Pengo kwenye Muungano


Kajifundishe kuandika ,

Ndio umeandika kitu gani hapo ??

Huko Kivukoni ndio mnavyofundishwa kuandika ??

Elimu ameiua Laanatullahi Nyerere, yaani ndio unajisifu umeandika la maana hapo ?
 
As a leader it is also a mistake to think that you need to have all the right answers all the time. Trying to be right all the time is stressful, slows progress and causes procrastination Skip Prichard, (2016).


Hivi umefika darasa la ngapi wewe ??
 
Kwa mujib wa taarifa ya mamlaka ya tabia nchi duniani Zanzibar inazama baada ya miaka 50 ijayo kwann tusiwape uhuru wao wajitegemee baadae wapige mbizi kuja Tanga na Dar, Bagamoyo, Mtwara waje na passport.
Maneno hayo ya Mamlaka hayo ya hali ya hewa uliyapata kanisani ??
 
Kwa mujib wa taarifa ya mamlaka ya tabia nchi duniani Zanzibar inazama baada ya miaka 50 ijayo kwann tusiwape uhuru wao wajitegemee baadae wapige mbizi kuja Tanga na Dar, Bagamoyo, Mtwara waje na passport.
Mkuu,
I can't hold my laughter for this comic piece!
 
Maneno hayo ya Mamlaka hayo ya hali ya hewa uliyapata kanisani ??
We pimbi ngoja tuwafukuze woote uanzia posta, kariakoo, magomeni mkajazane mpakanjia, bububu na mchambawima ndo mtaelewa
 
We pimbi ngoja tuwafukuze woote uanzia posta, kariakoo, magomeni mkajazane mpakanjia, bububu na mchambawima ndo mtaelewa
Elimu ya baba yako wa pili Nyerere ndio hiyo ?? Hata kujibu swali unashindwa ??

Sasa jibu swali


Maneno hayo ya Mamlaka hayo ya hali ya hewa uliyapata kanisani ??
 
Elimu ya baba yako wa pili Nyerere ndio hiyo ?? Hata kujibu swali unashindwa ??

Sasa jibu swali


Maneno hayo ya Mamlaka hayo ya hali ya hewa uliyapata kanisani ??
Sikia nendeni kwenu kwanza huku mnatubana kajitegemeeni hivi mnafikiri tunakosa nn bila nyie? Now we have goo naval force mtakuwa kama Taiwan, na muondoke woote huku Tanganyika
 
Elimu ya baba yako wa pili Nyerere ndio hiyo ?? Hata kujibu swali unashindwa ??

Sasa jibu swali


Maneno hayo ya Mamlaka hayo ya hali ya hewa uliyapata kanisani ??
Kanisa linahusikaje hapo? Why mention Kanisa in lieu of Mosque or Synagogue? Keep the Holy Houses of God away from the discussion as not everybody trust in God that you trust; nor prescribe from your favourite religious doctrine. Learn to relax in a complex cum hot situation that drags you to a loss of defensive points and render you unable to convince any mind. Ni ushauri tu nakupa mkuu Jagina.
 
Unatumia Id mbili ? Sisi wengine hichi kiengereza cha Chato hatukiwezi
 
Kwa mujib wa taarifa ya mamlaka ya tabia nchi duniani Zanzibar inazama baada ya miaka 50 ijayo kwann tusiwape uhuru wao wajitegemee baadae wapige mbizi kuja Tanga na Dar, Bagamoyo, Mtwara waje na passport.
Maldives itazama chini ya bahari katika miaka 80 ijayo.
REVEALED: This holiday hotspot is SINKING and will have disappeared within 80 years


Kiribati, Fiji na Marshall kuzama katika miaka 50
These Five Islands Could Be Underwater in as Little as 50 Years
 
mi naona pengo kubwa ni kwanza watuonyeshe Tanganyika ipo wapi kwenye huu muungano?
JPM angeendelea kuwepo huenda siku moja angefanya maamuzi magumu ya kurudisha Tanganyika. Alikuwa hahudhurii maadhimisho ya Mapinduzi Zanzibar (uhuru). Alitaka kufungulia Wanauamsho mara mbili akawa anazuiliwa kwamba asubirie kidogo. Alikuwa anaisaka Tanganyika kwa udi na uvumba kimyakimya lakini mauti yakamuwahi. Aliamini kwenye muungano wa 50 kwa 50 kama siyo 40 kwa 60.
 
Soma ulichokiandika huko nyuma Na hichi ulichokiandika hapa , umechanganyikiwa au unaongeza pages Za uzi wako
 
Soma ulichokiandika huko nyuma Na hichi ulichokiandika hapa , umechanganyikiwa au unaongeza pages Za uzi wako
Sina shida kwa Tanganyika kupatikana, sina shida kwa Muungano kuendelea kuishi. Ulipaswa uniulize ninapenda mfumo upi wa Muungano?
 
Biblia ipi hiyo imeandika?
Jaribu kuwa makini na masuala ya imani za watu nakushauri tena! Kuna jukwaa la masuala ya imani unawezapatembelea na kupost huko. Extremism and Fundamentalism are twins b/o idea dropout.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…