yoyote zitatoka wapi kama wazo zuri kama hili litatekelezwa?
 
Nashauri serikali yetu tukufu wafikirie Malaria tiba yake iwe Bure. Mfano Kenya matibabu na vipimo vya Malaria ni Bure Kama sijakoaea.

Fikiria mtu kupima malaria ni Bure ila ukija upande wa tiba inakua mtihani. Maeto ambao unahati punguzo (nembo ya Jani) mahospitalini hazionekani, badala yake tunazipata private hospitals, kwa gharama kubwa mpaka Tsh 3500, watu wanaishia kurudi majumbani na kutafuna mizizi kama tiba mbadala.

Mwendazake alisema tuwekeze kwenye Mitishamba au Dawa za Asili sasa wewe huzitaki ??

Hilo wazo lako nimelipinga..! Njooa hoja nyingine
 
Wasiliana na shirika la Kumekucha Tanzania (www.kukuta.or.tz) linalopambana vikali kutokomeza kabisa malaria. Malaria ni matokeo ya tatizo, si chanzo cha tatizo, ndio maana hata ukiitibu haiishi miaka nenda rudi.

Kibaya zaidi, makampuni ya watengenezaji na wauzaji madawa hawataki iishe, wanataka tuendelee kuugua ili waendelee kutuuzia madawa na tiba zingine. Wanaojihusisha na miradi ya malaria nao hawataki iishe! Imekuwa kana kwamba kuugua kwetu ni kula yao, malaria ni mradi wao!
 
Haikubaliki hata kidogo, wagonjwa na ndugu zao waendelee kubeba mzigo wa matibabu ya malaria na majonzi ya kupoteza wapendwa wao, hasa wajawazito na watoto.

Wala haileti tija serikali kubeba mzigo huo wa gharama za matibabu. Suluhisho ni kutokomeza kabisa malaria, isiwepo! Fedha za serikali zitumike kugharamia miradi ya maendeleo, si ya malaria isiyoisha!

Tunafanyaje? Ni kuwamaliza mmbu kwenye mazalia yao kwa kutumia viuadudu toka hapa hapa nchini, si kutoka ulaya! Tutakuwa tumeua au kumaliza kabisa uzao wa mmbu, ni sawa na kuwahasi!

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
 
Hizo porojo za chanjo ya kovidi na mabilioni mengi wangejikita kutokomeza malaria, kama kweli wanachokihubiri ndicho kile wanamaanisha.
 
Haikubaliki hata kidogo, wagonjwa na ndugu zao waendelee kubeba mzigo wa matibabu ya malaria na majonzi ya kupoteza wapendwa wao, hasa wajawazito na watoto.

Wala haileti tija serikali kubeba mzigo huo wa gharama za matibabu. Suluhisho ni kutokomeza kabisa malaria, isiwepo! Fedha za serikali zitumike kugharamia miradi ya maendeleo, si ya malaria isiyoisha!

Tunafanyaje? Ni kuwamaliza mmbu kwenye mazalia yao kwa kutumia viuadudu toka hapa hapa nchini, si kutoka ulaya! Tutakuwa tumeua au kumaliza kabisa uzao wa mmbu, ni sawa na kuwahasi!

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
Nchi jirani wamewezaje? Na uchimi wetu tunakaribiana sana tu
 
Nimetoka maliza mseto asubuhi hii [emoji36]
Pole sana. Mara nyingi nikienda hosptali watanipima vyote na sio malaria. Nikiuliza wananijibu sio rahisi nikawa na malaria maana imepungua sana
 
Back
Top Bottom