Pengo: Kauli ya Askofu Niwemugizi (kwamba Katiba Mpya ndiyo kipaumbele cha wananchi) siyo msimamo wa Kanisa Katoliki

Pengo: Kauli ya Askofu Niwemugizi (kwamba Katiba Mpya ndiyo kipaumbele cha wananchi) siyo msimamo wa Kanisa Katoliki

Wakuu natanguliza salamu .

Maelekezo makuu ya Mungu kwa wanadamu ni kuishi katika kweli iliyojaa haki tupu , kutenda mema na kukataa maovu , hivyo tunategemea kiongozi yeyote wa dini ya kweli aishi na atende kama Mungu alivyoelekeza .

Kardinali Pengo anatenda kinyume na Maagizo haya ya Mungu , ni wazi ameamua kujipambanua kuukumbatia unafiki , Amejipachika usemaji wa Kanisa kinyume cha utaratibu .

Ni vema sasa Kwa kulinda heshima yake lililojiwekea miaka mingi , kanisa Katoliki linapaswa KUMTIMUA kardinali Pengo ili akaendeleze harakati zake za kupinga katiba mpya ndani ya chama chake cha ccm .

Naomba kuwasilisha .
Kwani kosa lake ni nini?sisi wakatoliki hatujamtuma hayo na kasema "kwa maoni yake",unapinga ile falsafa ya uhuru wa maoni kwa kuwa tu hayakufanana na unayotaka kusikia. Hata Niwemugizi amesema kama yeye na kujibiwa kama yeye,so take it easy,hafukuzwi mtu hapa.

Sent from my TECNO 7C using JamiiForums mobile app
 
Naona msumali wa Kadinali Pengo umewachoma sana

Anatuaibisha na kutuharbia imani na matendo yetu.

Mbona Pengo
Haoni wanaookotwa wamekufa/uwawa coco beach

Haoni kupigwa risasi raia

Kwanini hawezi kulaaani matukio yakutisha na kuumiza watanzania

Pengo anaudhalilisha
 
Wakuu natanguliza salamu .

Maelekezo makuu ya Mungu kwa wanadamu ni kuishi katika kweli iliyojaa haki tupu , kutenda mema na kukataa maovu , hivyo tunategemea kiongozi yeyote wa dini ya kweli aishi na atende kama Mungu alivyoelekeza .

Kardinali Pengo anatenda kinyume na Maagizo haya ya Mungu , ni wazi ameamua kujipambanua kuukumbatia unafiki , Amejipachika usemaji wa Kanisa kinyume cha utaratibu .

Ni vema sasa Kwa kulinda heshima yake lililojiwekea miaka mingi , kanisa Katoliki linapaswa KUMTIMUA kardinali Pengo ili akaendeleze harakati zake za kupinga katiba mpya ndani ya chama chake cha ccm .

Naomba kuwasilisha .

RC wanauvumilivu sana
Kufukuzana wanafukuzana Anglikana na walokole
 
Papa si Mungu
Roma si mbinguni.



GET WELL SOON LISSU
If you are not catholic stop commenting about catholic church, because you don't know nothing. Kwa imani yetu, Yesu hakwenda mbinguni na mamlaka yake. Aliyaacha hapa hapa duniani kwa viongozi wa kanisa. Yaani waliachiwa mamlaka ya kufunga na kufungua chochote hapa duniani, na wakifanya hivyo, kitu hicho kinakuwa kimefungwa au kufunguliwa pia huko Mbinguni. Read your bible again, and be careful what you say.
 
nimetoka kuiangalia ile video ya gwajima, nimejikuta nafarijika sana. bravo gwajima
 
Wakuu natanguliza salamu .

Maelekezo makuu ya Mungu kwa wanadamu ni kuishi katika kweli iliyojaa haki tupu , kutenda mema na kukataa maovu , hivyo tunategemea kiongozi yeyote wa dini ya kweli aishi na atende kama Mungu alivyoelekeza .

Kardinali Pengo anatenda kinyume na Maagizo haya ya Mungu , ni wazi ameamua kujipambanua kuukumbatia unafiki , Amejipachika usemaji wa Kanisa kinyume cha utaratibu .

Ni vema sasa Kwa kulinda heshima yake lililojiwekea miaka mingi , kanisa Katoliki linapaswa KUMTIMUA kardinali Pengo ili akaendeleze harakati zake za kupinga katiba mpya ndani ya chama chake cha ccm .

Naomba kuwasilisha .
Si rahisi kiasi hicho ndg ,ni kweli gardinal yuko nje ya haki lkn utaratibu ni mgum sana nasani pia na magonjwa lkn pia uzee ndo vitu vinavyomsumbua nazani akili yake na kumbukumbu vinamkimbia Baba askofu tumuombee.
 
Waambieni tu na wakwenu KKKT waunge mkono katiba mpya tatizo liko wapi. Vinginevyo ni upumbaff namba moja kushabikia vyama visivyokuwa na agenda za kuleta maendeleo kwa wananchi hata vikapata support kubwa.kutwa kucha kudandia matukio matukio.kardinali Pengo alisema huo sio msimamo wa kanisa bali ni mawazo yake huyo aliyeyatoa.kuna propaganda zingine hadi kichefuchefu
Sasa kama si msimamo wa kanisa naye Pengo hayo aliyoyasema ni mismamo wake au kanisa ?!. Kumbuka huyu Pengo hata wakati wa bunge la katiba aliwakoroga watu kwa kuukana waraka wa baraza la maaskofu Tz, napo pia alidai siyo msimamo wa kanisa!!

Pamoja na hayo mambo ya KKT, RC, SDA, ISLAM, AIC, ANGLICAN & PENTECOSTE yasiwagawe WaTz na tukauacha ukweli kisa tu aliyezungumza si wa kwetu!!.
 
Wakuu natanguliza salamu .

Maelekezo makuu ya Mungu kwa wanadamu ni kuishi katika kweli iliyojaa haki tupu , kutenda mema na kukataa maovu , hivyo tunategemea kiongozi yeyote wa dini ya kweli aishi na atende kama Mungu alivyoelekeza .

Kardinali Pengo anatenda kinyume na Maagizo haya ya Mungu , ni wazi ameamua kujipambanua kuukumbatia unafiki , Amejipachika usemaji wa Kanisa kinyume cha utaratibu .

Ni vema sasa Kwa kulinda heshima yake lililojiwekea miaka mingi , kanisa Katoliki linapaswa KUMTIMUA kardinali Pengo ili akaendeleze harakati zake za kupinga katiba mpya ndani ya chama chake cha ccm .

Naomba kuwasilisha .

Mkuu unafikiri Kanisa Katoliki ni kama chama chako cha Chadema?? Hiyo ni dola kama dola zingine duniani hivyo siyo kama chama cha siasa kama Chadema!!
 
Utakufa unawaza hivyo!Vi vyama vya kijinga km VYENU laiti ningekuwa magu...vingeishia....pamoja na watu wake!Upuuzi tupu!Na mtakufa bila kushika dola!
Kweli akili ni hazina kubwa sana, wakati wajinga mawazo yao yameishia kwenye kushika dora wenye akili wanawaza kuwa na katiba bora inayolinda na kujali demokrasia ya kweli
 
RC wanauvumilivu sana
Kufukuzana wanafukuzana Anglikana na walokole

Kweli mkuu kwa tabia hizi Za Pengo I can think and decide the other way.

Kuliko kuwa nakiongozi wa hovyohovyo namna hii bora kuhamia kwa jirani

Eti anavaa joho nakusimama madhabahuni kwa mafundisho yahovyo namna hii.

Pengo asidhani tupo wajinga that way.
 
Wakuu natanguliza salamu .

Maelekezo makuu ya Mungu kwa wanadamu ni kuishi katika kweli iliyojaa haki tupu , kutenda mema na kukataa maovu , hivyo tunategemea kiongozi yeyote wa dini ya kweli aishi na atende kama Mungu alivyoelekeza .

Kardinali Pengo anatenda kinyume na Maagizo haya ya Mungu , ni wazi ameamua kujipambanua kuukumbatia unafiki , Amejipachika usemaji wa Kanisa kinyume cha utaratibu .

Ni vema sasa Kwa kulinda heshima yake lililojiwekea miaka mingi , kanisa Katoliki linapaswa KUMTIMUA kardinali Pengo ili akaendeleze harakati zake za kupinga katiba mpya ndani ya chama chake cha ccm .

Naomba kuwasilisha .
Na akistaafu anapewa ubunge wa zile nafasi kumi awe Waziri wa Muungano
Ili ukajitupe kwenye mkondo wa Nungwi na chuki zako
 
Naomba nikuulize kosa lake ni nini? Kwani maneno ya Askofu Niwemgizi si ni msimamo wake binafsi? Ukumbuke na wala si msimamo wa jimbo lake la Rulenge. Unakosea sanaaaa na kutenda dhambi kwa kumhukumu kwa maoni yake. Cardinal ametoa naye maoni yake USIYOYAPENDA ila ukweli unabaki pale pale kuwa mpaka baraza la maaskofu likae ndipo linaweza kutoa msimamo wa kanisa katoliki hapa Tanzania. take it or reject it its your wish mkuu
Baba Kadinali Pwngo karopoka kwa sababu si mzungumzaji wa baraza la maaskofu kwa hiyo na yeye anapashwa kwa sababu ni msimamo wake binafsi si wa kanisa katoliki mzee wetu baba mtakatifu amekosea sana na angejiupeshe katika siasa za kutetea wauaji anaharibi siha na sura ya kanisa katoliki nchini
 
Wakuu natanguliza salamu .

Maelekezo makuu ya Mungu kwa wanadamu ni kuishi katika kweli iliyojaa haki tupu , kutenda mema na kukataa maovu , hivyo tunategemea kiongozi yeyote wa dini ya kweli aishi na atende kama Mungu alivyoelekeza .

Kardinali Pengo anatenda kinyume na Maagizo haya ya Mungu , ni wazi ameamua kujipambanua kuukumbatia unafiki , Amejipachika usemaji wa Kanisa kinyume cha utaratibu .

Ni vema sasa Kwa kulinda heshima yake lililojiwekea miaka mingi , kanisa Katoliki linapaswa KUMTIMUA kardinali Pengo ili akaendeleze harakati zake za kupinga katiba mpya ndani ya chama chake cha ccm .

Naomba kuwasilisha .
Hawezi kufukuzwa ila inatosha kwamba Tumezijua Rangi zake 'We have Known His True Colors'
 
Baba Kadinali Pwngo karopoka kwa sababu si mzungumzaji wa baraza la maaskofu kwa hiyo na yeye anapashwa kwa sababu ni msimamo wake binafsi si wa kanisa katoliki mzee wetu baba mtakatifu amekosea sana na angejiupeshe katika siasa za kutetea wauaji anaharibi siha na sura ya kanisa katoliki nchini
Wake-up tuache ushabiki hayo ni maono yake na kwa vile ni Cardinal ana jukumu pia kikanisa kulea kanisa! The best you guys you can do ni kuignore tu. Tatizo liko wapi?
 
Back
Top Bottom