Pendekezo: Wakili wa Kimataifa, Robert Amsterdam apewe nishani ya kupigania haki, uhuru na utu wa mtu mweusi

Pendekezo: Wakili wa Kimataifa, Robert Amsterdam apewe nishani ya kupigania haki, uhuru na utu wa mtu mweusi

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Huyu bwana ukimfuatilia vizuri, ni wazi amekuwa ni zaidi ya wakili kwani anakuwa pia ni kama mwanaharakati wa kupigania haki za binadamu hasa katika mataifa yanayoongozwa na watawala katili/madikteta wa kiafrika.

Ukifuatilia katika akaunti yake ya twitter,utaona jinsi anavyojitoa kulaani ukiukwaji wa haki za binadamu unaofanywa dhidi ya raia katika mataifa mbalimbali ya kiafrika zikiwemo Tanzania, Uganda, Cameroon kama sikosei pamoja na nchi nyingine.

Uthibitisho wa taasisi yake kujitoa kupigania haki na utu wa watu ni maneno katika tweet yake hii ya tarehe 14/11/2020 ambapo aliandiki hivi:

"Our firm can guarantee nothing but try everything to help those who were disenfranchised so violently by the impostor"

Na hiki ndio anaonekana kukifanya sasa hata huko Uganda ambako nako kuna mambo ya hovyo hovyo yanayoendelea kuhusiana na uchaguzi.

Sitaki kuamini kuwa watu katika mataifa haya ya kiafrika wanaonyanyaswa na kuteswa na watawala, wana hela za kutosha kumlipa zaidi ya yeye na kampuni yake ya uwakili kujitolea tu kusaidia au kutoa huduma hiyo ya kisheria kwa kutoza gharama kidogo tu za kuchangia huduma hiyo na sio kupata faida.

Wapo mawakili wengi, lakini naona huyu na taasisi yake wanajitoa sana hivyo anastahili kupewa nishani kutambua mchango wake.
 
Huyu mtu ni "MKAANGA SUMU", ni mtu "HATARI NA NUSU". Jana amesababisha watu waitishe kikao cha dharura chamwino, watu wasilale usingizi, na kasababisha kumtoa "JIWE & PROF POLEPOLE" dodoma kuwaleta dar, kuja kuwapigisha magoti kwa "BALOZI WA EU" pale magogoni. Umwamba, jeuri na matusi yote dhidi ya anaowaita "MABEBERU" mfukoni, leo anawaita waheshimiwa (Mheshimiwa Balozi Wa EU). [emoji16][emoji38][emoji28]

Kweli, kila goti litapigwa.

Mkombozi wa Waafrika.
 
Huyu bwana ukimfuatilia vizuri, ni wazi amekuwa ni zaidi ya wakili kwani anakuwa pia ni kama mwanaharakati wa kupigania haki za binadamu hasa katika mataifa yanayoongozwa na watawala katili/madikteta wa kiafrika.

Ukifuatilia katika akaunti yake ya twitter,utaona jinsi anavyojitoa kulaani ukiukwaji wa haki za binadamu unaofanywa dhidi ya raia katika mataifa mbalimbali ya kiafrika zikiwemo Tanzania,Uganda,Cameroon kama sikosei pamoja na nchi nyingine.

Uthibitisho wa taasisi yake kujitoa kupigania haki na utu wa watu ni maneno katika tweet yake hii ya tarehe 14/11/2020 ambapo aliandiki hivi:

"Our firm can guarantee nothing but try everything to help those who were disenfranchised so violently by the impostor"

Na hiki ndio anaonekana kukifanya sasa hata huko Uganda ambako nako kuna mambo ya hovyo hovyo yanayoendelea kuhusiana na uchaguzi.

Sitaki kuamini kuwa watu katika mataifa haya ya kiafrika wanaonyanyaswa na kuteswa na watawala, wana hela za kutosha kumlipa zaidi ya yeye na kampuni yake ya uwakili kujitolea tu kusaidia au kutoa huduma hiyo ya kisheria kwa kutoza gharama kidogo tu za kuchangia huduma hiyo na sio kupata faida.

Wapo mawakili wengi, lakini naona huyu na taasisi yake wanajitoa sana hivyo anastahili kupewa nishani kutambua mchango wake.

Naunga mkono hoja.
 
Sishangai kabisa sisi kutetewa na wazungu, maana hata Yesu mwenyewe ni mzungu, na ndio ametukomboa.

kwahio na wewe umekaa unaamini propaganda zao? Kwamba yule jamaa aliigiza movie ndo mnasema ni Yesu? as always ni chadema! huezi kuta ccm wana mada kama izi
 
kwahio na wewe umekaa unaamini propaganda zao? Kwamba yule jamaa aliigiza movie ndo mnasema ni Yesu? as always ni chadema! huezi kuta ccm wana mada kama izi

Kama mwislaeri ni mzungu na yesu alizaliwa kwenye familia ya wazungu ni wazi kuwa yesu hakuwa mweusi kwa ajili ya movie tu.

Kwa kweli wewe ni li-CCM tu huwezi kuta CDM akili fupi za hivyo.
 
kwahio na wewe umekaa unaamini propaganda zao? Kwamba yule jamaa aliigiza movie ndo mnasema ni Yesu? as always ni chadema! huezi kuta ccm wana mada kama izi

Ccm ni wafaidika wa huu udictator, unategemea wajichurie? Yesu wa ccm anafamika na Kange Lugola alishamsema.
 
Back
Top Bottom