Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu bibi hatulii!! Hizi. Ndege anazifanya kama bajaj kila akiamka Kığulu na njia. Bibi unatia hasara Taifa kwa safari zisizo na tija.Sawa.. Kwa heri ya kuonanaView attachment 3153915
Naona aibu kujitambulisha kama mtanzaniaJuzi kwenye bango la tangazo la msiba wa mwanamziki mkongwe King Kikii waliambatanisha na picha ya mama.. Hii ilikuwa ni aibu kubwa na Nilikuwa kituko cha karne! Wengi walihoji.. Jamani hata kwenye misiba!?
Leo tumepata janga pale Kariakoo baada ya jengo moja la ghorofa kuporomoka na kufukia watu wengi.. Shughuli ya uokozi bado inaendelea, lakini imeshathibitika kuna marehemu, majreruhi na manusura
Mpaka adhuhuri ni CHADEMA waliokuwa wametoa pole.. Hapa hakuna lawama kwakuwa kipaumbele kikubwa kwa sasa ni uokozi
Chondechonde tunawaomba this time muone haya.. Muone aibu.. Msije mkalitumia janga hili kkisiasa
Tutataka kuona picha za wahanga wa tukio husika na si mapichapicha kama lile alilobebeshwa mchungaji na marangi yasiyoeleweka
Ifike mahali tuwe na tafakuri ya kafanya nini, lipi na wapiView attachment 3153908
Mambo hayaendi hivyo sheikh, tukiruhusu kila mmoja atumie silaha iliyo karibu naye hatutafika popote, kila kitu kina kanuni na miongozo, siasa zina kanuni na misiba vilevile, usituvuruge.Watanzania jifunzeni kwamba siasa ni game ya propaganda.
Hautakiwi kuwa na chuki binafsi kwenye siasa sababu siasa mtaji wake ni watu, propaganda n.k ili mradi kunapofanyika hizo propaganda kusiwepo uvunjifu wa amani, sheria n.k
Kama CCM wanafanya propaganda kwenye misiba, Chadema fanyeni propaganda kwenye ukabila, ACT fanyeni propaganda kwenye unafiki, CUF fanyeni propaganda kwenye udini n.k
Sisi wananchi tutachagua tunahitaji nini kwa mustakabali wetu na maendeleo yetu.
Unapozidiwa propaganda usichukie na kuanza lalamika bali na wewe fanya propaganda zaidi na zaidi kuliko mwingine yeyote unaeshindana nae kwenye siasa.
Usilete ujinga wako kwenye Majanga 🐼
Watanzania jifunzeni kwamba siasa ni game ya propaganda.
Hautakiwi kuwa na chuki binafsi kwenye siasa sababu siasa mtaji wake ni watu, propaganda n.k ili mradi kunapofanyika hizo propaganda kusiwepo uvunjifu wa amani, sheria n.k
Kama CCM wanafanya propaganda kwenye misiba, Chadema fanyeni propaganda kwenye ukabila, ACT fanyeni propaganda kwenye unafiki, CUF fanyeni propaganda kwenye udini n.k
Sisi wananchi tutachagua tunahitaji nini kwa mustakabali wetu na maendeleo yetu.
Unapozidiwa propaganda usichukie na kuanza lalamika bali na wewe fanya propaganda zaidi na zaidi kuliko mwingine yeyote unaeshindana nae kwenye siasa.
Na hata wao hawakuwa na muda nao hao wafuasi wa wa cdm Bali kushughulika tu na majeruhi.
Angalizo; kama haufaidikina siasa kama mbowe au lissu, tafadhali ikalie mbali maana mwisho wa siku inakupumguzia uwezo wa kufikiri tu.......ona Sasa km unabisha.
Mbona huyu mjinga anayeitwa Chalamila tayari amewahi sehemu ya tukio na kutoa hotuba ya kijinga kabisa huku akimtaja ''mama''? Hawa hawana aibu hawa. Kwenye eneo lenye janga unakwenda kutoa hotuba badala ya waokoaji kuwahi? Nchi yetu ni kama imejaa nyumbu yote.Si ni kama ule mliofanya kwa King Kikii ama kuna tofauti?
Huna akili Wala hekmaKumbe Mbowe na Lissu ndio wanaiongoza Tanzania. Hongera zao
Mbogamboga nao walileta ndukumi yao hapo!Walipofika wanajeshinndiyo angalau wanachi walishangilia ingawa nao walifika late hours. Ila wale mboga mboga waliovaa sare za kijani na polisi hakuna mtanzania aliyekuwa na muda nao.🔨🔨🔨💪🏿
Lema anaonyesha walipo wapumbavu 🐼😃
Huna akili Wala hekma
Nilitarajia kuona mama yao akisitisha au kuchelewesha ziara ya G20 ili ashiriki zoezi la uokoajiJuzi kwenye bango la tangazo la msiba wa mwanamziki mkongwe King Kikii waliambatanisha na picha ya mama.. Hii ilikuwa ni aibu kubwa na Nilikuwa kituko cha karne! Wengi walihoji.. Jamani hata kwenye misiba!?
View attachment 3153908
Kwanini usiweze peleka propaganda kwenye misiba?Huwezi peleka propaganda kwenye misiba.
Bi Chura ametoa pole akiwa angani.Juzi kwenye bango la tangazo la msiba wa mwanamziki mkongwe King Kikii waliambatanisha na picha ya mama.. Hii ilikuwa ni aibu kubwa na Nilikuwa kituko cha karne! Wengi walihoji.. Jamani hata kwenye misiba!?
Leo tumepata janga pale Kariakoo baada ya jengo moja la ghorofa kuporomoka na kufukia watu wengi.
Shughuli ya uokozi bado inaendelea, lakini imeshathibitika kuna marehemu, majreruhi na manusura
Mpaka adhuhuri ni CHADEMA waliokuwa wametoa pole.. Hapa hakuna lawama kwakuwa kipaumbele kikubwa kwa sasa ni uokozi
Chondechonde tunawaomba this time muone haya.. Muone aibu.. Msije mkalitumia janga hili kkisiasa
Tutataka kuona picha za wahanga wa tukio husika na si mapichapicha kama lile alilobebeshwa mchungaji na marangi yasiyoeleweka
Ifike mahali tuwe na tafakuri ya kafanya nini, lipi na wapi.
View attachment 3153908