Pengo la kumtukana na kumdhalilisha Mo Dewji litazibwa na nani?

Pengo la kumtukana na kumdhalilisha Mo Dewji litazibwa na nani?

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Kazi alipewa sope na aliifanya kwa ufasaha mkubwa, kumtukana Mo dewji na biashara zake, waliomlipa pesa na marupurupu mengine kama gari na kumpangia nyumba masaki wako kwenye msongo wa mawazo

Je kazi ya kumtukana Mo dewji imetosha, bidhaa zake kuzitukana imetosha? jibu ni hapana, MTUKUKANAJI lazima apambaniwe ili aendelee na kazi maana ni sehemu ya job description

Kila la heri mtukanaji na walipaji mtukanaji, mpate haki yenu ya kisheria kuendelea na utukanaji
 
Kazi alipewa sope na aliifanya kwa ufasaha mkubwa, kumtukana Mo dewji na biashara zake, waliomlipa pesa na marupurupu mengine kama gari na kumpangia nyuma masaki wako kwenye msongo wa mawazo

Je kazi ya kumtukana Mo dewji imetosha, bidhaa zake kuzitukana imetosha? jibu ni hapana, MTUKUKANAJI lazima apambaniwe ili aendelee na kazi maana ni sehemu ya job description

Kila la heri mtukanaji na walipaji mtukanaji, mpate haki yenu ya kisheria kuendelea na utukanaji
Kuna hili tutusa hapa
1658407336448.jpg
 
jambo zuri ni viongozi wa Lunyasi kuwa kimya kwenye jambo la kupigwa ban Domo kaya hata wakaiulizwa wanasema hawajui chochote.
 
jambo zuri ni viongozi wa Lunyasi kuwa kimya kwenye jambo la kupigwa ban Domo kaya hata wakaiulizwa wanasema hawajui chochote.
Mkuu wananchi wapo pamoja na domokaya walitoa official statements kuwa hawakubaliani na adhabu aliyopewa msemaji wao na wao wanamsapoti kwa maamuzi mengine
 
Kazi alipewa sope na aliifanya kwa ufasaha mkubwa, kumtukana Mo dewji na biashara zake, waliomlipa pesa na marupurupu mengine kama gari na kumpangia nyumba masaki wako kwenye msongo wa mawazo

Je kazi ya kumtukana Mo dewji imetosha, bidhaa zake kuzitukana imetosha? jibu ni hapana, MTUKUKANAJI lazima apambaniwe ili aendelee na kazi maana ni sehemu ya job description

Kila la heri mtukanaji na walipaji mtukanaji, mpate haki yenu ya kisheria kuendelea na utukanaji
Kwani si anaweza kuendelea kutoa maoni yake kama mtanzania Yeyote? Kwani tifutifu wanaweza kuzuia huo uhuru wa kikatiba?

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
 
Mtu asiyejitambua na kutambua uwepo wa wengine alifaa afungiwe kwa uchache miaka mitano na faini juu.Asipolipa faini apelekwe lupango.
 
Huyo jamaa siku yoyote atapakwa mafuta kuna mambo anafanya unajiuliza kweli huyu timamu kweli?
Apakwe mara ngapi? Alipigwa mara 1 na kuachwaaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],
 
Ongezea nyama kidogo bas na wewe , nipe link ya huu ubuyu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan tangu apigwe amechachuka vibayaa, afu anazidi kutaka kuweka wazi, hakutumia condom, akakubali kukojolewa ndani, sasa shahawa zimeoza zinaanza kuwashaa. Ndo mnamuona hayo anayofanyaa.

Woiiiiiiiih.
 
Back
Top Bottom