Filosofia ya Rorya
JF-Expert Member
- Sep 20, 2021
- 3,211
- 3,611
- Thread starter
-
- #81
Truth that hurts!Kajifundishe kuandika ,
Ndio umeandika kitu gani hapo ??
Huko Kivukoni ndio mnavyofundishwa kuandika ??
Elimu ameiua Laanatullahi Nyerere, yaani ndio unajisifu umeandika la maana hapo ?
Si ukae Na Tanganyika yakoSina shida kwa Tanganyika kupatikana, sina shida kwa Muungano kuendelea kuishi. Ulipaswa uniulize ninapenda mfumo upi wa Muungano?
Unaandika miharo mingi kajifundishe kuandikaMbona unaogopa sana pages kuongezeka wewe ni mvivu wa kusoma au?
Ndiyo biblia yako hiyo imeandikaJaribu kuwa makini na masuala ya imani za watu nakushauri tena! Kuna jukwaa la masuala ya imani unawezapatembelea na kupost huko. Extremism and Fundamentalism are twins b/o idea dropout.
Nyinyi munaendelea kuuwa mpaka mnakodi majeshi ya Burundi kuja kutuuwaTruth that hurts!
Mara kadhaa umemtuhumu Mwl kuhusika na kushughulikiwa akina Hanga, vipi nyie Ma-Hizbu mliom-assassinate Sheikh Abeid Karume? Mshughulikiwe?
Siko Znz, wala sina ndugu Znz ila wewe una ndugu wengi bara, point hii ikufikirishe!Si ukae Na Tanganyika yako
I write Truth that hurts!Unaandika miharo mingi kajifundishe kuandika
Kamanda wa Mapinduzi wa kigeni (aliyekodiwa) aliwapa uhuru nyie!Nyinyi munaendelea kuuwa mpaka mnakodi majeshi ya Burundi kuja kutuuwa
Hata kichaa husema ana akiliI write Truth that hurts!
Hawa waTanganyika waliokamatwa juzi kwa mamia wakilala kwenye mapaa ya nyumba Za michenzani Si ndugu zako?Siko Znz, wala sina ndugu Znz ila wewe una ndugu wengi bara, point hii ikufikirishe!
Wa Baba yako wa pili Laanatullahi Nyerere?Kamanda wa Mapinduzi wa kigeni (aliyekodiwa) aliwapa uhuru nyie!
Wasingepeleka huko mchele ungefanyaje maulidi?Hawa waTanganyika waliokamatwa juzi kwa mamia wakilala kwenye mapaa ya nyumba Za michenzani Si ndugu zako?
Swali,Wa Baba yako wa pili Laanatullahi Nyerere?
Kilo ya nyama Zanzibar leo ni Tshs.15,000, bara ni Tshs.8,000. Kwa mujibu wa hizo bei je, Zanzibar bila muungano itakuwa mgeni wa nani?Hata kichaa husema ana akili
Zanzibar inanunua kuku kutoka Brazil Itakuwa kilo ya nyama. Kwani kabla ya Uvamizi unafikiri tulikuwa tukinunua Tanganyika?Kilo ya nyama Zanzibar leo ni Tshs.15,000, bara ni Tshs.8,000. Kwa mujibu wa hizo bei je, Zanzibar bila muungano itakuwa mgeni wa nani?
IQ ya Nyerere kaondoka madarakani benki ikiwa nyeupe. Tukivaa viatu vya matairi , chumvi tukinunua kwa kuuza dhahabu.Swali,
Bila IQ ya Nyerere Jamshid Bin Abdullah angeondoka Zanzibar? Bila IQ ya Nyerere Mapinduzi (uhuru) Zanzibar yangepatikana? Bila IQ ya Nyerere kwa mantiki hiyo ni lini Karume angekuwa rais Zanzibar?
Mchele ipi ? Wenyewe hamna kitu. Subirini karibu Tony Blair atawaweka sawaWasingepeleka huko mchele ungefanyaje maulidi?
Baada ya muungano kuanza Karume aliendelea na Urais wake (hakuupoteza) Mwl Nyerere alikubali kupoteza Urais wake wa Tanganyika, unadhani Mwl Nyerere aliwapendaje Zanzibar? Upendo wa Yesu wa kwenda Msalabani ili wengine wapone!Swali,
Bila IQ ya Nyerere Jamshid Bin Abdullah angeondoka Zanzibar? Bila IQ ya Nyerere Mapinduzi (uhuru) Zanzibar yangepatikana? Bila IQ ya Nyerere kwa mantiki hiyo ni lini Karume angekuwa rais Zanzibar?
Sasa hawa wapuuzi waende halafu tuone wasije kujiita WASUKUMAMaldives itazama chini ya bahari katika miaka 80 ijayo.
REVEALED: This holiday hotspot is SINKING and will have disappeared within 80 years
Kiribati, Fiji na Marshall kuzama katika miaka 50
These Five Islands Could Be Underwater in as Little as 50 Years
Jikite kwenye mada ya muungano, usitoke nje yake ambako pia hutoweza huko.IQ ya Nyerere kaondoka madarakani benki ikiwa nyeupe. Tukivaa viatu vya matairi , chumvi tukinunua kwa kuuza dhahabu.