Pengine Unamsikia tu Shetani Juu juu. Humfahamu Vizuri na Unasema ni Adui Yako

Hapo kwenye sadaka hata mm nimekupinga!! sio Kila unapoomba lazima uwe sadaka!! Muhimu ni maombi yako yaambatane na neno(ahadi) lililoandikwa kwenye Biblia! Mfano unatamani mafanikio , unasema Bwana uliahidi kuwa " utaenda mbele yangu na kusawszisha Mahali palikopaluza Isaya 45:2-
 
Maana yeye Mungu amejifunga kwenye neno lake(ahadi)) maana Yeye sio mwanadamu hata aseme uongo!!
 
Mungu ndio Shetani mwenyewe kwa maana Mungu alianza umba ulimwengu na mema na mabaya kabla ya kuumbwa Shetani Mungu alishaumba mema na mabaya kwa vyovyote hata Shetani asingekuwepo duniani basi ujue maovu yangekuwepo tu kwa maana Mungu alishaumba maovu kwa maneno rahisi Mungu ndio Shetani na yeye anawachora tu na kuwacheka
 
Sasa kwanini huyu mungu alitususia li shetani lenye uwezo kiasi hicho lije kutuvuruga

Yaani litutese duniani halafu lisababishe tuende na moto wa milele

Kweli huyu Mungu anatupenda?
 
Mi simuamini kiongozi yyte wa dini,kwanza Hana Cha kunisaidia!
Pili ,Mungu wetu Jesus,Jehova,Elohim ,Bwana wa majeshi ...hatetewi,ila anajitetea ....

Ila kuhusu kumwabudu,kumtukuza , kumtumikia yeye ni sahihi ndo anachotaka
 
Mi simuamini kiongozi yyte wa dini,kwanza Hana Cha kunisaidia!
Pili ,Mungu wetu Jesus,Jehova,Elohim ,Bwana wa majeshi ...hatetewi,ila anajitetea ....

Ila kuhusu kumwabudu,kumtukuza , kumtumikia yeye ni sahihi ndo anachotaka
Hao ni vyombo tuu vinatyowa wakati wowote
 
Shetani ni jini aliyekuwa kwenye kundi la malaika.

Hakuna malaika aliyewahi kumuasi Mungu.
 
..........Mungu ni roho , shetani ni roho na malaika ni roho.....

HAPANA
: HAPA UMEPOTOSHA KWA KIWANGO CHA AJABU SANA.
KILICHO ROHO NI MUNGU PEKE YAKE, MALAIKA SIYO ROHO NA HIVYO SHETANI SIYO ROHO KWA SABABU NI MALAIKA.
SIKU SHETANI ATAKAPOKUJA KUCHOMWA MOTO, POSSIBLY UTAMUONA KWA MACHO YAKO SIKU HIYO

MUNGU ANAO UWEZO WA KUWEPO KILA MAHALI KWA SABABU YEYE NI ROHO, SHETANI HANA HUO UWEZO WA KUWEPO KILA MAHALI KWA SABABU YEYE KAMA MALAIKA, IS AN INDIVIDUAL PERSONALITY NA HIVYO ANAPOKUWEPO SEHEMU MOJA, HAWEZI KUWEPOE SEHEMU NYINGINE TENA

KWA MFANO, KIPINDI MALAIKA GABRIEL ANATUMWA NA MUNGU KWENDA KWA MARIAMU KUMWAMBIA KUWA ATAMZAA MTOTO YESU, KWA MUDA WOTE USE AMBAO MALAIKA GABRIEL ALIKUWA YUPO PAMOJA NA MARIAM WANAONGEA, KWA MUDA HUO MALAIKA GABRIEL HAKUWEPO SEHEMU NYINGINE YOYOTE ILE ISIPOKUWA TU MAHALI PALE ALIPOKUWEPO PAMOJA NA MARIAM

HOWEVER SHETANI ANAO UWEZO ULE WA KU-MANIFEST AS IF YUPO KILA MAHALI KWA KUTUMIA MALAIKA ZAKE WAOVU ALIONAO NA AMBAO WAMETAPAKAA KILA MAHALI

KWA HIYO NI MUNGU PEKEE AMBAYE YUPO KILA MAHALI NA SI SHETANI WALA KIUMBE KINGINE CHOCHOTE KILE

TAFADHALI SANA NAOMBA UZINGATIE HILI NA UKAE MAKINI SANA NALO

Sweya Makungu
 
You're so protective about God the case which is very good!

Lakini ukweli ni huu:

Shetani pia ni Roho!

Sikiliza:Ebu kasome pale palipoandikwa...HAPO MWANZO ALIKUWEPO NENO... endelea mpk mwisho!

Sasa ukiongea habari ya Mungu na Shetani ujue unaongea na POSITIVE VERSUS NEGATIVE ENERGIES.

Constructive THOUGHTS produce some GODISH PRODUCTS.

DESTRUCTIVE THOUGHTS produce some delvish products.

Ondoa physicality unapoongea haya mambo-utapata ufahamu uliobora zaidi!
 
Mkuu samahani, na utani sahihisha kma nitakuwa nmekosea.

Kama malaika ni roho(nafsi), IMEANDIKWA: Kila nafsi itaonja umauti. Kwangu naamini malaika watatolewa roho na watakufa pia[emoji3581]

Kama mwanadamu ana roho(nafsi), IMEANDIKWA: Kila nafsi itaonja umauti. Kwangu naamini wanadamu wote watatolewa roho na watakufa pia[emoji3581]

Kama shetani ni roho(nafsi), IMEANDIKWA: Kila nafsi itaonja umauti. Kwangu naamini mashetani/ shetani watatolewa roho na watakufa pia[emoji3581]

Sasa pia uliandika MUNGU, nae ni roho (nafsi)[emoji777]

Hapo ipo vipi ?? wakati huo kwenye Quran and bibble imeandikwa kila nafsi itaonja umauti. Vipi kuhusu hili?? Kiufupi naomba ungemuelzea vizuri MUNGU kwa utukufu wake na ukubwa wake kwa unyenyekevu wa hali ya juu plz.

Ukiniambia MUNGU ni ROHO, kama inani changanya hivi. Kwa maana imeandikwa kila nafsi/roho itaonja umauti.

Kama nakosea naomba nikoselewe ili nielimike[emoji3578]
 
Kwa hiyo shetani ana mabawa ya vinanda??
 
Umefanya uchambuzi mzuri
 
Shetani ana physical body kama ya kwako. Hicho kitu kinamwondolea sifa ya kuwa ni Roho; Roho ni Mungu
Mbali na hilo, Mungu kuwa ni Roho ni kitu ambacho kinampa sifa ya pekee ya yeye kuwepo kila mahali (omnipresent). Shetani hana sifa ya kuwa omnipresent kwa sababu yeye si Roho. Ana mwili ambao unapokuwa upo Manzese, Kariakoo anakuwa hayupo isipokuwa malaika zake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…