Pendekezo: Wakili wa Kimataifa, Robert Amsterdam apewe nishani ya kupigania haki, uhuru na utu wa mtu mweusi

Pendekezo: Wakili wa Kimataifa, Robert Amsterdam apewe nishani ya kupigania haki, uhuru na utu wa mtu mweusi

Sishangai kabisa sisi kutetewa na wazungu, maana hata Yesu mwenyewe ni mzungu, na ndio ametukomboa.
Amekukomboa nini wewe? Usiwe mjinga kama wazungu walivyopanga 😅😅
 
Uwe unatumia ubongo kufikiri.Hivi unafahamu kuwa Mzungu anamuona mwafrica kama nyani?
 
mbna hata wewe tunaweza kukutimua tu na chadema wenzako mkakae kama wakimbizi kenya! nchi yetu hii tukiamua kuchakachukua kura zote hatusumbui mtu na tukiamua kukulimbikizia kodi utatufanya nn sasa
Halafu utakuta wewe ni fala fulani hapo lumumba ambaye hata mil 1 kwa mwezi hupati!
 
Huyu bwana ukimfuatilia vizuri, ni wazi amekuwa ni zaidi ya wakili kwani anakuwa pia ni kama mwanaharakati wa kupigania haki za binadamu hasa katika mataifa yanayoongozwa na watawala katili/madikteta wa kiafrika.

Ukifuatilia katika akaunti yake ya twitter,utaona jinsi anavyojitoa kulaani ukiukwaji wa haki za binadamu unaofanywa dhidi ya raia katika mataifa mbalimbali ya kiafrika zikiwemo Tanzania, Uganda, Cameroon kama sikosei pamoja na nchi nyingine.

Uthibitisho wa taasisi yake kujitoa kupigania haki na utu wa watu ni maneno katika tweet yake hii ya tarehe 14/11/2020 ambapo aliandiki hivi:

"Our firm can guarantee nothing but try everything to help those who were disenfranchised so violently by the impostor"

Na hiki ndio anaonekana kukifanya sasa hata huko Uganda ambako nako kuna mambo ya hovyo hovyo yanayoendelea kuhusiana na uchaguzi.

Sitaki kuamini kuwa watu katika mataifa haya ya kiafrika wanaonyanyaswa na kuteswa na watawala, wana hela za kutosha kumlipa zaidi ya yeye na kampuni yake ya uwakili kujitolea tu kusaidia au kutoa huduma hiyo ya kisheria kwa kutoza gharama kidogo tu za kuchangia huduma hiyo na sio kupata faida.

Wapo mawakili wengi, lakini naona huyu na taasisi yake wanajitoa sana hivyo anastahili kupewa nishani kutambua mchango wake.
Bwana wenu huyu mpeni naniino tu itamtosha.
 
Catch word: Our firm can guarantee nothing. This guy is a fundraiser out there to enrich himself through propaganda that helps him raise millions to pay himself to disenfranchised third world. The Hague court is nothing other than a Kangaroo court to tame third world nations.

If this was a for and of justice, it would be responsible for the same cases happening everywhere in the world. Its legitimacy is lost when it cherry picks who can be brought before it and who cannot, more especially when it leaves out the greatest atrocity committer, USA.

USA has killed millions in Eastern Europe, Afghanistan, Iraq, Syria, Vietnam, Korea, and even at home where minorities are murdered by police without remorse and yet people is the model nation. What will people say, if an African country murder, murders, or murdered even 10% of the people USA has, will, and has murdered in its history and future.

Jukwaa la Siasa
 
Pale taasisi kubwa inapoongozwa na akili kisoda, hii ndio athari yake.
 
Kama una akili ya ziada na unaweza kusoma na kutabua muandikaji wa maandishi unayoyasoma, ukifuata style, maneno na misemo yake - utatabua kwamba Amsterdam = Lissu!
Yaani utatambua kwamba Amsterdam hayupo na huyo anayejiita Amsterdam ni Lissu. Kwa hiyo msihangaike, maana - Amsterdam, kupeleka watu barabarani, kupeleka viongozi wetu ICC, kupeleka serikali MIGA, dunia yote inasikiliza na "mmenielewa ndugu zangu"! Yote hayo ni Lissu. Hakuna kitu kinaitwa Amsterdam - ni kutishia nyau! Hivyo hatishi yeyote Amsterdam = Lissu = Amsterdam ni mtu mmoja huyo huyo ni Lissu! .
 
Kama una akili ya ziada na unaweza kusoma na kutabua muandikaji wa maandishi unayoyasoma, ukifuata style, maneno na misemo yake - utatabua kwamba Amsterdam = Lissu!
Yaani utatambua kwamba Amsterdam hayupo na huyo anayejiita Amsterdam ni Lissu. Kwa hiyo msihangaike, maana - Amsterdam, kupeleka watu barabarani, kupeleka viongozi wetu ICC, kupeleka serikali MIGA, dunia yote inasikiliza na "mmenielewa ndugu zangu"! Yote hayo ni Lissu. Hakuna kitu kinaitwa Amsterdam - ni kutishia nyau! Hivyo hatishi yeyote Amsterdam = Lissu = Amsterdam ni mtu mmoja huyo huyo ni Lissu! .
Ni machachara kwa 7bb tu mkate waliokuwa wakiuhonyoa bure kwenye rasilimali za nchi yetu JPM kaunanua kumidomo yao.

#10 Mingine!
 
Back
Top Bottom