Pengine kwenye hili wataona haya ama wataona aibu

Pengine kwenye hili wataona haya ama wataona aibu

Watanzania jifunzeni kwamba siasa ni game ya propaganda.
Hautakiwi kuwa na chuki binafsi kwenye siasa sababu siasa mtaji wake ni watu, propaganda n.k ili mradi kunipofanyika hizo propaganda kusiwepo uvunjifu wa amani, sheria n.k
Wewe ndiye mwenye mamlaka ya kuwagawia sifa husika hao wote ulio wataja? Mamlaka hayouliyatoa wapi!
 
Ndio vizuri Ili kukwepa ndumba za mshana
Kha..!
Haiti.jpeg
 
Back
Top Bottom