Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yale ni maoni binafsi kwani alisema ni ya Kanisa?Hamjamuelewa Pengo. Kasisitiza kuwa kuna utaratibu wa kanisa kuhusu kutoa matamko ya kisiasa. Sasa wapinga kila kitu wanakuja na mipash yao. Kwani pengo kasosea wapi? kwani Pengo kasema hataki katiba mpya?
Sioni hoja yako ni ipi hasa. Potelea mbali, iwe vyovyote vile iwavyo: huyu pengor afahamishwe kwamba yeye kama mchungaji mkuu wa kanisa la Tanzania anayo kura yake kwenye uchaguzi wa Papa. Na huko Roma yeye kweli ndiye mwenye veto ya kuamua (kuunga mkono, kupinga, kuhoji, etc) chochote kwa niaba ya Tzhttps://www.jamiiforums.com/members/bak.1397/; https://www.jamiiforums.com/members/papaa-musofe.453370/; https://www.jamiiforums.com/members/bila-bila.404967/; https://www.jamiiforums.com/members/yamakagashi.388285/; https://www.jamiiforums.com/members/sibonike.33815/; https://www.jamiiforums.com/members/laptop90.454055/; https://www.jamiiforums.com/members/mij.132955/; https://www.jamiiforums.com/members/kilambimkwidu.444704/; https://www.jamiiforums.com/members/kikurunge.378491/; https://www.jamiiforums.com/members/heller.189208/; https://www.jamiiforums.com/members/zigu.449045/; https://www.jamiiforums.com/members/mwanadome.311310/; https://www.jamiiforums.com/members/sir_mimi.274275/; https://www.jamiiforums.com/members/mhembejr.414702/; https://www.jamiiforums.com/members/zanzibar-asp.185761/; https://www.jamiiforums.com/members/kimarabucha.445959/; https://www.jamiiforums.com/members/consigliere.26211/; https://www.jamiiforums.com/members/jme.161402/; https://www.jamiiforums.com/members/b191.377448/; https://www.jamiiforums.com/members/m-mbabe.19553/; https://www.jamiiforums.com/members/rugaijamu.24576/; https://www.jamiiforums.com/members/chevirole.456213/; https://www.jamiiforums.com/members/kiatu-kipya.402197/; https://www.jamiiforums.com/members/adolay.62960/; Erythrocyte and others
Comment ifuatayo inawahusu sana
Kwa maoni yangu ninaona kabla ya kulaumu/kubeza n.k ni vizuri tukachua muda wa kutosha kusoma kwa makini na kuelewa: 1. Kilichosemwa na Mwadhama Kardinali Pengo, 2. Kilichosemwa na Mhashamu Askofu Niwemugizi, 3. Hairakia ya kanisa Katoliki Tanzania. Tofauti na hapo kuna hatari ya: 1. Kueleza visivyo yaliotamkwa/dhamiriwa na wasemaji wenyewe, 2. Kutoa matamshi mabaya kwa hawa viongozi. Mfano kuna mmoja hapo juu amesema Rais wa Baraza la Maaskofu Tanzania ni askofu wa Mwanza! Jamani tusome, tuulize kutoka vyanzo husika (piechdii, 2017).
Huyu askufu wangu ananiabisha ila tumsamehe kwani afya yake ina mgogoro na amebakisha miaka michache astaafu tutue zigo hiliMhashamu Askofu Kardinali Pengo amesema kuwa kauli iliyotolewa na askofu Niwemugizi kuwa katiba mpya ndiyo kipaumbele cha wananchi sio msimamo wa kanisa kwa sababu kanisa lina taratibu zake za kuishauri serikali au kuzungumzia masuala ya jamii.
Pia amesema kwake yeye katiba ni kitu kije baadaye si cha haraka.
chanzo: gazeti la Mwananchi via facebook.
Umenichokoza kwny field yng ewe mwanalumumba usiye na upeo, kwanza usidhani katiba ni kitabu, katiba ni makubaliano ya watawala na watawaliwa jinsi ya kuendesha taifa. Uingereza wana katiba na katiba yao inakuwa categorized kama "UNCODIFIED CONSTITUTION" aina ya katiba hii huwa inafuata mila na desturi za maamuz ya nchi yao tangu miaka ya zaman. Yan kama walipanga uchaguz uwe baada ya miaka minne bas wataifuata sheria hiyo miaka yote.Uingereza haijawahi kuwa na katiba na haina mpango wa kuwa na katiba lakini ni nchi iliyoendelea.Katiba sio kipaumbele cha maendeleo
Huo ukatoliki umeingia lini mjahidina weweNaunga mkono hoja japo na mie ni mkatoliki ila huyu pengo amekuwa kikwazo kikubwa kwa mabadiliko ya kweli ya uchumi na ustawi wa jamii yetu.
kipindi cha jei kei walimuonea sana mkwere wa watu kwa matamko kila siku...leo anainuka kumtetea mkatoliki muhasi mwenzetu.
https://www.jamiiforums.com/members/bak.1397/ https://www.jamiiforums.com/members/papaa-musofe.453370/ https://www.jamiiforums.com/members/bila-bila.404967/ https://www.jamiiforums.com/members/yamakagashi.388285/ https://www.jamiiforums.com/members/sibonike.33815/ https://www.jamiiforums.com/members/laptop90.454055/ https://www.jamiiforums.com/members/mij.132955/ https://www.jamiiforums.com/members/kilambimkwidu.444704/ https://www.jamiiforums.com/members/kikurunge.378491/ https://www.jamiiforums.com/members/heller.189208/ https://www.jamiiforums.com/members/zigu.449045/ https://www.jamiiforums.com/members/mwanadome.311310/ https://www.jamiiforums.com/members/sir_mimi.274275/ https://www.jamiiforums.com/members/mhembejr.414702/ https://www.jamiiforums.com/members/zanzibar-asp.185761/ https://www.jamiiforums.com/members/kimarabucha.445959/ https://www.jamiiforums.com/members/consigliere.26211/ https://www.jamiiforums.com/members/jme.161402/ https://www.jamiiforums.com/members/b191.377448/ https://www.jamiiforums.com/members/m-mbabe.19553/ https://www.jamiiforums.com/members/rugaijamu.24576/ https://www.jamiiforums.com/members/chevirole.456213/ https://www.jamiiforums.com/members/kiatu-kipya.402197/ https://www.jamiiforums.com/members/adolay.62960/ Erythrocyte and others
Comment ifuatayo inawahusu sana
Kwa maoni yangu ninaona kabla ya kulaumu/kubeza n.k ni vizuri tukachua muda wa kutosha kusoma kwa makini na kuelewa: 1. Kilichosemwa na Mwadhama Kardinali Pengo, 2. Kilichosemwa na Mhashamu Askofu Niwemugizi, 3. Hairakia ya kanisa Katoliki Tanzania. Tofauti na hapo kuna hatari ya: 1. Kueleza visivyo yaliotamkwa/dhamiriwa na wasemaji wenyewe, 2. Kutoa matamshi mabaya kwa hawa viongozi. Mfano kuna mmoja hapo juu amesema Rais wa Baraza la Maaskofu Tanzania ni askofu wa Mwanza! Jamani tusome, tuulize kutoka vyanzo husika (piechdii, 2017).
Na link ya video ya Kadinali Pengo hii apa nchini
Wengi wenu mnaotema mapovu hamja jibidiiasha kutafuta habari zaidi, Mkembilia tu kuja kupost wamwanzo, tena kejeli
Hawa jamaa madam ni wapuuzi sana wanadhani hatuskiliza kile alichosema NiwemugiziYale ni maoni binafsi kwani alisema ni ya Kanisa?
Pamoja na kujaza maneno ya kuokoteza ya kilatini na kiingereza uliyoweka conclusion ni kuwa Uingereza haina katiba. Hayo mengine umejaza porojo zenye maneno ya kilatini na kiingerezaUmenichokoza kwny field yng ewe mwanalumumba usiye na upeo, kwanza usidhani katiba ni kitabu, katiba ni makubaliano ya watawala na watawaliwa jinsi ya kuendesha taifa. Uingereza wana katiba na katiba yao inakuwa categorized kama "UNCODIFIED CONSTITUTION" aina ya katiba hii huwa inafuata mila na desturi za maamuz ya nchi yao tangu miaka ya zaman. Yan kama walipanga uchaguz uwe baada ya miaka minne bas wataifuata sheria hiyo miaka yote.
Kihistoria uingereza iliwah kuwa na katiba ya kuandikwa kama ss miaka ya 1215 ikijulikana kama "MAGNA CARTA" na pia mwaka 1717 walikua na kitu kinaitwa TREATY OF UNION. Waingereza huwa wanatumia busara kama hizo kufanya maamuz yao ya kikatiba, siku nyingine usithubutu kuongea uongo kwny jukwaa lililosheheni manguli wa kila kitu
https://www.jamiiforums.com/members/bak.1397/ https://www.jamiiforums.com/members/papaa-musofe.453370/ https://www.jamiiforums.com/members/bila-bila.404967/ https://www.jamiiforums.com/members/yamakagashi.388285/ https://www.jamiiforums.com/members/sibonike.33815/ https://www.jamiiforums.com/members/laptop90.454055/ https://www.jamiiforums.com/members/mij.132955/ https://www.jamiiforums.com/members/kilambimkwidu.444704/ https://www.jamiiforums.com/members/kikurunge.378491/ https://www.jamiiforums.com/members/heller.189208/ https://www.jamiiforums.com/members/zigu.449045/ https://www.jamiiforums.com/members/mwanadome.311310/ https://www.jamiiforums.com/members/sir_mimi.274275/ https://www.jamiiforums.com/members/mhembejr.414702/ https://www.jamiiforums.com/members/zanzibar-asp.185761/ https://www.jamiiforums.com/members/kimarabucha.445959/ https://www.jamiiforums.com/members/consigliere.26211/ https://www.jamiiforums.com/members/jme.161402/ https://www.jamiiforums.com/members/b191.377448/ https://www.jamiiforums.com/members/m-mbabe.19553/ https://www.jamiiforums.com/members/rugaijamu.24576/ https://www.jamiiforums.com/members/chevirole.456213/ https://www.jamiiforums.com/members/kiatu-kipya.402197/ https://www.jamiiforums.com/members/adolay.62960/ Erythrocyte and others
Comment ifuatayo inawahusu sana
Kwa maoni yangu ninaona kabla ya kulaumu/kubeza n.k ni vizuri tukachua muda wa kutosha kusoma kwa makini na kuelewa: 1. Kilichosemwa na Mwadhama Kardinali Pengo, 2. Kilichosemwa na Mhashamu Askofu Niwemugizi, 3. Hairakia ya kanisa Katoliki Tanzania. Tofauti na hapo kuna hatari ya: 1. Kueleza visivyo yaliotamkwa/dhamiriwa na wasemaji wenyewe, 2. Kutoa matamshi mabaya kwa hawa viongozi. Mfano kuna mmoja hapo juu amesema Rais wa Baraza la Maaskofu Tanzania ni askofu wa Mwanza! Jamani tusome, tuulize kutoka vyanzo husika (piechdii, 2017).
Na link ya video ya Kadinali Pengo hii apa nchini
Wengi wenu mnaotema mapovu hamja jibidiiasha kutafuta habari zaidi, Mkembilia tu kuja kupost wamwanzo, tena kejeli
Pamoja na kujaza maneno ya kukoteza ya Kilatini na Kiingereza uliyoweka conclusion ni kuwa Uingereza haina katiba. Hayo mengine umejaza porojo zenye maneno ya Kilatini na Kiingereza
Hawajui protocol kuwa alichoongea askofu niwemugizi hata kijimbo anakoongoza tamko lile halitambuliki sababu hakuna kikao cha jimbo cha kanisa kilichokaa na kumpa go ahead ya kusema alichosema. Niwemugizi ajiandae kuhamishiwa VaticanPengo yuko sahihi, Msimamo wa kanisa katoriki unatolewa na baraza la maaskofu hii ni kauli ya pili kuitoa aliitoa wakati ule askofu Kilaini aliposema Kikwete ni chaguo la Mungu wakosoaji wameangalia kwa mtazamo binafsi badala ya uhalisia
Msimamo wa kanisa hutolewa mara baada ya Baraza la maaskofu kuketi,so wote hao kila mmoja ametoa maano yake binafsi.Kwa mujibu wa taratibu za kanisa katoliki,askofu pengo sio msemaji wa kanisa,Msemaji ni Rais wa Baraza la maaskofu Tanzania,
Rais wa Baraza la Maaskofu ndio Bosi wa Maaskofu wote nchini na hata askofu pengo anakuwa yuko chini yake, pia kama askofu pengo hakiutumwa na Rais wa Baraza la Maaskofu,na yeye pia hana mamlaka ya kulisemea kanisa katoliki na alichosema ni maoni yake
Ukadinali wake ni kwa ajili ya kupiga kura kumchagua Papa tu,ila yeye akiwa Tanzania kicheo ni Askofu wa Jimbo la Dar es Salaam,anataka watu waone kwamba Ukadinali ndio Ukubwa wa kanisa,Mkubwa wa kanisa ni Rais wa Baraza la Maaskofu Tanzania,na ni askofu wa Iringa, pengo yuko chini yake Rais wa Baraza
"first among equals" Pengo hamzidi Askofu yeyote kwa cheo,ni sawa na rafiki yangu sheikh mkuu wa mkoa wa Dar ajione mkubwa kuliko mashehe wa mikoa mingine