YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,902
- 52,001
Kardinali sio askofu wa kawaida.Pengo sio kiongozi mkuu wa kabisa katoliki,he us a mere askofu
Ujue kwanza ni askofu wa Raisi wa nchi. Magufuli askofu wake ni pengo, pili kardinali ana Siri za kanisa katoliki za dunia nzima na za Vatican ambazo askofu mwingine wa kawaida Hana sababu ni mjumbe wa vikao vizito vya Vatican ambavyo husimamia Mambo Ya kanisa. Pengo ni mtu wa Karibu na Papa. Magufuli akitaka kitu cha kumwambia Papa anaongea na pengo ambaye ni mtu wa karibu na Papa akamwambie hawezi kuongea na Niwemugizi ambaye mwisho wake ngara