Kwa mtu mwenye akili timamu kabisa hawezi kudhani kuwa katiba ni kipaumbele cha kwanza kwa Watanzania.
Kipaumbele cha kwanza kabisa kwa Watanzania ni maendeleo, yaani uwepo wa huduma bora za jamii nk.
Tunachokihitaji kikubwa kabisa sisi Watanzania ni pamoja na commitment, uadilifu na uzalendo wa viongozi na wananchi wake.
KATIBA inaweza kuwa ni nzuri kabisa lakini watu wake wakawa ni maskini wakutupwa nk.
Kwa hiyo mimi naunga mkono kauli ya Askofu Pengo.
Kipaumbele cha kwanza kabisa kwa Watanzania ni maendeleo, yaani uwepo wa huduma bora za jamii nk.
Tunachokihitaji kikubwa kabisa sisi Watanzania ni pamoja na commitment, uadilifu na uzalendo wa viongozi na wananchi wake.
KATIBA inaweza kuwa ni nzuri kabisa lakini watu wake wakawa ni maskini wakutupwa nk.
Kwa hiyo mimi naunga mkono kauli ya Askofu Pengo.