Papy ndombe
JF-Expert Member
- Oct 24, 2020
- 3,761
- 4,535
Kipya kinyemi,mwanzo wa soda sio mwisho wa sodaMwinyi yule dogo ni shida. Siku Mia Zanzibar kunachemka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kipya kinyemi,mwanzo wa soda sio mwisho wa sodaMwinyi yule dogo ni shida. Siku Mia Zanzibar kunachemka
Mungu achangamani na waouvuMawazo ya Mungu sio sawa na mawazo yako
Ulishawahi kuwa?Tanzania yoyote anaweza kuwa Rais
Hutakuja kuwa. Kama unataka uje kuwa, basi nakushauri uhame nchi, tafuta nchi nyingine ambayo unaweza kuwa, siyo hii. Hii huijui vizuri na hivyo hautakuja kuwa!Nitakuja kuwa.
Na huyohuyo mungu kupitia vitabu vyake amekukataza kuhukumu, na amekuambia uheshimu mamlaka kwani mamlaka zote zatoka kwakeMungu achangamani na waouvu
Ina maana Mungu atupendi sisi waafrika why utupatia tawala dhalimu.Kwann afrika ndio upewa watawala wabovu kuliko mabara mengine?Na huyohuyo mungu kupitia vitabu vyake amekukataza kuhukumu, na amekuambia uheshimu mamlaka kwani mamlaka zote zatoka kwake
Kwahiyo usimpangie
Jafo hawezi amesha haribu kwenye covid19. Sorry lakiniKama kichwa cha habari kinavyosema hawa waheshimiwa wawili ambao ni viongozi wakuu serikalini ningependa kuona mmoja kati ya hao wawili aje kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwani wana uthubutu katika kufanya maamuzi magumu.
Hamna kitu hapo bora ungesema gwajimaKama kichwa cha habari kinavyosema hawa waheshimiwa wawili ambao ni viongozi wakuu serikalini ningependa kuona mmoja kati ya hao wawili aje kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwani wana uthubutu katika kufanya maamuzi magumu.
Kama kichwa cha habari kinavyosema hawa waheshimiwa wawili ambao ni viongozi wakuu serikalini ningependa kuona mmoja kati ya hao wawili aje kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwani wana uthubutu katika kufanya maamuzi magumu.
Wewe unafaa kuwa Nani nchi hii?Kama kichwa cha habari kinavyosema hawa waheshimiwa wawili ambao ni viongozi wakuu serikalini ningependa kuona mmoja kati ya hao wawili aje kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwani wana uthubutu katika kufanya maamuzi magumu.
Maamuzi magumu ya wizi wa kura, ama una maslahi nao binafsi?Kama kichwa cha habari kinavyosema hawa waheshimiwa wawili ambao ni viongozi wakuu serikalini ningependa kuona mmoja kati ya hao wawili aje kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwani wana uthubutu katika kufanya maamuzi magumu.
Ina maana Mungu atupendi sisi waafrika why utupatia tawala dhalimu.Kwann afrika ndio upewa watawala wabovu kuliko mabara mengine?
dokta askofu rashidi ana masenema mengi hata ya kufufua wafu, akienda Hollywood anaweza kutengeneza njuruku kweli.Huyu aende zake tu Hollywood[emoji562][emoji631] akale zake dolali [emoji765]kupitia zile filamu zake za ngono.
Kama kichwa cha habari kinavyosema hawa waheshimiwa wawili ambao ni viongozi wakuu serikalini ningependa kuona mmoja kati ya hao wawili aje kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwani wana uthubutu katika kufanya maamuzi magumu.