Pendekezo: Rais kwa mwaka 2025 napendekeza awe Kassim Majaliwa au Selemani Jafo

Pendekezo: Rais kwa mwaka 2025 napendekeza awe Kassim Majaliwa au Selemani Jafo

Kama kichwa cha habari kinavyosema hawa waheshimiwa wawili ambao ni viongozi wakuu serikalini ningependa kuona mmoja kati ya hao wawili aje kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwani wana uthubutu katika kufanya maamuzi magumu.
Hao wote ni wapuuzi watupu. Labda kuwa viongozi wa wajinga (CCM INAPENDWA NA WATU WAJINGA - TWAWEZA).
 
Sifa mojawapo ya Rais wa 2025, asiwe aliwahi kuwa na nafasi yoyote kwenye Serikali dhulmati ya awamu ya 5.
 
Hayo ni maoni yako na una haki kikatiba! Hata hivyo kwa mwenendo wa serikali ya sasa na mahala Tanzania ilipofikia kimtanziko, hakika ukimtoa rais Mwinyi wa Zanzibar hakuna kiongozi yeyote ndani ya CCM anayefaa kuongoza taifa hili baada ya JPM! Kuna mgawanyiko mkubwa sana wa kisiasa, taifa halina umoja tena tulokuwa nao! Chuki na ubaguzi wa kisiasa, visasi na vinyongo vimetamalaki mno ndai ya taifa letu! Hivyo kiogozi ajaye akitokea ccm ni lazima ataedeleza alipoishia wa awali.
In fact tunahitaji mtu wa mtazamo wa tofauti kabisa na rais wa sasa ili aweze kuliunganisha taifa na kurudisha umoja wetu wa hiari na sio umoja wa kulazmishwa na vyombo vya dola.
Katika hili nafikiri rais kutoka upinzani anafaa zaidi, wapinzani ni sawa na wachezaji walio nje ya uwanja , hivyo wana nafasi kubwa ya kuyaona mapungufu ya serikali kwa miaka yote na katika mambo kadhaa ya msingi na kama tutakosa kichwa makini kutoka upinzani basi ni bora tumchukuwe rais Mwinyi kule Zenji tumkabidhi hii nchi anaweza kutuvusha!
Ifahamike kwamba pamoja na kufanya vizuri ndani ya hizi siku zake za mwanzo wa urais wake kule Zenji, lakini bado Mwinyi ataathiriwa kwa namna flani na uongozi wa bara ulioko Ikulu, Hivyo akipewa nchi na kuwa na mamlaka kamili yasiyoathiriwa na dhoruba toka upande wowote anaweza kufanya mengi makubwa.
 
Kama kichwa cha habari kinavyosema hawa waheshimiwa wawili ambao ni viongozi wakuu serikalini ningependa kuona mmoja kati ya hao wawili aje kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwani wana uthubutu katika kufanya maamuzi magumu.
Majaliwa Rais, halafu Jaffo PM
 
Kama kichwa cha habari kinavyosema hawa waheshimiwa wawili ambao ni viongozi wakuu serikalini ningependa kuona mmoja kati ya hao wawili aje kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwani wana uthubutu katika kufanya maamuzi magumu.
Fanya kimya kimya na mumeo syo unaleta kwa watanzania
 
Kama kichwa cha habari kinavyosema hawa waheshimiwa wawili ambao ni viongozi wakuu serikalini ningependa kuona mmoja kati ya hao wawili aje kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwani wana uthubutu katika kufanya maamuzi magumu.
Wakati huo JIWE litakua limeenda wapi?
 
Kwani nani alijua kwamba kati ya wale wote waliotia nia John Pombe Magufuli ndie angechaguliwa na NEC kuwa mgombea urais 2015?

Mamlaka zote zinatoka kwa Mungu, kwa makusudi na mipango yake
 
Jafo Bado yafaa kwa hazina ya baadae akishatoka Mkristo baada ya Majaliwa labda 2025
 
Kwani nani alijua kwamba kati ya wale wote waliotia nia John Pombe Magufuli ndie angechaguliwa na NEC kuwa mgombea urais 2015?

Mamlaka zote zinatoka kwa Mungu, kwa makusudi na mipango yake
Mungu apigi kura huko ni kumsingizia.
 
Back
Top Bottom