Vatican haijapungukiwa watu wenye uwezo wa kupata Papa bora,huyo akienda hamalizi wiki anafukuzwa
Chuki zako hazimzuii kuwa Papa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vatican haijapungukiwa watu wenye uwezo wa kupata Papa bora,huyo akienda hamalizi wiki anafukuzwa
Hivi Moses Kulola amefufuka?
Moses Kulola anasemaje chifu? Sijamsikia!
Unazungumzia kanisa Katoliki tulijualo au la kwako hilo ambalo waumini hawamjui Mwadhama Kardinali Pengo?Siku hizi hata ukimuuliza muumini Wa kawaida Wa kanisa katoliki hamjui huyu pengo.
Kwanza hakufuata utaratibu wa ndani wa kusuluhisha tofauti za ndani.Kawahi mbele kumwanika mwenzie vibaya kwa kiasi cha kutosha.Na kam siye msemaji ni wazi kuwa Gwajima ana mashiko kuwa huyu jamaa kalishwa nini?Mbona anakwenda kinyume na wenzie?Kaamua kuwa Lipumba wa katholic.Natumaini na maoni aliyotoa Mwadhama ni yake si ya Kanisa Katoliki
Ugonjwa haupuuzwi. Alipuuzwa kipindi gwajima alisema anashangaza,sasa wenzie nao wanshangaa.Yupo kinyume nao.Na kwa nini asema yeye km yeye sie msemaji?Huyu mzee anaweza kuwa muasi sasa hivi.Nadhani wampuuze kama kipindi kile cha katiba pendekezwa
Usikariri! Nani aliyekudanganya kuwa UK haina katiba? UK does not have a codified constitution. Hiyo haina maana kuwa haina katiba. Katiba yao imeundwa na Acts of Parliament, Court Judgments na Conventions.Uingereza haijawahi kuwa na katiba na haina mpango wa kuwa na katiba lakini ni nchi iliyoendelea.Katiba sio kipaumbele cha maendeleo
Kwani ni wapi Askofu Niwemugizi alisema huo ni msimamo wa kanisa?Kardinali Pengo,amesema jambo ambalo ni sahihi kwamba alichosema Askofu Niwemugizi sio msimamo wa Kanisa Katoliki bali ni wa Askofu Niwemugizi.Sasa alichokosea ni kipi?Au mlitaka aseme huo ndio msimamo wa Kanisa wakati si kweli?
Tatizo lenu mnapenda kuyasikia yanayopendeza masikio yenu tu.Wakuu natanguliza salamu .
Maelekezo makuu ya Mungu kwa wanadamu ni kuishi katika kweli iliyojaa haki tupu , kutenda mema na kukataa maovu , hivyo tunategemea kiongozi yeyote wa dini ya kweli aishi na atende kama Mungu alivyoelekeza .
Kardinali Pengo anatenda kinyume na Maagizo haya ya Mungu , ni wazi ameamua kujipambanua kuukumbatia unafiki , Amejipachika usemaji wa Kanisa kinyume cha utaratibu .
Ni vema sasa Kwa kulinda heshima yake lililojiwekea miaka mingi , kanisa Katoliki linapaswa KUMTIMUA kardinali Pengo ili akaendeleze harakati zake za kupinga katiba mpya ndani ya chama chake cha ccm .
Naomba kuwasilisha .
Khaa unashida wewe askofu Ningemugizi hakusema hili ni tamko la kanisa katoliki iweje ajekumpiga as if yeye ndiyo analisemea kanisa hapo huoni?Hamjamuelewa Pengo. Kasisitiza kuwa kuna utaratibu wa kanisa kuhusu kutoa matamko ya kisiasa. Sasa wapinga kila kitu wanakuja na mipash yao. Kwani pengo kasosea wapi? kwani Pengo kasema hataki katiba mpya?
Mwenye mamlaka ni nani?Pengo hana mamlaka ya kuongea kwa niaba ya kanisa, ukae ukilijuwa hili vyema.
Acha ujinga wewe hiyo ni visiga seminary na siyo saint Mary wewe vipi. Kwanza we mkatoliki gani mbabaishaji hivyo?Usiwe mjinga wa kiasi hicho Seminary ya St Mary's inamilikiwa na Pengo ipo Visiga, Kibaha.
Umesema usichokijua, rudi kaulize tena. Msemaji wa Kanisa katoliki Tz,ni Rais wa Tec ambaye kwa sasa ni askofu wa Jimbo Katoliki Iringa,Mhasham Baba Askofu Ngalalekumtwa. Wewe ndo UnapotoshaMsimamo wa kanisa hutolewa mara baada ya Baraza la maaskofu kuketi,so wote hao kila mmoja ametoa maano yake binafsi.
Na kwa inshu ya ukubwa sijaelewa unamaanisha nini kwani kwa mujibu wa kanisa daraja ni la upadri tu hivyo vingine ni vyeo tu vinavyowekwa ili kuwepo kwa usimamizi na kardinali ndio msemaji wa mwisho wa kanisa ktk inchi husika so acha kupotosha watu.
Nenda kanisani kwajili ya imani yako kwa Mungu wako,cyo kwasababu ya huyu MtuKiukweli huyu jamaa nilitokea kumchukia Sana, ni Kati ya viongozi WA kanisa wanaosababisha nisiende kanisani siku hizi, nikiamini ni wapiga dili tu.
Acha ujinga wewe hiyo ni visiga seminary na siyo saint Mary wewe vipi. Kwanza we mkatoliki gani mbabaishaji hivyo?