Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 16,388
- 51,970
Wewe mbona unahangaika sana na huyo mtu wako.. Au ni I'd moja😃😂😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe mbona unahangaika sana na huyo mtu wako.. Au ni I'd moja😃😂😂😂
Yaani itakua tafrani tupu😂😂😂Lazima watu wakimbiane . Kuna waliojinasibu kama wadada kumbe ni mabibi! kuna waliojinasibu kuwa ni matajiri kumbe ni makapuku wa kutupwa! na mbaya zaidi kuna waiojinasibu kama mabinti warembo kumbe ni LGBT / mabwabwa, nk, nk.
Wenye nia mbaya nasi wanaweza kutu...Tutakimbiana siku hiyo
Kweli nakwambia 😃😂😂Wenye nia mbaya nasi wanaweza kutu...
Naam kiongoziLeejay49 [emoji7]
Sio nendeni, sema twendeniJF ina watu laki 6 na point.
Tuseme 10% tu wakubaliane na pendekezo lako. Maana yake ni watu 60,000+.
Utawaweka wapi hao watu?
Nendeni uwanja wa Mkapa. Utawatosha
😍hayo ndiyo mambo sasa
Kwenye kikao uje umebeba bango kubwa lenye jina lako 😂Inakuwajeee
Kuna kitu nimekiona hapa
Nimeona sisi Magreat thinkers, matajiri wa Jf kuna haja siku moja tukutane mahali fulani, itakuwa mahali gani? Ndo tukubaliane hapa. Je kila mtu aje na mkoko wake? Ndo wote tukubaliane hapa
Lengo la kukutana huko ni nini hasa?
Ukweli ni kwamba kila mtu ana lake hapa, Kuna waliozimiana hapa hiyo ndio nafasi ya kuchanana face to face, kuna wale wenye bifu kali hapa basi siku hiyo ndio itakuwa ya kuuchapa mkono yani mkono kwelikweli baada ya siku hiyo no bifu tena,
Kuna wale wenye kupendelea kubadilishana mawazo na mtu fulani hiyo pia itakuwa nafasi
Itakuwa wapi mi sijui ndo tukubaliane hapa,
Ningependekeza iwe katika kumbi fulani hivi..
Lakini pia muhimu tusije chekana endapo ukaja muona member fulani kinyume na expectations uliyokuwa nazo
Lakini pia kama itakuwa dar wale wa mkoani washikwe mikono na wenyeji waongozwe vyema ili waje salama na warudi salama
Nb:Muhimu cha kuzingatia, members wasije ingiliana mfano members fulani wanazichapa waache tu kwani hapo ndipo katika kutimiza lengo la hiyo meeting
HAYA TUKUBALIANE HAPA.......
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Naunga mkono hojaMambo yatakuwa hivi, "wee ndio Lucas mwashambwa sio?" Ngumi zinaanza.
Muda huo nitakuwa kibaruani kupokea abiria na kuwabebea mizigo yao stendi mkuu.Uwakilishi wenu nauthamini sana.MaashAllah!(Maisha-raha).
toa na wale wenye kupata dharura ya kutokuja siku iyoJF ina watu laki 6 na point.
Tuseme 10% tu wakubaliane na pendekezo lako. Maana yake ni watu 60,000+.
Utawaweka wapi hao watu?
Nendeni uwanja wa Mkapa. Utawatosha
Impossible is nothing..!!Impossible! Unataka wengine waondoke na ngeu au wakiwa wamebebwa na defender ya police? Usichukulie poa maoni unayoyatoa ukiwa umejificha! Wengine wanaumia kiasi cha kutaka kukula kichwa! Kuna uadui wa kikabila, kidini, kisiasa! Hivi vitu havijawahi kumuacha mtu salama ukiingia kwenye anga zake!
Noma na nusu
Ninasugua goti siku hiyo ifanikiwe kuwepoNaam kiongozi