Pengo: Kauli ya Askofu Niwemugizi (kwamba Katiba Mpya ndiyo kipaumbele cha wananchi) siyo msimamo wa Kanisa Katoliki

Pengo: Kauli ya Askofu Niwemugizi (kwamba Katiba Mpya ndiyo kipaumbele cha wananchi) siyo msimamo wa Kanisa Katoliki

Mi cjakuelewa umeficha sana ulichotaka kusema. Mbona unafumba kiasi kwamba unaogopa watu wasiijulika
 
Pole sana kwa kuichoka ccm lakini kwa mbinu mnazotumia ikulu mtaisikia tu. Mimi sina chama by the way.
huhitaji kusema kuwa huna chama.
Unashauri mbinu gani labda?
Girl..stay calm..take your way.we take our way
 
Hakuna niliposema Chadema ni Chama cha kanisa....ila nimeongelea mchango wa kanisa kwenye ukuaji wa Chadema...
kwani CHADEMA wamesema wanataka mchango wa kanisa kwenye kukua kwake>?
 
Ndio Mkuu Pengo sio Kanisa, lakini huwezi kupuuza ushawishi wa Kardinali pengo ndani kanisa...

Japo Kardinali pengo sio kiongozi mkuu wa kanisa Katoliki Tanzania, lakini watanzania wengi hasa wakatoliki wanamfahamu na kumheshimu Kardinali Pengo kuliko kiongozi yoyote yule wa kanisa nchini unaemfahamu wewe.

Heshima yake hiyo pia inapungua kwa maoni km haya aliyoyatoa.
 
Uchaguzi wa 2010 Kanisa lilishiriki kikamilifu kuwashawishi waumini wake, kutoa waraka wa aina ya viongozi wanaohitajika, kutoa elimu ya uraia na haki zao kwa waumini wao.

Ni wakati huo Chadema ilikuwa inaungwa mkono na jamii kubwa hasa wasomi na vijana.

Ni wakati huo Watanzania wengi walijitolea kuitetea Chadema kwa jasho na Damu....

Ilifika wakati ikawa ni aibu kwa Mtanzania hasa wa mjini kujitambulisha yeye ni ccm.

Iwe kwenye mkusanyiko au vyombo vya usafiri ukitetea ccm jamii yote inageuka kukuangalia wewe ni mtu wa aina gani...

Hii yote ilichangia na ushawishi wa Kanisa....

Uchaguzi wa serikali za mitaa 2014 uliweka rekodi kwenye siasa za upinzani Tanzania hasa Chadema, Chadema walichukua vijiji vingi sana hata kule ambako hakukutarajiwa walishinda.

Hii yote ilitokana na Mbegu iliyopandwa kwenye uchaguzi wa 2010.

Kosa kubwa mlilofanya ni kumkabidhi Lowasa chama, wenye akili walikaa pembeni na wengine kumuunga mkono Magufuli....wasomi wengi walikaa pembeni, watetezi walikata tamaa. chama kikabaki kutembelea kivuli cha 2010.

Kosa kubwa zaidi mnalolifanya ni kulishambulia Kanisa na viongozi wake, hili ndio kosa litakalowapoteza zaidi kwenye siasa za ushindani.

Dunia yote inatambua uwezo na nguvu ya ushawishi wa Kanisa, hivyo kujaribu kupambana na kanisa ni sawa na kunywa chai kwa mluzi....
Wewe unazungumzia KKKT siyo Katoliki!!
 
Kanisa katoliki chini ya ushawishi Wa dokta slaa waliweza kuingusha CUF Aàmbayo ilijikita vilivyo bara na visiwani kuchukua nchi, figisu za hili kanisa likaaibua chadema ambayo haikua hata na matawi lakini ikaibuka kuwa chama kikuu cha upinzani. Kanisa katoliki ndilo lililofanya nchi isitawalike enzi za jk propaganda za udini mpaka mkwele kaondoka madarakani kwa matusi na kejeli. Siasa za bongo pasua kichwa.
 
Mwanahabari Huru

Askofu Pengo unafiki sio sehemu yetu wakatoliki, sikutaka kuandika chochote kuhusiana na wewe, mimi nimebatizwa katika RC nimekuwa muumini mkubwa, nimesoma shule ya Upadri St Mary's Seminary, ninaijua Rc.

Nimesikitishwa sana na kauli zako za kipuuzi, zilizo jaa unafiki, tumekusikia sana ukijipambanua kuwa wewe si muumini wa mabadiliko, tuambie upande wako ni UPI.

Askofu wangu Pengo umemjibu Askofu Niwemugizi alie jitokeza hadhalani na kusema watanzania wanataka katiba mpya, umefufuka ulikotoka na kumshambulia Askofu kuwa katiba au maneno ya Askofu sio msimamo wa RC lakini hakusema kuwa ni msimamo wa RC. Lakini unajua Askofu Niwemugizi si msemaji wa Rc, maana yake alisema kama Mawazo yake kikatiba, na wewe unamjua msemaji wa RC ulitaka kutafuta uhalali wa kujibu mashambulizi la watawala, of target.

Naona umetoka kwa kasi sana kujibu shambulizi hill!,! Lakini hutoki hadhalani kuonya matukio ya kuuwawa kwa watanzania na kutupwa kwenye maji wakiwa wamefungwa mikono Nyuma, wanaopigwa Risasi kama kina tundu Lissu, kuonya viongozi wanao toa maneno ya kibaguzi na kikabila, huwezi kuonya kufokea au kushauri, kazi yako imekuwa ni kujibu mashambulizi kwa wanao ikosoa serikali,

Au unavyeti feki? Unamiliki Mali zisizo halali? Kiongozi wa kiroho unashindwa kujua nini wajibu wako? Sio mala ya kwanza kupingwa na maaskofu wenzio akiwepo Gwajima na kupelekana mahakamani ambapo Askofu Gwajima alikushinda kesi.

Viongozi wa dini simamieni haki na sio unafiki kujipendekeza kama mnataka ubunge, au teuzi za kina mama Lwakatale sawa, Hata mkitaka usemaji wa Ccm nafasi za kina polepole.

Swali la Kizushi: WATU WASIOJULIKANA WANATOKEA RWANDA TUMUOMBE TUNDU LISSU
Mkuu wewe mtu mdogo sana huwezi mshauri Kardinali Pengo!! Kawashauri wanasiasa!! Huyu mzee amekuzidi mambo mengi sana yakiutu uzima!
 
Huujui ukatoliki unachangia nn kaa kimya sio kila uzi lazima uchangie angalia unapoweza kuchangia au kama hufahamu uliza wanaofahamu
 
Hayo ya kujiuzuli Papa Benedict yamekuja kwa sababu Askofu Pengo katoa maoni yake kama kiongozi mkuu wa jimbo katoliki la Dar?.

Jifunzeni kuzoea kusikia maoni yenye mantiki tofauti na zile mnazotembea nazo vichwani mwenu.
Kwa sababu afya yake sio nzuri tena kuongoza umati mkubwa hivi.Pia sababu aliyotoa inampinga pia, kasema kanisa lina njia yake ya kuwasilisha maoni, ila kasahau pia kanisa lina njia zake za kuwajibisha makasisi wake wanapotofautiana ndani kwa ndani.Kavunja sheria aliyotaka itetea.
 
endapo tu wewe hukuwa mmoja wa wale milioni sita tulioichagua CHADEMA...So huwezi kuwa na chochote Positive.
Watanzania wanaendelea kutuamini na wamewachoka CCM isivyo kifani
Hivi hivi milioni sita walichagua Chadema au walichagua Lowasa.?

Halafu kumbuka kuna CUF, NCCR na wengineo..!
 
Kwa hiyo sifa ya unafiki Vatican kwa papa inakubalika? Kwani Niwemugizi sio Askofu wa Katoliki? Tena Niwemugizi ni Makamu Mwenyekiti wa TEC, kwa hiyo ukizungumzia Kanisa Katoliki Tanzania TEC ndio hasa wenyewe sio Pengo wala Papa. Usipindishe hoja tafadhali.

Vv
Wewe hujui kitu mambo ya dini waachie wenyewe!
 
Na sasa wanajichimbia kaburi. Wakati ule. Ilikuwa ni kwa sababu ya Dr Slaa. Asikuambie MTU kwa sasa RC wako na JPM. Mwezao
 
Uchaguzi wa 2010 Kanisa lilishiriki kikamilifu kuwashawishi waumini wake, kutoa waraka wa aina ya viongozi wanaohitajika, kutoa elimu ya uraia na haki zao kwa waumini wao.

Ni wakati huo Chadema ilikuwa inaungwa mkono na jamii kubwa hasa wasomi na vijana.

Ni wakati huo Watanzania wengi walijitolea kuitetea Chadema kwa jasho na Damu....

Ilifika wakati ikawa ni aibu kwa Mtanzania hasa wa mjini kujitambulisha yeye ni ccm.

Iwe kwenye mkusanyiko au vyombo vya usafiri ukitetea ccm jamii yote inageuka kukuangalia wewe ni mtu wa aina gani...

Hii yote ilichangia na ushawishi wa Kanisa....

Uchaguzi wa serikali za mitaa 2014 uliweka rekodi kwenye siasa za upinzani Tanzania hasa Chadema, Chadema walichukua vijiji vingi sana hata kule ambako hakukutarajiwa walishinda.

Hii yote ilitokana na Mbegu iliyopandwa kwenye uchaguzi wa 2010.

Kosa kubwa mlilofanya ni kumkabidhi Lowasa chama, wenye akili walikaa pembeni na wengine kumuunga mkono Magufuli....wasomi wengi walikaa pembeni, watetezi walikata tamaa. chama kikabaki kutembelea kivuli cha 2010.

Kosa kubwa zaidi mnalolifanya ni kulishambulia Kanisa na viongozi wake, hili ndio kosa litakalowapoteza zaidi kwenye siasa za ushindani.

Dunia yote inatambua uwezo na nguvu ya ushawishi wa Kanisa, hivyo kujaribu kupambana na kanisa ni sawa na kunywa chai kwa mluzi....
Lowassa alisema "walutheri wenzangu"
 
Kupitia wizi wa kura na mtutu wa bunduki Chadema haiwezi kuingia Ikulu, lakini kupitia katiba mpya ya rasimu ya Warioba na Tume huru ya uchaguzi MACCM wanajua kipigo watakachokipata nchi nzima na hata ndani ya CCM wanajua hivyo maana wamechokwa kila kona ya nchi na sera zao MUFILISI.


CCM itaondoka madarakani ila sio kwa sera na mikakati mibovu ya Chadema.

Wengi hatuipendi ccm ila tukiangalia mbadala wake tunaona afadhali tena ya ccm.
 
Back
Top Bottom