Mimi Ni Mtu Wa Mungu
JF-Expert Member
- Dec 8, 2021
- 679
- 1,295
ameshatutanguliaNgj tumsikie uyo langa
Kwani c ngoma zake zipo mzeeameshatutangulia
Langa nilikuwa namkubali yuko poa mno, lakini DIZASTA NI GERMAN MACHINE...Lyrically & Naturally Gifted African- (LANGA)
Hakuna wa kuziba pengo lake
One of the best line ya LaNga
" Wananichekea Usoni Kisogoni wananisema/
Wanatafuta Mabaya wanajifanya hawaoni mema/
Ww una akili big upLanga nilikuwa namkubali yuko poa mno, lakini DIZASTA NI GERMAN MACHINE...
kweli wana utofauti mkubwa lakini Langa ni LangaKila mmoja ana ladha yake ambayo ni unique hawawezi kuwa sawa
Hiyo ngoma ya Shaolin ninayo na alichokiimba nakielewa lakini ni wa kawaidaNimejaribu kumsikiliza kidogo bado aisee de ni dee tu.. Hata ye mwenyewe anakosea kujiita mzimu wa langa ye ni mzimu wa Yeye mwenyewe..
Langa hv tu simu ya dada ya shaulin senator angeweza kutegua kitendawili kile.. Au hata ww tu unawez em kaisake iyo ngoma mchek uyo shaulin kmk.. Akaf ndio dizasta usimwongele tena huku
Hivi Langa nini kilimuua?ameshatutangulia
Hivi Langa nini kilimuua?
Alikufa kwa ugonjwa gani?Kifo kiongozi...!