kiatu kipya
JF-Expert Member
- Dec 4, 2016
- 3,269
- 1,977
Pengo ni MNAFIKI sana, Niwemugizi alitoa maoni yake binafsi wakati wa kongamano lile,kwani kuna sehemu ilinukuliwa ikisema yale ni maoni ya Kanisa Katoliki? Tuache unafiki nimekosa uvumilivu na Baba Kadinali Pengo