Pengo la Magufuli limeanza kuonekana kwenye hili swala la vifurushi

Pengo la Magufuli limeanza kuonekana kwenye hili swala la vifurushi

Nina imani angekuwepo mzee hili swala la vifurushi kupanda bei na viwango kuna watu saivi angekuwa tiyali kashawatumbua na wengine wameshaondolewa mpka sasa nimeshanga serikali imetoa tamko swala la vifurushi kurudishwa kama zamani ila naona wahusika wa mitandao bado hawajarudisha vifurushi
Mbona mnapenda kuandika ujinga? Huyo unayemwabudu si ndo alituzimia internet mwaka jana?
 
Nina imani angekuwepo mzee hili swala la vifurushi kupanda bei na viwango kuna watu saivi angekuwa tiyali kashawatumbua na wengine wameshaondolewa mpka sasa nimeshanga serikali imetoa tamko swala la vifurushi kurudishwa kama zamani ila naona wahusika wa mitandao bado hawajarudisha vifurushi
Kwamba hujui mchakato umeanza lini..
 
Nina imani angekuwepo mzee hili swala la vifurushi kupanda bei na viwango kuna watu saivi angekuwa tiyali kashawatumbua na wengine wameshaondolewa mpka sasa nimeshanga serikali imetoa tamko swala la vifurushi kurudishwa kama zamani ila naona wahusika wa mitandao bado hawajarudisha vifurushi
Mkuu hili swala kama hulijui vizuri ni bora ungenyamaza tu maana unawatafutia sababu ya kupigwa Ban raia wenye hasira KALI.
 
Nina imani angekuwepo mzee hili swala la vifurushi kupanda bei na viwango kuna watu saivi angekuwa tiyali kashawatumbua na wengine wameshaondolewa mpka sasa nimeshanga serikali imetoa tamko swala la vifurushi kurudishwa kama zamani ila naona wahusika wa mitandao bado hawajarudisha vifurushi

Huyu huyu ambaye alishatamka tena wazi wazi kuwa anatamani Mitandao yote ifungwe kabisa kwani inamkera na Kumchelewesha kuipa Maendeleo Tanzania?

Hivi mnavyokuja hapa JF na Kuanzisha Vimada ( Vithredi ) vyenu vya Unafiki, Uwongo na Kujipendekeza huwa mnajiridhisha kwa Facts zenu hasa za Kitaarifa?

Tena kwa ninavyomjua Marehemu huenda kwa kilichofanywa na Waziri Ndugulile na TCRA angekiunga mkono 100% na hao Wahusika angewapandisha na Vyeo kwani nae alikuwa ni Sadist mzuri tu.
 
Nina imani angekuwepo mzee hili swala la vifurushi kupanda bei na viwango kuna watu saivi angekuwa tiyali kashawatumbua na wengine wameshaondolewa mpka sasa nimeshanga serikali imetoa tamko swala la vifurushi kurudishwa kama zamani ila naona wahusika wa mitandao bado hawajarudisha vifurushi

Watch your mouth dude[emoji3166]
 
Nina imani angekuwepo mzee hili swala la vifurushi kupanda bei na viwango kuna watu saivi angekuwa tiyali kashawatumbua na wengine wameshaondolewa mpka sasa nimeshanga serikali imetoa tamko swala la vifurushi kurudishwa kama zamani ila naona wahusika wa mitandao bado hawajarudisha vifurushi
Wewe mwongo sana, hili lilianzia kwake ili kuwafanya watu wasitumie mitandao kumkosoa
 
Alishanadi kuwa yeye si muumini wa mitandao na alitamani Malaika ashuke kushughulikia Mitandao

Na kwa alichokifanya Waziri Ndungulile huenda alikuwa anajua kinachoendelea kwenye Wizara...Sasa inakuwaje awe pengo?
 
Hebu toa ujinga , yeye ndio alikua behind the scene ya hili jambo na ndie alie anzisha wizara hii mpya , mwezi wa pili wakati Ndugulile anatangaza haya mabadiliko ulikua umefariki ?
Huyu mtoa mada na wenzie ndiyo wanaoitwa wanyonge na masikini, upumbavu umewajaa akilini ndiyo maana Meko alikuwa anayajaza ujinga kuwa unyonge na umaskini ni sifa ya maana.
 
Nina imani angekuwepo mzee hili swala la vifurushi kupanda bei na viwango kuna watu saivi angekuwa tiyali kashawatumbua na wengine wameshaondolewa mpka sasa nimeshanga serikali imetoa tamko swala la vifurushi kurudishwa kama zamani ila naona wahusika wa mitandao bado hawajarudisha vifurushi
Kwan vifaa Vya ujenzi, sukari na mafuta ilikuwaje mkuu , acha ngonjera zako hapa
 
Huu upumbavu wa kumlinganisha magufuri na Mh. Samia ndio ninaoukataa
 
Huyu naeee [emoji849][emoji849][emoji849].
Tunadeka Kwa mamaa.
 
Mkuu; siku zote paondokapo jino hukaa pengo. Sina hakika hili ni la Ndugulile mwenyewe.
Nina imani angekuwepo mzee hili swala la vifurushi kupanda bei na viwango kuna watu saivi angekuwa tiyali kashawatumbua na wengine wameshaondolewa mpka sasa nimeshanga serikali imetoa tamko swala la vifurushi kurudishwa kama zamani ila naona wahusika wa mitandao bado hawajarudisha vifurushi
 
Back
Top Bottom