Tigershark
JF-Expert Member
- Oct 9, 2018
- 7,051
- 12,566
Naunga mkono hoja 100%
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vp yule Yesu wa Ufipa! Ukitaka kukosana nae sema unataka kugombea nafasi ya uenyekiti cha moto utakiona, nawaonea huruma sana wale waliojitokeza kupambana kipindi cha corona alafu wakatimuliwa kisa tu walienda bugeni? ndo maaana kigogo anaishia kuwatukana tu
Wewe huijui Marekani, Watu weusi ndio wanauawana wao kwa wao zaidi.Akienda marekani akawafungulia kesi kwa kunyanyasa watu weusi ndionitaweza kumtathimini kama anafaa au hafai
Duuuu Ndugu yangu amka katika usingizi; tangu lini Amsterdam akawa na mapenzi na watu weusi? Ingekuwa hivyo angeanza kutetea Weusi wa USA, Ulaya, nk. Huyu Bwana hatupendi; anapenda kutunyonya mali zetu tuu. Ndiyo maana ataendelea kusema uongo ili afikie azma yake ya kuweka madarakani Vibaraka kama akina Lissu watakaomruhusu kupora mali zetu. HATUDANGANYIKI. Mungu yuko nasi hivyo tutashinda katika vita hii. Mola ametuwezesha kushinda corona na baadaye uchaguzi wetu ukawa huru na bila machafuko, sembuse hili; achana naye endelea kuchapa kazi.Huyu bwana ukimfuatilia vizuri, ni wazi amekuwa ni zaidi ya wakili kwani anakuwa pia ni kama mwanaharakati wa kupigania haki za binadamu hasa katika mataifa yanayoongozwa na watawala katili/madikteta wa kiafrika.
Ukifuatilia katika akaunti yake ya twitter,utaona jinsi anavyojitoa kulaani ukiukwaji wa haki za binadamu unaofanywa dhidi ya raia katika mataifa mbalimbali ya kiafrika zikiwemo Tanzania, Uganda, Cameroon kama sikosei pamoja na nchi nyingine.
Uthibitisho wa taasisi yake kujitoa kupigania haki na utu wa watu ni maneno katika tweet yake hii ya tarehe 14/11/2020 ambapo aliandiki hivi:
"Our firm can guarantee nothing but try everything to help those who were disenfranchised so violently by the impostor"
Na hiki ndio anaonekana kukifanya sasa hata huko Uganda ambako nako kuna mambo ya hovyo hovyo yanayoendelea kuhusiana na uchaguzi.
Sitaki kuamini kuwa watu katika mataifa haya ya kiafrika wanaonyanyaswa na kuteswa na watawala, wana hela za kutosha kumlipa zaidi ya yeye na kampuni yake ya uwakili kujitolea tu kusaidia au kutoa huduma hiyo ya kisheria kwa kutoza gharama kidogo tu za kuchangia huduma hiyo na sio kupata faida.
Wapo mawakili wengi, lakini naona huyu na taasisi yake wanajitoa sana hivyo anastahili kupewa nishani kutambua mchango wake.
Endeleeni kuweweseka na Hilo beberu lenu Amsterdam. Chadema mna ruzuku na zile mishahara ya wabunge mtunukieni huyo beberu.Huyu bwana ukimfuatilia vizuri, ni wazi amekuwa ni zaidi ya wakili kwani anakuwa pia ni kama mwanaharakati wa kupigania haki za binadamu hasa katika mataifa yanayoongozwa na watawala katili/madikteta wa kiafrika.
Ukifuatilia katika akaunti yake ya twitter,utaona jinsi anavyojitoa kulaani ukiukwaji wa haki za binadamu unaofanywa dhidi ya raia katika mataifa mbalimbali ya kiafrika zikiwemo Tanzania, Uganda, Cameroon kama sikosei pamoja na nchi nyingine.
Uthibitisho wa taasisi yake kujitoa kupigania haki na utu wa watu ni maneno katika tweet yake hii ya tarehe 14/11/2020 ambapo aliandiki hivi:
"Our firm can guarantee nothing but try everything to help those who were disenfranchised so violently by the impostor"
Na hiki ndio anaonekana kukifanya sasa hata huko Uganda ambako nako kuna mambo ya hovyo hovyo yanayoendelea kuhusiana na uchaguzi.
Sitaki kuamini kuwa watu katika mataifa haya ya kiafrika wanaonyanyaswa na kuteswa na watawala, wana hela za kutosha kumlipa zaidi ya yeye na kampuni yake ya uwakili kujitolea tu kusaidia au kutoa huduma hiyo ya kisheria kwa kutoza gharama kidogo tu za kuchangia huduma hiyo na sio kupata faida.
Wapo mawakili wengi, lakini naona huyu na taasisi yake wanajitoa sana hivyo anastahili kupewa nishani kutambua mchango wake.
Hoja yako ni nini hapa boss? Nimeishia kucheka kwa nguvu.
Sina shaka zile tabia za amsterdam na wewe unazo, sio bure kabisa.Huyu bwana ukimfuatilia vizuri, ni wazi amekuwa ni zaidi ya wakili kwani anakuwa pia ni kama mwanaharakati wa kupigania haki za binadamu hasa katika mataifa yanayoongozwa na watawala katili/madikteta wa kiafrika.
Ukifuatilia katika akaunti yake ya twitter,utaona jinsi anavyojitoa kulaani ukiukwaji wa haki za binadamu unaofanywa dhidi ya raia katika mataifa mbalimbali ya kiafrika zikiwemo Tanzania, Uganda, Cameroon kama sikosei pamoja na nchi nyingine.
Uthibitisho wa taasisi yake kujitoa kupigania haki na utu wa watu ni maneno katika tweet yake hii ya tarehe 14/11/2020 ambapo aliandiki hivi:
"Our firm can guarantee nothing but try everything to help those who were disenfranchised so violently by the impostor"
Na hiki ndio anaonekana kukifanya sasa hata huko Uganda ambako nako kuna mambo ya hovyo hovyo yanayoendelea kuhusiana na uchaguzi.
Sitaki kuamini kuwa watu katika mataifa haya ya kiafrika wanaonyanyaswa na kuteswa na watawala, wana hela za kutosha kumlipa zaidi ya yeye na kampuni yake ya uwakili kujitolea tu kusaidia au kutoa huduma hiyo ya kisheria kwa kutoza gharama kidogo tu za kuchangia huduma hiyo na sio kupata faida.
Wapo mawakili wengi, lakini naona huyu na taasisi yake wanajitoa sana hivyo anastahili kupewa nishani kutambua mchango wake.
Ikimaanisha hupendi haki?au nini?rubbish!
Hatutaki auwaji,watuue,hivyo tumeamua kutumia jukwaa lingine.kuna watu wanafunga kwa maombi ila wanachadema wanafunga kuandika post. jitokezeni barabarani kuandamana hamtaki. Ila kwenye kufungua thread mpya tu mpo vizuri, keep it up
nikija sikia we jamaa ni shoga wala sitoshangaa..sio kwa kulamba miguu hivi mabeberuHuyu bwana ukimfuatilia vizuri, ni wazi amekuwa ni zaidi ya wakili kwani anakuwa pia ni kama mwanaharakati wa kupigania haki za binadamu hasa katika mataifa yanayoongozwa na watawala katili/madikteta wa kiafrika.
Ukifuatilia katika akaunti yake ya twitter,utaona jinsi anavyojitoa kulaani ukiukwaji wa haki za binadamu unaofanywa dhidi ya raia katika mataifa mbalimbali ya kiafrika zikiwemo Tanzania, Uganda, Cameroon kama sikosei pamoja na nchi nyingine.
Uthibitisho wa taasisi yake kujitoa kupigania haki na utu wa watu ni maneno katika tweet yake hii ya tarehe 14/11/2020 ambapo aliandiki hivi:
"Our firm can guarantee nothing but try everything to help those who were disenfranchised so violently by the impostor"
Na hiki ndio anaonekana kukifanya sasa hata huko Uganda ambako nako kuna mambo ya hovyo hovyo yanayoendelea kuhusiana na uchaguzi.
Sitaki kuamini kuwa watu katika mataifa haya ya kiafrika wanaonyanyaswa na kuteswa na watawala, wana hela za kutosha kumlipa zaidi ya yeye na kampuni yake ya uwakili kujitolea tu kusaidia au kutoa huduma hiyo ya kisheria kwa kutoza gharama kidogo tu za kuchangia huduma hiyo na sio kupata faida.
Wapo mawakili wengi, lakini naona huyu na taasisi yake wanajitoa sana hivyo anastahili kupewa nishani kutambua mchango wake.
Kinachonimiza mini ni kuona mashetani wenye miili ya kibinadamu wanavyoongezeka awamu hii, mashetani wasiojali utu wa watu wengine kisa madaraka na kutafuta uteuziKinachoniumiza ni kuzidi kuona Wapumbavu wanazidi kuongezeka duniani!
Salary Slip sijui mlienda shule kweli? Ni aibu kuanzisha uzi kama huu!
Rubbish
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Hoja zenu ni ushoga tu.CCM mna propaganda za kipuuzi kweli.nikija sikia we jamaa ni shoga wala sitoshangaa..sio kwa kulamba miguu hivi mabeberu
siku hizi wanamwita Tundu Lissu Mwokoziikwahio na wewe umekaa unaamini propaganda zao? Kwamba yule jamaa aliigiza movie ndo mnasema ni Yesu? as always ni chadema! huezi kuta ccm wana mada kama izi
Ndo nasema kuwa puppet wa mabeberu huchelewi fanywa ushoga...nijibu kwanini Amsterdam and partner ni kampuni ya canada,ndege yetu ilikamatwa canada,barick gold makao makuu canadsa...Tundu Lissu katoka Ubelgiji kaenda canada...Na hii kampuni haichukui chini ya billion tano kama malipo unakuja na ujinga wa Pro-Borno...ni bange au UnyumbuHoja zenu ni ushoga tu.CCM mna propaganda za kipuuzi kweli.
Hamna hoja nyie.Wauji na majizi ya pesa za watu.Rudisheni hela za watu.Ndo nasema kuwa puppet wa mabeberu huchelewi fanywa ushoga...nijibu kwanini Amsterdam and partner ni kampuni ya canada,ndege yetu ilikamatwa canada,barick gold makao makuu canadsa...Tundu Lissu katoka Ubelgiji kaenda canada...Na hii kampuni haichukui chini ya billion tano kama malipo unakuja na ujinga wa Pro-Borno...ni bange au Unyumbu
https://news.yahoo.com/ap-exclusive-maduro-taps-dc-173805542.html
The previous firm, Foley & Lardner, backed out of a $12.5 million, five-month contract after Scott in a letter urged his Senate colleagues to boycott the firm. In a filing with the U.S. Justice Department on Friday, Foley said it had transferred to Amsterdam & Partners all funds - a little more than $1 million - it has received from its client.
rubbish!
Yesu ni mzungu?Sishangai kabisa sisi kutetewa na wazungu, maana hata Yesu mwenyewe ni mzungu, na ndio ametukomboa.
Mbona hajamfungulia kesi Trump unakumbuka " I can't breath
Unataka ajadiliwe muhamad?Yes, kama Yesu kabisa. Ingia kanisa usikie anayejadiliwa humo, kama hujisikia huyo mzungu aitwaye Yesu kuwa ndio mkombozi wetu.