Pendekezo: Rais kwa mwaka 2025 napendekeza awe Kassim Majaliwa au Selemani Jafo

Pendekezo: Rais kwa mwaka 2025 napendekeza awe Kassim Majaliwa au Selemani Jafo

Hao wote hawafai CCM wote hawafai , wangekuwa CCM na akili wangemsukumiza Saikatriki kesi .
 
Kama kichwa cha habari kinavyosema hawa waheshimiwa wawili ambao ni viongozi wakuu serikalini ningependa kuona mmoja kati ya hao wawili aje kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwani wana uthubutu katika kufanya maamuzi magumu.
Huo uzao wa vilaza tupu
 
Wala hatuhitaji Rais Kibaraka. Tunahitaji Rais ambaye atakuwa na hofu kwa Baba Mungu wa Mbinguni. Na siyo yule mungu mtu wa hapa duniani.

Hatuwezi tena kuwakabidhi nchi watu waongo, wabinafsi, wanafiki, wakatili, wasio heshimu haki za wengine, wadhulumati, na wabaguzi!
CCM huwa hamuelewi hata maana ya kibaraka,.Ipo siku wewe na chama chako mtakuwa wapinzani.Its a matter of time.
Unafiki,uwoga na kujipendekeza ndio sifa kuu ya wanaCCM.
Eti mwenyekiti wa CCM analalamika kuhusu mbunge wa morogoro mjini,wakati yeye ndiye mwenyekiti wa halmashauri kuu ya Chama.Dullness.
 
Kama kichwa cha habari kinavyosema hawa waheshimiwa wawili ambao ni viongozi wakuu serikalini ningependa kuona mmoja kati ya hao wawili aje kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwani wana uthubutu katika kufanya maamuzi magumu.
Kuwa Rais wewe
 
CCM huwa hamuelewi hata maana ya kibaraka,.Ipo siku wewe na chama chako mtakuwa wapinzani.Its a matter of time.
Unafiki,uwoga na kujipendekeza ndio sifa kuu ya wanaCCM.
Eti mwenyekiti wa CCM analalamika kuhusu mbunge wa morogoro mjini,wakati yeye ndiye mwenyekiti wa halmashauri kuu ya Chama.Dullness.
Am i CCM? 🤭 Ipo siku mimi na chama changu cha CCM!!! Huku ni kutukanana sasa.
 
Suala la ujinga linakujaje? Kaustaarabu kidogo Unatakiwa. Tujitahidi.
Wewe ni mjinga tu kama walivyo wajinga wengine,kwa sababu ujui michakato ya kumpata Raisi wa JMT.

Na kwa sababu hiyo nyamaza kimya labda kama umetumwa na hata kama umetumwa Raisi hapatikani kwa kupendekezwa kwenye media.
 
Wewe ni mjinga tu kama walivyo wajinga wengine,kwa sababu ujui michakato ya kumpata Raisi wa JMT.

Na kwa sababu hiyo nyamaza kimya labda kama umetumwa na hata kama umetumwa Raisi hapatikani kwa kupendekezwa kwenye media.
Mimi nilicho changia, ni kuomba kupunguza ukali wa maneno , sina hakika, kuomba kupunguza ukali wa maneno nao ni ujinga, basi JF kuna kazi sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wala hatuhitaji Rais Kibaraka. Tunahitaji Rais ambaye atakuwa na hofu kwa Baba Mungu wa Mbinguni. Na siyo yule mungu mtu wa hapa duniani.

Hatuwezi tena kuwakabidhi nchi watu waongo, wabinafsi, wanafiki, wakatili, wasio heshimu haki za wengine, wadhulumati, na wabaguzi!
UgeMalizia Kwa kibwagizo hiki: Asalamaleko. Tumsifu yesu kristo
 
Mtu anayeweza kuwa rais 2025 ni lazima aonyeshe huo uwezo tangu leo. Kwa msimamo thabiti aseme ukweli sio leo anasifia kesho anakuja kuponda.
 
Sasa Majaliwa ana maamuzi gani,wewe bila shaka utakuwa umezaliwa Miaka ya 2000 hukuwashuhudia akina Sokoine na Lowassa kwenye misimamo yao,Majaliwa ambaye Magufuli akikohoa tu anatetemeka.Kwanza Magu mwenyewe ni kama anamdharau Majaliwa yupo hapo alipo sababu ya Kikwete na Salama na Magu hana cha kufanya kwa maana Magu naye Kikwete ndio kampa huo Urais.
 
Kwani nani alijua kwamba kati ya wale wote waliotia nia John Pombe Magufuli ndie angechaguliwa na NEC kuwa mgombea urais 2015?

Mamlaka zote zinatoka kwa Mungu, kwa makusudi na mipango yake
Alijua Kikwete na Mkapa,na uache kumsingizia Mungu mambo ya hovyo-Mungu gani asiye na huruma anaweza mleta kiongozi kama Magufuli.
 
Alijua Kikwete na Mkapa,na uache kumsingizia Mungu mambo ya hovyo-Mungu gani asiye na huruma anaweza mleta kiongozi kama Magufuli.
Mambo ya Mungu sio ya hovyo ndugu, vinginevyo uwe humuamini Mungu au hujui dini yako inafundisha nini
Halafu usiwasingizie Kikwete na Mkapa, Mungu alipangua mipango iliyokuwepo ili John Pombe Magufuli abaki kama mgombea wa CCM na rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania.

Hutaki kata rufaa
 
Kama kichwa cha habari kinavyosema hawa waheshimiwa wawili ambao ni viongozi wakuu serikalini ningependa kuona mmoja kati ya hao wawili aje kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwani wana uthubutu katika kufanya maamuzi magumu.
hata lowasa walisemaga anauthubutu wa kufanaya maamuzi magumu, mimi nafikiri ungeongeza vigezo maana nafasi ya Urais inaitaji sifa zaidi ya uthubutu. mfano uadilifu (INTEGRITY), mcha Mungu, mpenda haki, asiyependa ukabila wala ukanda, atakae weza kuendeleza mazuri yote yatakayoachwa na mtangulizi wake pia atakae weka maslahi ya nchi mbele n.k
 
Mwinyi yule dogo ni shida. Siku Mia Zanzibar kunachemka
Achana na Zanzibar. Mwinyi anafanya kazi kubwa.Cha ajabu Zanzibar inajulikana sana ulimwenguni kuliko Bara.Hakuna unafiki kule.Tunangojea chanjo watalii wafurike.Mh Rais Dr Hussein Mwinyi ataigeuza Zanzibar iwe kama Singapore.
 
Huwa ukawa waziri mkuu then uwe Rais haipo hio,ukishawahi kuwa waziri mkuu cheo chako ndo kimeishia hapo si zaidi ya hapo hata ujaribu vipi utashindwa tu ni hadi lile agano lililofanyika mapangoni livunjwe kitu ambacho nacho sio rahisi hivihivi.
 
Back
Top Bottom