Pengo: Kauli ya Askofu Niwemugizi (kwamba Katiba Mpya ndiyo kipaumbele cha wananchi) siyo msimamo wa Kanisa Katoliki

Pengo: Kauli ya Askofu Niwemugizi (kwamba Katiba Mpya ndiyo kipaumbele cha wananchi) siyo msimamo wa Kanisa Katoliki

Taratibu tunaanza angalia mawe yaisosahaulika. Gwajima sikumuelewa sana ingawa nilifurahia sana rap yake ile.Nilifurahia kwa vile niliona km kituko.si unajua Masanja yule zaidi ya kile kilio cha baadae huwa huwezi jua anatania au yupo serious. Pengine ni kwa vile sijawahi kutana na masanja asiyependa utani.

Ukweli sasa hivi karata zinachanganyika, uchaguzi uliopita makasisi wa katoliki walikuwa wapo wazi kabisa kuwa wamechoka giza wanataka mwanga na mwanga nje ccm. uchaguzi ulipita na giza lake nene, palikuwa na kimya cha siku mbili huweji jua watu wanashangilia au wanaomboleza. Siku sio nyingi Gwajima akapasuka.Wananchi hawakuwahi tegemea tuhuma km zile kwa kiongozi wetu.

Ni kiongozi aliyeaminika akikohoa tuu nchi inatikisika.Ila tayari wakatoliki walikuwa na minong`ono ,walikuwa ni wachache ila waliobaki nao pia kuna waliokuwa wakishindwa elewa mbon ahakuna kauli kauli kwa kiongozi wao haswa pale wakatoliki wanashuhudia makasisi wakiumizwa, wakuwawa, makanisa yakishambuliwa. Kiongozi wao hakuonekana.Kiongozi wao was missing, baadae kukawa na issue ya afya yake,kidogo ikarudisha matumaini na majibu ahaha , kumbe.

Ukweli ni kwamba kuna manung`uniko na wasio nung`unika ni wale wakatoliki wasiojua sana,ingawa wanajua ipo siku atasema na kwa vile ana ushawishi pengine atasikika. Kiongozi wa cathlic bhana alikuwa na nguvu, kuliko huyu Gwajima na wengine jumlisha.Ila Gwajima ndie alikuja piga stop, vurugu ktk nchi na alipiga kwa namna iliyopunguza sana mateso kwa raia<Gwajima alipiga kelele za usaliti. Wengine tulion ani kiki tuu km za Ponda na akna zitto.

Kuibuka kwa hizi tofauti sasa ihvi ni za ndani ya nyumba ya kiongozi wetu,dhidi ya wakazi wenzie na watoto zake ni wazi,sina sababu ya kutoanza mchukuliwa Gwajima kwa mapana zaidi. Na sio muda mrefu kelela za kiongozi wetu kupimwa uwezo wake ktk kuongoza timu hii kubwa zitaanza sikika.

Na km atakuwa mkweli imani imekata kabisa.Ni bora akaamua tuu kujiengua mapema kabla sauti hazijawa kali na ikaonekana kuwa ni kelele ndizo zimemtupa nje,haitokuwa stahiki yako.For the moment waumini nao wapo njia panda,wana hisia zao, makasisi nao sikuhizi wapo huru kuliko,achilia mbali maaskofu.

Kuna doa halifichiki.Kelele hizi toka hadi kwa madhehebu mengine ni wazi kuwa katoliki pamoja na mizaha wanayofanyiwa ktk seriuos issue walikuwa wakitegemewa kuwa serious driver. Mchezo wowote hapa ni hasara kwa catholic na hiyo imani haitorudi kirahisi ktk dunia hii. Hata heshima ya catholic ipo ktk line. For the moment Gwajima alionyesha kuwa ana misingi ktk ukatolic kuna kipande cha habari zake kinaanza thibika hapa.

MKUU UMEKULA KEKI BADO UNATAKA UBAKI NAYO? MNA UTARATIBU KTK NYUMBA WA KUWASILISHA MAONI SERIKALINI ILA HAMNA WA KUJADILIANA NA KUONDOA TOFAUTI ZENU NDANI HADI UKAJA TUAMBIA HADHARANI HUKU UMEMWACHA MWENZIO NDANI.NYUMBA YAKO TUMEKAA WENGI ,HAINA UTARATIBU WA KUWAANIKA WAKAZI WAKE,INGAWA INA MAHAKAMA YAKE NA ADHABU YAKE ILA SIO HAYA.NDIO MAANA NYUMBA HIYO INALAUMIWA SANA DUNIANI KUWA ILIWAKINGIA KIFUA WALE WALIOCHOPOKA NA KUFANYA YA KIDUNIA DHIDI YA WATOTO,WENZIO NA MENGINE.INGAWA MWISHOWE WALITOA ADHABU ZAO..MZEE WETU KWA AFYA YAKO NAKUSHAURI UTUNDIKE DARUGA. HATA UBONGO NAO UTAKUWA UMECHOKA KWA MAGONJWA.
 
Hii inaitwa kukumbuka shuka asubuhi
haya yalipaswa kufanywa zamani
hata Tundu Lissu alipoongoza UKAWA kutoka kwenye bunge la katiba hakujua
leo tutapata Rais wa aina hii
angejua angebaki kupitisha katiba ya kumdhibiti Rais...na tume ya uchaguzi huru
hata CCM hawakujua katiba nzuri inawahusu wao pia

Kwa kura zipi? Unakumbukumbu sahihi za Lipumba kuwaongoza UKAWA kutoka nje walikuwa wanapinga nini?

Maana unanitia mashaka makubwa kama rekodi zako ni Lisu ndio aliwaongoza UKAWA kutoka nje na si Lipumba basi ni wazi hujui hata kilichokuwa kinaendelea.
 
Ila kwa hali aliyonayo bora apumzike ameshamaliza kazi yake aliyotumwa kufanya hapa duniani! Arudi miangalua.
 
Pengo ndio Godfather wa Pombe..
mnamuona Pengo mnafiki basi siku akifa ndo mtatamani afufuke..
ndio mtu pekee anaeweza kumbishia Pombe kitu na akasikia..
magufuli-pengo.jpg
magufuli+baraka.jpg
CeY4ouRUIAAA6ly.jpg
 
Hamia uingereza mwehu wewe au ukiona vipi hamia Somalia maruhuni mkubwa tuachie Tanzania yetu

Mwl aliwahi kutuonya, tukiona watu wa aina yenu, tuwaone kama kunguni kitandani hamstahili kuvumiliwa, maana nyie ni nyoka kwenye umbo la binadamu mnastahili kuzomewa bila haya, kwa nini mlitumia bilions kutengeneza katiba mpya, hela mliyotumia sawa nakujenga km140 za lami, halafu mnaanza nyimbo za kijinga maendeleo, maendeleo huku mnalihujumu taifa ngedele wakubwa.
 
Uzuri hatujashikiwa akili. Endeleeni na majungu.

Mumetoka kwa Magu mnaingia kwenye madhehebu.
 
Kwa mujibu wa taratibu za kanisa katoliki,askofu pengo sio msemaji wa kanisa,Msemaji ni Rais wa Baraza la maaskofu Tanzania,

Rais wa Baraza la Maaskofu ndio Bosi wa Maaskofu wote nchini na hata askofu pengo anakuwa yuko chini yake, pia kama askofu pengo hakiutumwa na Rais wa Baraza la Maaskofu,na yeye pia hana mamlaka ya kulisemea kanisa katoliki na alichosema ni maoni yake


Ukadinali wake ni kwa ajili ya kupiga kura kumchagua Papa tu,ila yeye akiwa Tanzania kicheo ni Askofu wa Jimbo la Dar es Salaam,anataka watu waone kwamba Ukadinali ndio Ukubwa wa kanisa,Mkubwa wa kanisa ni Rais wa Baraza la Maaskofu Tanzania,na ni askofu wa Iringa Askofu Ngalalekumtwa na anayefatia kwa Cheo ni huyo Niwemugizi, Pengo yuko chini yake Rais wa Baraza

"first among equals" Pengo hamzidi Askofu yeyote kwa cheo,ni sawa na rafiki yangu sheikh mkuu wa mkoa wa Dar ajione mkubwa kuliko mashehe wa mikoa mingine
Aksante ufafanuzi mzuri kabisa
 
Wewe unalijua Kanisa Katoliki kuliko Kardinali Pengo ambaye anakaa meza moja na Papa? Pengo ana kiti chake Roma kwenye Meza moja na Papa, Pengo anaweza kuongea na Papa kwa Simu, wewe takataka unaweza kumpigia nani Simu hata akapokea?
Yeye alisoma St Mary's uzalendo ukamshinda akapata ugoni. Kwa ufahamisho tu, hakuna seminari ya jina hili hapaTanzania zaidi ya O-level.
 
Uchaguzi wa 2010 Kanisa lilishiriki kikamilifu kuwashawishi waumini wake, kutoa waraka wa aina ya viongozi wanaohitajika, kutoa elimu ya uraia na haki zao kwa waumini wao.

Ni wakati huo Chadema ilikuwa inaungwa mkono na jamii kubwa hasa wasomi na vijana.

Ni wakati huo Watanzania wengi walijitolea kuitetea Chadema kwa jasho na Damu.

Ilifika wakati ikawa ni aibu kwa Mtanzania hasa wa mjini kujitambulisha yeye ni CCM.

Iwe kwenye mkusanyiko au vyombo vya usafiri ukitetea CCM jamii yote inageuka kukuangalia wewe ni mtu wa aina gani.

Hii yote ilichangia na ushawishi wa Kanisa.

Uchaguzi wa serikali za mitaa 2014 uliweka rekodi kwenye siasa za upinzani Tanzania hasa Chadema, Chadema walichukua vijiji vingi sana hata kule ambako hakukutarajiwa walishinda.

Hii yote ilitokana na Mbegu iliyopandwa kwenye uchaguzi wa 2010.

Kosa kubwa mlilofanya ni kumkabidhi Lowasa chama, wenye akili walikaa pembeni na wengine kumuunga mkono Magufuli....wasomi wengi walikaa pembeni, watetezi walikata tamaa. chama kikabaki kutembelea kivuli cha 2010.

Kosa kubwa zaidi mnalolifanya ni kulishambulia Kanisa na viongozi wake, hili ndio kosa litakalowapoteza zaidi kwenye siasa za ushindani.

Dunia yote inatambua uwezo na nguvu ya ushawishi wa Kanisa, hivyo kujaribu kupambana na kanisa ni sawa na kunywa chai kwa mluzi.
 
Back
Top Bottom