Pengo: Kauli ya Askofu Niwemugizi (kwamba Katiba Mpya ndiyo kipaumbele cha wananchi) siyo msimamo wa Kanisa Katoliki

Pengo: Kauli ya Askofu Niwemugizi (kwamba Katiba Mpya ndiyo kipaumbele cha wananchi) siyo msimamo wa Kanisa Katoliki

Alilolisema Askofu NiweMugizi lina mashiko,vilevile lile alilolisema Kadinali Pengo nalo linamashiko.

Tatizo ni ubinafsi au kutafuta njia ya mkato kufikia kile tunachokitarajia.

Askofu wanaomuunga mkono wanachotaka ni katiba mpya kwa mawazo na fikra zao ndio mwarobaini wa maendeleo,udhibiti wa Mali za umma na uteuzi wa maofisa wa ngazi mbalimbali.

Maamuzi ya mambo muhimu yafanywe kwa utashi wa sheria sio utashi wa viongozi walioko madarakani. Askofu kaeleza msimamo wake kama Mtanzania, japo ni vigumu kumtofautisha mawazo yake na wadhifa wake.

Kadinali Pengo naye kilio chake ni Katiba mpya ila anaomba suala hili liende taratibu na kwa mpangilio huku juhudi zikiendelea kufanywa na serikali katika kuhakikisha Huduma za afya na elimu vinaboreshwa.

Waamini Katoliki ni watiifu kwa viongozi wao ndo maana baada ya kauli ya Askofu Severin NiweMugizi sintofahamu imejitokeza je? Huu ndo msimamo wa kanisa?

Kadinali kwa nafasi yake kama Askofu mkuu wa jumbo kuu la Dar es salaam anawajibika kuwaeleza kondoo wake aliokabidhiwa kuwachunga.

Hivyo na Maaskofu wengine katika himaya zao nao wakiona sintofahamu kwa kondoo wao itawabidi kutoa ufafanuzi.

Kisha kanisa kwa utaratibu wake litakutana na kutoa msimamo wake wa kichungaji na kuitaka serikali nini ifanye kwa wananchi wake.
 
Mkuu raisi wa baraza la maaskofu ni wa Iringa, Ngalalekumtwa alichukua kutoka kwa huyo wa Mwanza Dr. Ruweichi na msaidizi ni Niwemugizi wa jimbo la Rulenge kama sijakosea!
Ndivyo ilivyo mkuu. Huyu pengo anataka kutuaminisha kwamba maneno yake ndo msimamo wa kanisa. Anataka kuwa kama makonda anajifanya yeye ndo mkuu wa wakuu wote wa mikoa
 
Alilolisema Askofu NiweMugizi linamashiko,vilevile lile alilolisema Kadinali Pengo nalo linamashiko.

Tatizo ni ubinafsi au kutafuta njia ya mkato kufikia kile tunachokitarajia,

Askofu wanaomuunga mkono wanachotaka ni katiba mpya kwa mawazo na fikra zao ndio mwarobaini wa maendeleo,udhibiti wa Mali za umma na uteuzi wa maofisa wa ngazi mbalimbali.

Maamuzi ya mambo muhimu yafanywe kwa utashi wa sheria sio utashi wa viongozi walioko madarakani.Askofu kaeleza msimamo wake kama Tanzania,japo ni vigumu kumtofautisha mawazo yake na wadhifa wake.

Kadinali Pengo naye kilio chake ni Katiba mpya ila anaomba suala hili liende taratibu na kwa mpangilio huku juhudi zikiendelea kufanywa na serikali katika kuhakikisha Huduma za afya na elimu vinaboreshwa.

Waamini Katoliki ni watiifu kwa viongozi wao ndo maana baada ya kauli ya Askofu Severin NiweMugizi sintofahamu imejitokeza je? Huu ndo msimamo wa kanisa?

Kadinali kwa nafasi yake kama Askofu mkuu wa jumbo kuu la Dar es salaam anawajibika kuwaeleza kondoo wake aliokabidhiwa kuwachunga.

Hivyo na Maaskofu wengine katika himaya zao nao wakiona sintofahamu kwa kondoo wao itawabidi kutoa ufafanuzi.

Kisha kanisa kwa utaratibu wake litakutana na kutoa msimamo wake wa kichungaji na kuitaka serikali nn ifanye kwa wananchi wake.
Unakumbuka alichokifanya baba Kardinal Pengo wakati wa mvutano wa mahakama ya Kadhi?
 
Hamjamuelewa Pengo. Kasisitiza kuwa kuna utaratibu wa kanisa kuhusu kutoa matamko ya kisiasa. Sasa wapinga kila kitu wanakuja na mipash yao. Kwani pengo kasosea wapi? kwani Pengo kasema hataki katiba mpya?
We nae umekutupuka tu msome pengo mpaka mwisho ndo ujue mawazo yake juu ya katiba anataka nini.
 
Nathubutu kusema Askofu wangu Pengo uzee unamwingia vibaya...hata hekima ile ya kawaida ambayo angeweza kuwa nayo kijana form four failure kwake imeshaondoka{natubu kunena haya juu ya mpakwa mafuta}ila ukweli lazima usemwe!!!sijui amehongwa au ninini sijui,labda nae anautafuta ukuu wa wilaya?!au ukatibu mkuu!inasikitisha.
Nae si alipewa mgao wa Escrow? Ndo maana haoni umhimu wa katiba
 
Pengo ni mtu wa heshima na anajua mipaka yake ya madaraka. Usilazimisha aingie kwenye siasa kama unavyotaka wewe.
Angejua mipika yake ya madaraka asingekuwa anasemea kanisa. Maana yeye siyo msemaji wa kanisa. Msemaji ni Mkutwa
 
Mhashamu Askofu Kardinali Pengo amesema kuwa kauli iliyotolewa na askofu Niwemugizi kuwa katiba mpya ndiyo kipaumbele cha wananchi sio msimamo wa kanisa kwa sababu kanisa lina taratibu zake za kuishauri serikali au kuzungumzia masuala ya jamii.

Pia amesema kwake yeye katiba ni kitu kije baadaye si cha haraka.

chanzo: gazeti la Mwananchi via facebook.
Hata yy aliyoyasema si msimamo wa baraza la maaskofu ninavyofaham Mhasham Baba Askofu Niwemugizi ni makamu wa rais wa baraza la Maaskofu Tanzania lbd kama kuna mabadiliko yalifanyika lkn pia kardnal kwa sasa c mwenye afya njema kwa muda mrefu lkn pia na uzee hatuwezi jua hiyo ni kazi ya MUNGU szan kama yuko sawa sana ki fikra tumwachie roho mtakatifu ambaye ndiye mlinzi wetu,lkn pia c vibaya kwa pengo kumtetea rafiki yake huyu sizonje, niwemugizi ni mtu wa kusema kweli.
Asiyejitambua huyu! Kauli ile ni msimamo wa Watanzania tulio wengi. Unazidi kupoteza mvuto kwenye jamii ya Watanzania kwa kutokemea maovu ya dikteta uchwara.
 
Hilo ni Pengo kweli aisee si ndio huyu alisema waacheni wana nchi wachague kula ya ndio au hapana wala wasishauliwe juu ya Katiba alaf sahivi anasema nini tena!!!! Hili pengo linatumika na serikali.
 
Msimamo wa kanisa hutolewa mara baada ya Baraza la maaskofu kuketi,so wote hao kila mmoja ametoa maano yake binafsi.
Na kwa inshu ya ukubwa sijaelewa unamaanisha nini kwani kwa mujibu wa kanisa daraja ni la upadri tu hivyo vingine ni vyeo tu vinavyowekwa ili kuwepo kwa usimamizi na kardinali ndio msemaji wa mwisho wa kanisa ktk inchi husika so acha kupotosha watu.
kubali kuelimishwa na wanaojua protocol ya kanisa katoliki. Tunaojua 2nakucheka tu, kwa Ww kuona Cardinal ni mkuu wa Maaskofu ktk nchi husika. Umeelimishwa lakini bado unajitia uchizi.
 
Kwa mujibu wa taratibu za kanisa katoliki,askofu pengo sio msemaji wa kanisa,Msemaji ni Rais wa Baraza la maaskofu Tanzania,

Rais wa Baraza la Maaskofu ndio Bosi wa Maaskofu wote nchini na hata askofu pengo anakuwa yuko chini yake, pia kama askofu pengo hakiutumwa na Rais wa Baraza la Maaskofu,na yeye pia hana mamlaka ya kulisemea kanisa katoliki na alichosema ni maoni yake


Ukadinali wake ni kwa ajili ya kupiga kura kumchagua Papa tu,ila yeye akiwa Tanzania kicheo ni Askofu wa Jimbo la Dar es Salaam,anataka watu waone kwamba Ukadinali ndio Ukubwa wa kanisa,Mkubwa wa kanisa ni Rais wa Baraza la Maaskofu Tanzania,na ni askofu wa Iringa Askofu Ngalalekumtwa na anayefatia kwa Cheo ni huyo Niwemugizi, Pengo yuko chini yake Rais wa Baraza

"first among equals" Pengo hamzidi Askofu yeyote kwa cheo,ni sawa na rafiki yangu sheikh mkuu wa mkoa wa Dar ajione mkubwa kuliko mashehe wa mikoa mingine
Mkuu, Pengo ni askofu mkuu jimbo kuu katoliki la Daresalaam lkn pia ni kardinal Tanzania.
 
Pengo anatumika vibaya sana aachane na uaskofu ateuliwe hata ukuu wa wilaya...
 
Naona kama Kardinali alikuwa out of context kabisa!
Askofu Pengo amekuwa misquoted. Yeye kasema Askofu Niwemugizi ni Mtanzania ana haki ya kutoa maoni yake, lakini ili kutowakwaza waamini ni vyema asisitize kuwa ni msimamo binafsi. Hii ni kwa vile Mkristu ukiona Askofu wako akisema yuko tayari kufa "kutetea katiba ya Warioba" au yuko tayari "kuitwa mchochezi" kutaka katiba mpya, huyo haongei Kimungu.

Halafu kasema yeye Pengo hana uelewa wa economics au kilimo cha kisasa, kwa hiyo si sawa kujipiga kifua akitoa maneno makali halafu adai ni maoni binafsi. Ila kasema iwapo Askofu Niwemugizi angesema "Mungu ni mmoja", hapo angeeleweka kwa vile ana utaalamu nalo.

Hii ni safari ya pili Askofu Pengo kuokoa jahazi: wakati wa mchakato wa katiba, huyu huyu Niwemugizi aliitaka serkali ichapishe kaiva vitsbu milioni 27 kuwatosha wapiga kura wote (ni nyingi kuliko Biblia), akasema Watanzania waisome katiba tarajiwa, waielewe, halafu waikatae (vitabu milioni 27 tule hasara!!), na kwenye uchaguzi waikatae CCM.

Ndipo Kard. Pengo akawataka Watanzania waisome katiba, waielewe, halafu waamue wenyewe.

Askofu Niwemugizi wa Dayosisi ya Ngara anajulikana katika Kanisa kuwa ni mtu wa CHADEMA. Kabila lake ni Mhutu.
 
Alilolisema Askofu NiweMugizi linamashiko,vilevile lile alilolisema Kadinali Pengo nalo linamashiko.

Tatizo ni ubinafsi au kutafuta njia ya mkato kufikia kile tunachokitarajia,

Askofu wanaomuunga mkono wanachotaka ni katiba mpya kwa mawazo na fikra zao ndio mwarobaini wa maendeleo,udhibiti wa Mali za umma na uteuzi wa maofisa wa ngazi mbalimbali.

Maamuzi ya mambo muhimu yafanywe kwa utashi wa sheria sio utashi wa viongozi walioko madarakani.Askofu kaeleza msimamo wake kama mtanzania,japo ni vigumu kumtofautisha mawazo yake na wadhifa wake.

Kadinali Pengo naye kilio chake ni Katiba mpya ila anaomba suala hili liende taratibu na kwa mpangilio huku juhudi zikiendelea kufanywa na serikali katika kuhakikisha Huduma za afya na elimu vinaboreshwa.

Waamini Katoliki ni watiifu kwa viongozi wao ndo maana baada ya kauli ya Askofu Severin NiweMugizi sintofahamu imejitokeza je? Huu ndo msimamo wa kanisa?

Kadinali kwa nafasi yake kama Askofu mkuu wa jumbo kuu la Dar es salaam anawajibika kuwaeleza kondoo wake aliokabidhiwa kuwachunga.

Hivyo na Maaskofu wengine katika himaya zao nao wakiona sintofahamu kwa kondoo wao itawabidi kutoa ufafanuzi.

Kisha kanisa kwa utaratibu wake litakutana na kutoa msimamo wake wa kichungaji na kuitaka serikali nn ifanye kwa wananchi wake.

Siyo kweli! Mimi ni Mkatoliki na sifuati kauli tu kwa vile imesemwa na papa, askofu, padre, katekista au kiongozi wa jumuiya ndogondogo mpaka iwe na ushawishi kwangu kwamba haipingani na neno la Mungu na ina mchango chanya kwa imani ya Kanisa na imani yangu na pia ustawi wangu na wa familia yangu. Nje ya criteria hii, papa, askofu, padre, katekista au kiongozi wa jumuiya ndogondogo anajisumbua maana sitafuata neno lake.

Hivyo, siyo kweli kwamba "Wakatoliki ni watiifu kwa viongozi wao". Labda ungesema "baadhi ya Wakatoliki ni watiifu kwa viongozi wao" (maana hata wakiambiwa mambo yasiyo ya msingi wanatii). Kwangu siyo hivyo - hata mahubiri ya padre nayachuja kama hayakidhi kiwango hata sisikilizi, natoka nje ili amalize au nakacha kabisa. Ninafuata imani yangu kwa uhuru na si kwa kumwogopa kiongozi wa kiroho maana hivi ndivyo nilivyoelelewa.
 
kubali kuelimishwa na wanaojua protocol ya kanisa katoliki. Tunaojua 2nakucheka tu, kwa Ww kuona Cardinal ni mkuu wa Maaskofu ktk nchi husika. Umeelimishwa lakin bado unajitia uchiz.

Siyo kweli. Lengo Siyo msemaji wa Kabisa Mkatoliki,Msemaji ni Rais wa Baraza la Maaskofu. Kila Jimbo Lin askofu wake ambaye anareport kwa balozi wa Vatican ndiyo sababu Pengo hana uwezo wa kumsimamisha Padre au Askofu wa Jimbo lolote labda jimboni kwake tu.
 
Askofu Pengo amekuwa misquoted. Yeye kasema Askofu Niwemugizi ni Mtanzania ana haki ya kutoa maoni yake, lakini ili kutowakwaza waamini ni vyema asisitize kuwa ni msimamo binafsi. Hii ni kwa vile Mkristu ukiona Askofu wako akisema yuko tayari kufa "kutetea katiba ya Warioba" au yuko tayari "kuitwa mchochezi" kutaka katiba mpya, huyo haongei Kimungu.

Halafu kasema yeye Pengo hana uelewa wa economics au kilimo cha kisasa, kwa hiyo si sawa kujipiga kifua akitoa maneno makali halafu adai ni maoni binafsi. Ila kasema iwapo Askofu Niwemugizi angesema "Mungu ni mmoja", hapo angeeleweka kwa vile ana utaalamu nalo.

Hii ni safari ya pili Askofu Pengo kuokoa jahazi: wakati wa mchakato wa katiba, huyu huyu Niwemugizi aliitaka serkali ichapishe kaiva vitsbu milioni 27 kuwatosha wapiga kura wote (ni nyingi kuliko Biblia), akasema Watanzania waisome katiba tarajiwa, waielewe, halafu waikatae (vitabu milioni 27 tule hasara!!), na kwenye uchaguzi waikatae CCM.

Ndipo Kard. Pengo akawataka Watanzania waisome katiba, waielewe, halafu waamue wenyewe.

Askofu Niwemugizi wa Dayosisi ya Ngara anajulikana katika Kanisa kuwa ni mtu wa CHADEMA. Kabila lake ni Mhutu.

Askofu Niwemugizi alieleweka vizuri sana, labda Kardinali Pengo ndiye hakumwelewa.
 
Anafafana na huyu wa tz mana mda wake umeisha amekomaa na kudai akizindua parokia 100 bas atastaafu amefika 120 amebadili eti mpk afe akiwa askofu sasa anatetea mwenzie mi sishangai
 
Back
Top Bottom