Pengine kwenye hili wataona haya ama wataona aibu

Pengine kwenye hili wataona haya ama wataona aibu

Riport
 
Juzi kwenye bango la tangazo la msiba wa mwanamziki mkongwe King Kikii waliambatanisha na picha ya mama.. Hii ilikuwa ni aibu kubwa na Nilikuwa kituko cha karne! Wengi walihoji.. Jamani hata kwenye misiba!?

Leo tumepata janga pale Kariakoo baada ya jengo moja la ghorofa kuporomoka na kufukia watu wengi.. Shughuli ya uokozi bado inaendelea, lakini imeshathibitika kuna marehemu, majreruhi na manusura
Mpaka adhuhuri ni CHADEMA waliokuwa wametoa pole.. Hapa hakuna lawama kwakuwa kipaumbele kikubwa kwa sasa ni uokozi
Chondechonde tunawaomba this time muone haya.. Muone aibu.. Msije mkalitumia janga hili kkisiasa
Tutataka kuona picha za wahanga wa tukio husika na si mapichapicha kama lile alilobebeshwa mchungaji na marangi yasiyoeleweka
Ifike mahali tuwe na tafakuri ya kafanya nini, lipi na wapiView attachment 3153908
Naona aibu kujitambulisha kama mtanzania
 
Watanzania jifunzeni kwamba siasa ni game ya propaganda.
Hautakiwi kuwa na chuki binafsi kwenye siasa sababu siasa mtaji wake ni watu, propaganda n.k ili mradi kunapofanyika hizo propaganda kusiwepo uvunjifu wa amani, sheria n.k

Kama CCM wanafanya propaganda kwenye misiba, Chadema fanyeni propaganda kwenye ukabila, ACT fanyeni propaganda kwenye unafiki, CUF fanyeni propaganda kwenye udini n.k

Sisi wananchi tutachagua tunahitaji nini kwa mustakabali wetu na maendeleo yetu.
Unapozidiwa propaganda usichukie na kuanza lalamika bali na wewe fanya propaganda zaidi na zaidi kuliko mwingine yeyote unaeshindana nae kwenye siasa.
Mambo hayaendi hivyo sheikh, tukiruhusu kila mmoja atumie silaha iliyo karibu naye hatutafika popote, kila kitu kina kanuni na miongozo, siasa zina kanuni na misiba vilevile, usituvuruge.
 
Watanzania jifunzeni kwamba siasa ni game ya propaganda.
Hautakiwi kuwa na chuki binafsi kwenye siasa sababu siasa mtaji wake ni watu, propaganda n.k ili mradi kunapofanyika hizo propaganda kusiwepo uvunjifu wa amani, sheria n.k

Kama CCM wanafanya propaganda kwenye misiba, Chadema fanyeni propaganda kwenye ukabila, ACT fanyeni propaganda kwenye unafiki, CUF fanyeni propaganda kwenye udini n.k

Sisi wananchi tutachagua tunahitaji nini kwa mustakabali wetu na maendeleo yetu.
Unapozidiwa propaganda usichukie na kuanza lalamika bali na wewe fanya propaganda zaidi na zaidi kuliko mwingine yeyote unaeshindana nae kwenye siasa.

Huwezi peleka propaganda kwenye misiba.
 
Angalizo; kama haufaidikina siasa kama mbowe au lissu, tafadhali ikalie mbali maana mwisho wa siku inakupumguzia uwezo wa kufikiri tu.......ona Sasa km unabisha.

Kumbe Mbowe na Lissu ndio wanaiongoza Tanzania. Hongera zao
 
Si ni kama ule mliofanya kwa King Kikii ama kuna tofauti?
Mbona huyu mjinga anayeitwa Chalamila tayari amewahi sehemu ya tukio na kutoa hotuba ya kijinga kabisa huku akimtaja ''mama''? Hawa hawana aibu hawa. Kwenye eneo lenye janga unakwenda kutoa hotuba badala ya waokoaji kuwahi? Nchi yetu ni kama imejaa nyumbu yote.
 
Juzi kwenye bango la tangazo la msiba wa mwanamziki mkongwe King Kikii waliambatanisha na picha ya mama.. Hii ilikuwa ni aibu kubwa na Nilikuwa kituko cha karne! Wengi walihoji.. Jamani hata kwenye misiba!?


View attachment 3153908
Nilitarajia kuona mama yao akisitisha au kuchelewesha ziara ya G20 ili ashiriki zoezi la uokoaji
 
Huwezi peleka propaganda kwenye misiba.
Kwanini usiweze peleka propaganda kwenye misiba?
Unatakiwa ujue mtaji wa mwanasiasa yeyote ni watu, haijalishi hao watu wamejumuika kwa ajili ya sherehe, msiba, kanisani, msikitini n.k
Chama chochote kinachotaka ushawishi lazima kiwe na kitengo cha propaganda kinachofanya kazi vizuri.

Nchi kubwa kiuchumi duniani kama Marekani ili iendelee kuongoza katika nyanja zote za kiuchumi, dini kisiasa, kijeshi, afya, utawala n.k lazima iwekeze sana kwenye kitengo cha propaganda na ndio inachofanya na haijalishi kama hizo propaganda zina athari hasi kwa dunia au la.
Dunia hii haina usawa na haitokaa kuwa na usawa hadi hapo Mwenyezi MUNGU atakapo amua vinginevyo.
 
Juzi kwenye bango la tangazo la msiba wa mwanamziki mkongwe King Kikii waliambatanisha na picha ya mama.. Hii ilikuwa ni aibu kubwa na Nilikuwa kituko cha karne! Wengi walihoji.. Jamani hata kwenye misiba!?

Leo tumepata janga pale Kariakoo baada ya jengo moja la ghorofa kuporomoka na kufukia watu wengi.

Shughuli ya uokozi bado inaendelea, lakini imeshathibitika kuna marehemu, majreruhi na manusura
Mpaka adhuhuri ni CHADEMA waliokuwa wametoa pole.. Hapa hakuna lawama kwakuwa kipaumbele kikubwa kwa sasa ni uokozi

Chondechonde tunawaomba this time muone haya.. Muone aibu.. Msije mkalitumia janga hili kkisiasa
Tutataka kuona picha za wahanga wa tukio husika na si mapichapicha kama lile alilobebeshwa mchungaji na marangi yasiyoeleweka

Ifike mahali tuwe na tafakuri ya kafanya nini, lipi na wapi.

View attachment 3153908
Bi Chura ametoa pole akiwa angani.

Mkuu.
Hatuna serikali. Tuna kikundi cha watu wasiojali thamani ya maisha ya watu
 
Back
Top Bottom