The Valiant
JF-Expert Member
- Aug 16, 2017
- 2,826
- 3,947
TEC ililaanimimi ni mkatoliki, ilishangaza kuona kanisa katoliki halikulaani kushambuliwa kwa tundu lissu
Uchaguzi wa 2010 Kanisa lilishiriki kikamilifu kuwashawishi waumini wake, kutoa waraka wa aina ya viongozi wanaohitajika, kutoa elimu ya uraia na haki zao kwa waumini wao.
Ni wakati huo Chadema ilikuwa inaungwa mkono na jamii kubwa hasa wasomi na vijana.
Ni wakati huo Watanzania wengi walijitolea kuitetea Chadema kwa jasho na Damu....
Ilifika wakati ikawa ni aibu kwa Mtanzania hasa wa mjini kujitambulisha yeye ni ccm.
Iwe kwenye mkusanyiko au vyombo vya usafiri ukitetea ccm jamii yote inageuka kukuangalia wewe ni mtu wa aina gani...
Hii yote ilichangia na ushawishi wa Kanisa....
Uchaguzi wa serikali za mitaa 2014 uliweka rekodi kwenye siasa za upinzani Tanzania hasa Chadema, Chadema walichukua vijiji vingi sana hata kule ambako hakukutarajiwa walishinda.
Hii yote ilitokana na Mbegu iliyopandwa kwenye uchaguzi wa 2010.
Kosa kubwa mlilofanya ni kumkabidhi Lowasa chama, wenye akili walikaa pembeni na wengine kumuunga mkono Magufuli....wasomi wengi walikaa pembeni, watetezi walikata tamaa. chama kikabaki kutembelea kivuli cha 2010.
Kosa kubwa zaidi mnalolifanya ni kulishambulia Kanisa na viongozi wake, hili ndio kosa litakalowapoteza zaidi kwenye siasa za ushindani.
Dunia yote inatambua uwezo na nguvu ya ushawishi wa Kanisa, hivyo kujaribu kupambana na kanisa ni sawa na kunywa chai kwa mluzi....
Ndio Mkuu Pengo sio Kanisa, lakini huwezi kupuuza ushawishi wa Kardinali pengo ndani kanisa...Kwani Pengo ndiye kanisa?
Ungejua tu hata maaskofu wenzake wanamuona mzigo usingesema haya
Pengo sio kanisa katoliki.na kiufupi amechokwa .tena sio kuchokwa kidogo.sana tu
Baraza la Maaskofu ndilo lenye mamlaka na Kanisa katoliki Tanzania
Natumaini ulisoma hili Tamko la TEC
Baraza la Maaskofu Katoliki watoa tamko kulaani wauaji na shambulio kwa Tundu Lissu
endapo tu wewe hukuwa mmoja wa wale milioni sita tulioichagua CHADEMA...So huwezi kuwa na chochote Positive.Chadema wanataka kila mtu aseme wanachotaka wao, wanashindwa kuelewa kuwa kila kitu kina taratibu zake, kwa staili hii ikulu wataisikia tu.
Wanasahau kuwa Gwajima ni wa msimu tu, na anaishi kwa kuangalia upepo.Sasa hivi wamewekeza kwa Gwajima mkuu wa kanisa la kufufua misukule
Kanisa Katoliki sio kama Bavicha.!Hivi uchaguzi wa mwaka 2015 Chadema iliungwa mkono na Catholic? Hatutarudi nyuma, Pengo ni adui wa ustawi wa demokrasia! Aondoke kanisani!
Nani kakudanganya kuwa pengo ana ushawishi ndani ya kanisa?Ndio Mkuu Pengo sio Kanisa, lakini huwezi kupuuza ushawishi wa Kardinali pengo ndani kanisa...
Japo Kardinali pengo sio kiongozi mkuu wa kanisa Katoliki Tanzania, lakini watanzania wengi hasa wakatoliki wanamfahamu na kumheshimu Kardinali Pengo kuliko kiongozi yoyote yule wa kanisa nchini unaemfahamu wewe.
Chadema wanataka kila mtu aseme wanachotaka wao, wanashindwa kuelewa kuwa kila kitu kina taratibu zake, kwa staili hii ikulu wataisikia tu.
Namuamini 100%Umejibu kitu kingine kabisa,ningekuwa mwl wako ningekupa 10%kwa kutoruka swali tu.
Sent from my TECNO 7C using JamiiForums mobile app
Kwani unajua taratibu za kanisa kuongelea maswala ya Kitaifa.?mimi ni mkatoliki, ilishangaza kuona kanisa katoliki halikulaani kushambuliwa kwa tundu lissu
Zipo seminary nyingi za kikatoliki zinaitwa st Mary.. mf ile ya hapo mbalizi mbeya inaitwa st mary mbalizi... kuna moja iko hapo pwani inaitwa st. Mary's pia au maarufu kama Visiga seminarySaint Mery's ni shule za madhebu ya kilokole na siyo shule za kanisa katoliki.
Fatilia vizuri ujue mmiliki wa hiyo st.Mary ya Mbeya na hiyo ya pwani utajua kua hizo shule hazina muunganiko na kanisa Katoliki. Hizo mkurugenzi wake ni Mchungaji Mama Rwakatare.
Na hakuna aliyesema kanisa katoliki ni BAVICHAKanisa Katoliki sio kama Bavicha.!
Baraza la Maaskofu Katoliki watoa tamko kulaani wauaji na shambulio kwa Tundu LissuKwani unajua taratibu za kanisa kuongelea maswala ya Kitaifa.?
Kinachowagharimu ni kukosa mikakati na kujua ya kesho.Chadema wanataka kila mtu aseme wanachotaka wao, wanashindwa kuelewa kuwa kila kitu kina taratibu zake, kwa staili hii ikulu wataisikia tu.
Pole sana kwa kuichoka ccm lakini kwa mbinu mnazotumia ikulu mtaisikia tu. Mimi sina chama by the way.endapo tu wewe hukuwa mmoja wa wale milioni sita tulioichagua CHADEMA...So huwezi kuwa na chochote Positive.
Watanzania wanaendelea kutuamini na wamewachoka CCM isivyo kifani
Fatilia vizuri ujue mmiliki wa hiyo st.Mary ya Mbeya na hiyo ya pwani utajua kua hizo shule hazina muunganiko na kanisa Katoliki. Hizo mkurugenzi wake ni Mchungaji Mama Rwakatare.
Hakuna niliposema Chadema ni Chama cha kanisa....ila nimeongelea mchango wa kanisa kwenye ukuaji wa Chadema...Kama huna cha maana cha kuandika ni bora kukaa kimya badala ya kujidharaulisha kiasi hiki. Chadema si chama cha kanisa au wakristo au wachagga na ndiyo sababu kimeweza kushamiri Tanzania nzima hata kule Zenj kinakubaliwa na ndiyo sababu CUF hawakuona matatizo ya kushirikiana na Chadema.
Uwe unafikiri kwa kina kabla ya kukurupuka na kuandika pumba kiasi hiki.