Desprospero
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 1,015
- 2,493
Iwe ni siku ya kuwakumbuka Ben Saanane, Azory Gwanda, Akwilline na waliookotwa kokobichi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sikukuu yako nyumbani kwakoTunapoelekea katika hio siku muhimu ya kuenzi kifo cha JPM, ni vyema huu mwaka Mh SSH akaitangaza rasmi hio siku kuwa sikukuu ya kitaifa, ili kuenzi mema na makubwa kabisa aliyo yafanya Hayati Dr. Magufuli.
17 march: Magufuli Day
Kwenu wakereketwa...
View attachment 2526364View attachment 2526379
Yani unataka chato iwe mkoa?Kwani ikianzishwa nchi ya chato mtapenda??
Kuufanya tu mkoa mmefura kwa wivu na hasira
We hutak?Yani unataka chato iwe mkoa?
Wakuu tutafute hoja zingine kwa afya ya Taifa letu. Jamani wakuu wa kuenziwa katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni JKN na AAK basi, hao ndio Viongozi wao tuletea Uhuru; sasa kama unasheherekea Uhuru kwa nini usiwakumbuke hao walio leta huo Uhuru. Hawa wengine wanapanda ngazi tu iliyo wekwa na hawa Wakuu kwa mpangilio tulio jiwekea. Hawa wazee sio tu walipigania kuleta Uhuru, lakini wafanyakazi zilizo tukuka kwa manufa ya Wananchi, mfano; AAK alijenga nyumba za makazi kwa ajili ya Wananchi wa Zanzibar ambazo wakaa bure, Bwawani Hotel, Kiwanja cha kandanda ambacho unaweza kucheza usiku na miradi msingi. Aidha JKN yeye aliona kwanza wasomi wa Tanganyika wapate kazi kwenye Serkali yao baada ya UHURU, akajenga viwanda vikubwa (sio hivi vya cherehani 4) vingi tu (zaidi ya 300) ili Wananchi wapaye ajira. Aidha vijiji ambavyo vilikuwa na ardhi ya kilimo walipelekewa miradi ya umwagiliaji na matrector bure n.k., mambo aliyofanya ni mengi kwa bajeti iliyotokana na kodi za mazao ya kilimo e.g. pamba, pareto, kahawa na chai. Alikuwa bise hasa kuwatumikia Wananchi wa Tanganyika hadi akasahau kujijengea nyumba yake ya kuishi baada ya kustaafu. Leo nani anaweza?What about BW Mkapa? Unadhani yeye hastahili kuenziwa?
Wakuwaenzi wabaki kuwa NYERERE na KARUME😎 wanatosha.
🤣Punguz hasira
KwaniniSiungi hoja mkono. Litakua taifa la ovyo mnoooo.
Ulishazaliwa awamu hiyo unayoizungumzia?Wakuu tutafute hoja zingine kwa afya ya Taifa letu. Jamani wakuu wa kuenziwa katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni JKN na AAK basi, hao ndio Viongozi wao tuletea Uhuru; sasa kama unasheherekea Uhuru kwa nini usiwakumbuke hao walio leta huo Uhuru. Hawa wengine wanapanda ngazi tu iliyo wekwa na hawa Wakuu kwa mpangilio tulio jiwekea. Hawa wazee sio tu walipigania kuleta Uhuru, lakini wafanyakazi zilizo tukuka kwa manufa ya Wananchi, mfano; AAK alijenga nyumba za makazi kwa ajili ya Wananchi wa Zanzibar ambazo wakaa bure, Bwawani Hotel, Kiwanja cha kandanda ambacho unaweza kucheza usiku na miradi msingi. Aidha JKN yeye aliona kwanza wasomi wa Tanganyika wapate kazi kwenye Serkali yao baada ya UHURU, akajenga viwanda vikubwa (sio hivi vya cherehani 4) vingi tu (zaidi ya 300) ili Wananchi wapaye ajira. Aidha vijiji ambavyo vilikuwa na ardhi ya kilimo walipelekewa miradi ya umwagiliaji na matrector bure n.k., mambo aliyofanya ni mengi kwa bajeti iliyotokana na kodi za mazao ya kilimo e.g. pamba, pareto, kahawa na chai. Alikuwa bise hasa kuwatumikia Wananchi wa Tanganyika hadi akasahau kujijengea nyumba yake ya kuishi baada ya kustaafu. Leo nani anaweza?