Pengo: Kauli ya Askofu Niwemugizi (kwamba Katiba Mpya ndiyo kipaumbele cha wananchi) siyo msimamo wa Kanisa Katoliki

Pengo: Kauli ya Askofu Niwemugizi (kwamba Katiba Mpya ndiyo kipaumbele cha wananchi) siyo msimamo wa Kanisa Katoliki

we lofa UK wana values na customs ambazo kwazo ndio muongozo labda tuanze kujadili aina za katiba otherwise funga domo lako usidanganye hapa
Watanzania pia tuna values na customs katiba sio kipaumbele chetu
 
Kwa mujibu wa taratibu za kanisa katoliki,askofu pengo sio msemaji wa kanisa,Msemaji ni Rais wa Baraza la maaskofu Tanzania,

Rais wa Baraza la Maaskofu ndio Bosi wa Maaskofu wote nchini na hata askofu pengo anakuwa yuko chini yake, pia kama askofu pengo hakiutumwa na Rais wa Baraza la Maaskofu,na yeye pia hana mamlaka ya kulisemea kanisa katoliki na alichosema ni maoni yake


Ukadinali wake ni kwa ajili ya kupiga kura kumchagua Papa tu,ila yeye akiwa Tanzania kicheo ni Askofu wa Jimbo la Dar es Salaam,anataka watu waone kwamba Ukadinali ndio Ukubwa wa kanisa,Mkubwa wa kanisa ni Rais wa Baraza la Maaskofu Tanzania,na ni askofu wa mwanza,pengo yuko chini yake Rais wa Baraza

"first among equals" Pengo hamzidi Askofu yeyote kwa cheo,ni sawa na rafiki yangu sheikh mkuu wa mkoa wa Dar ajione mkubwa kuliko mashehe wa mikoa mingine
Umenena Vema hata waandishi wa HABARI hawajui protocol ya kanisa Katoliki. Hushawishika kumuhoji Mwadhama Polycarp Kadinali Pengo badala ya Rais wa Baraza la maaskofu au Katibu wa Baraza la maaskofu.
 
Nathubutu kusema Askofu wangu Pengo uzee unamwingia vibaya...hata hekima ile ya kawaida ambayo angeweza kuwa nayo kijana form four failure kwake imeshaondoka{natubu kunena haya juu ya mpakwa mafuta}ila ukweli lazima usemwe!!!sijui amehongwa au ninini sijui,labda nae anautafuta ukuu wa wilaya?!au ukatibu mkuu!inasikitisha.
Mpakwa mafuta anapokwenda kinyume na maagizo ya mungu basi kuhani mkuu huagizwa na mungu kumtia mafuta mteule mpya na yule kaidi mungu humfutilia mbali hata kizazi chake...

Rejea daudi alivyopakwa mafuta kuchukua nafasi ya sauli.

kwa muktadha huo basi naomba tuamini mpakwa mafuta wa kale zama zake zishakwisha na sasa ni zama za mpakwa mafuta mpya....baba askofu niwemugizi.
 
Uingereza haijawahi kuwa na katiba na haina mpango wa kuwa na katiba lakini ni nchi iliyoendelea.Katiba sio kipaumbele cha maendeleo
Hata sisi tukifikia kuwa kama UK hatutahitaji katiba. Tukiacha kufungia magazeti kwa sababu ya ukosoaji, au kuzuia TV live kwa sababu za kijinga, tukifikia hapo kweli hatutahitaji katiba.
 
Umenena Vema hata waandishi wa HABARI hawajui protocol YA kanisa wakatoliki. Hushawishika kumuhoji Mwadhama Polycarp kadinali Pengo badala YA Rais wa Baraza la maaskofu au Katibu wa Baraza la maaskofu.
Wanahabari wanatakiwa waelewe pia kuna shemasi amewahi kuwa cardinal na kuna padri ni cardinal
 
Hata sisi tukifikia kuwa kama UK hatutahitaji katiba. Tukiacha kufungia magazeti kwa sababu ya ukosoaji, au kuzuia TV live kwa sababu za kijinga, tukifikia hapo kweli hatutahitaji katiba.
Hamia uingereza basi au ukiona vipi sepa hamia Somalia
 
Yote hayo anayasema Pengo leo ni kwa sababu anayetawala sasa ni Mkatoliki ambaye inadaiwa kwa makusudi anaipa Favor ya juu taasisi ya ukatoliki hapa Tanzania.

Kama mtawala angekuwa ni muislamu(Kama kipindi kile cha Kikwete) Askofu Pengo ungemwona yuko busy kila Jumapili kuikosoa serikali na kudai uwepo wa katiba mpya yenye kutoa haki kwa watanzania.
Naunga mkono hoja japo na mie ni mkatoliki ila huyu pengo amekuwa kikwazo kikubwa kwa mabadiliko ya kweli ya uchumi na ustawi wa jamii yetu.
kipindi cha jei kei walimuonea sana mkwere wa watu kwa matamko kila siku...leo anainuka kumtetea mkatoliki muhasi mwenzetu.
 
Kwa mujibu wa taratibu za kanisa katoliki,askofu pengo sio msemaji wa kanisa,Msemaji ni Rais wa Baraza la maaskofu Tanzania,

Rais wa Baraza la Maaskofu ndio Bosi wa Maaskofu wote nchini na hata askofu pengo anakuwa yuko chini yake, pia kama askofu pengo hakiutumwa na Rais wa Baraza la Maaskofu,na yeye pia hana mamlaka ya kulisemea kanisa katoliki na alichosema ni maoni yake


Ukadinali wake ni kwa ajili ya kupiga kura kumchagua Papa tu,ila yeye akiwa Tanzania kicheo ni Askofu wa Jimbo la Dar es Salaam,anataka watu waone kwamba Ukadinali ndio Ukubwa wa kanisa,Mkubwa wa kanisa ni Rais wa Baraza la Maaskofu Tanzania,na ni askofu wa mwanza,pengo yuko chini yake Rais wa Baraza

"first among equals" Pengo hamzidi Askofu yeyote kwa cheo,ni sawa na rafiki yangu sheikh mkuu wa mkoa wa Dar ajione mkubwa kuliko mashehe wa mikoa mingine
Nashukuru, mimi nilikuwa najua Kardinali ni cheo kikubwa kuliko vyote? Asante sana kwa kunifungua. Sasa maswali yangu ni haya; 1. Kwanini ahamishwi jimbo la Dar
2. Kwanini ionekane yeye ndio anasikilizwa sana na serikali
3. Nipe jina lake kamili
4. Je, Mhashamu ni nini?
 
Kwa mujibu wa taratibu za kanisa katoliki,askofu pengo sio msemaji wa kanisa,Msemaji ni Rais wa Baraza la maaskofu Tanzania,

Rais wa Baraza la Maaskofu ndio Bosi wa Maaskofu wote nchini na hata askofu pengo anakuwa yuko chini yake, pia kama askofu pengo hakiutumwa na Rais wa Baraza la Maaskofu,na yeye pia hana mamlaka ya kulisemea kanisa katoliki na alichosema ni maoni yake


Ukadinali wake ni kwa ajili ya kupiga kura kumchagua Papa tu,ila yeye akiwa Tanzania kicheo ni Askofu wa Jimbo la Dar es Salaam,anataka watu waone kwamba Ukadinali ndio Ukubwa wa kanisa,Mkubwa wa kanisa ni Rais wa Baraza la Maaskofu Tanzania,na ni askofu wa mwanza,pengo yuko chini yake Rais wa Baraza

"first among equals" Pengo hamzidi Askofu yeyote kwa cheo,ni sawa na rafiki yangu sheikh mkuu wa mkoa wa Dar ajione mkubwa kuliko mashehe wa mikoa mingine
[emoji4] [emoji4] siongezi neno mkuu umemaliza
 
Kama hataki apumzike tu kama mwenzie Benedicto wa 16, sio lazima ufie kwenye kiti
[emoji23] [emoji23] yule Mzee anazeeka vibaya.

Yeye si msemaji wa kanisa imekuje...hana heshima kwa rais wake wa maaskofu askofu mkuu wa Mwanza.
Ukadinali ni cheo tu cha kupigia kura Vatican kuchagua papa ukiwa bongo ni askofu tu wa mkoa kama maaskofu wengine wa mikoa...[emoji2] [emoji2]
 
BAK
papaa musofe
Bila bila
Yamakagashi
Sibonike
laptop90
kilambimkwidu
kikurunge
Heller
Zigu
mwanadome
Sir_Mimi
Mhembejr
Zanzibar-ASP
Consigliere
jme
b191
kirikou1
M-mbabe
Rugaijamu
chevirole
kiatu kipya
adolay
OKW BOBAN SUNZU
Erythrocyte
Super Sub Steve
Mwendabure
JERUSALEMU

and others


Comment ifuatayo inawahusu sana

Kwa maoni yangu ninaona kabla ya kulaumu/kubeza n.k ni vizuri tukachua muda wa kutosha kusoma kwa makini na kuelewa: 1. Kilichosemwa na Mwadhama Kardinali Pengo, 2. Kilichosemwa na Mhashamu Askofu Niwemugizi, 3. Hairakia ya kanisa Katoliki Tanzania. Tofauti na hapo kuna hatari ya: 1. Kueleza visivyo yaliotamkwa/dhamiriwa na wasemaji wenyewe, 2. Kutoa matamshi mabaya kwa hawa viongozi. Mfano kuna mmoja hapo juu amesema Rais wa Baraza la Maaskofu Tanzania ni askofu wa Mwanza! Jamani tusome, tuulize kutoka vyanzo husika (piechdii, 2017).

Na link ya video ya Kadinali Pengo hii apa chini
Wengi wenu mnaotema mapovu hamja jibidiiasha kutafuta habari zaidi, Mmekembilia tu kuja kupost wamwanzo, tena kejeli na matusi

 
Pengo ni MNAFIKI sana ,Niwemugizi alitoa maoni yake binafsi wakati wa kongamano lile,kwani kuna sehemu ilinukuliwa ikisema yale ni maoni ya Kanisa Katoliki? Tuache unafiki nimekosa uvumilivu na Baba kadinal Pengo
Na tena alisema ni bora aitwe mchochezi hakusema ni bora kanisa katoliki liitwe linachochea
 
Back
Top Bottom