Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,433
- 56,810
Bora vingekuwa vizuri, viatu vimetobokatoboka nani atavaa.Wa kuvaa viatu vya JPM bado hajazaliwa mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora vingekuwa vizuri, viatu vimetobokatoboka nani atavaa.Wa kuvaa viatu vya JPM bado hajazaliwa mkuu.
Mbona mnapenda kuandika ujinga? Huyo unayemwabudu si ndo alituzimia internet mwaka jana?Nina imani angekuwepo mzee hili swala la vifurushi kupanda bei na viwango kuna watu saivi angekuwa tiyali kashawatumbua na wengine wameshaondolewa mpka sasa nimeshanga serikali imetoa tamko swala la vifurushi kurudishwa kama zamani ila naona wahusika wa mitandao bado hawajarudisha vifurushi
Please tuache kumtuka mtu ambae ashakufa maana hawezi kujitetea
Sasa ni zamu ya uongozi wa kuoneana huruma. Na uswahili mwingi tumerudi kipindi cha awamu ya pili.Bora vingekuwa vizuri,sasa viatu vimetobokatoboka nani atavaa.
Kwamba hujui mchakato umeanza lini..Nina imani angekuwepo mzee hili swala la vifurushi kupanda bei na viwango kuna watu saivi angekuwa tiyali kashawatumbua na wengine wameshaondolewa mpka sasa nimeshanga serikali imetoa tamko swala la vifurushi kurudishwa kama zamani ila naona wahusika wa mitandao bado hawajarudisha vifurushi
Mkuu hili swala kama hulijui vizuri ni bora ungenyamaza tu maana unawatafutia sababu ya kupigwa Ban raia wenye hasira KALI.Nina imani angekuwepo mzee hili swala la vifurushi kupanda bei na viwango kuna watu saivi angekuwa tiyali kashawatumbua na wengine wameshaondolewa mpka sasa nimeshanga serikali imetoa tamko swala la vifurushi kurudishwa kama zamani ila naona wahusika wa mitandao bado hawajarudisha vifurushi
Nina imani angekuwepo mzee hili swala la vifurushi kupanda bei na viwango kuna watu saivi angekuwa tiyali kashawatumbua na wengine wameshaondolewa mpka sasa nimeshanga serikali imetoa tamko swala la vifurushi kurudishwa kama zamani ila naona wahusika wa mitandao bado hawajarudisha vifurushi
Hivi kula zaid Nsansa na Mlenda kunaathiri iq?angekuwa tiyali kashawatumbua
Nina imani angekuwepo mzee hili swala la vifurushi kupanda bei na viwango kuna watu saivi angekuwa tiyali kashawatumbua na wengine wameshaondolewa mpka sasa nimeshanga serikali imetoa tamko swala la vifurushi kurudishwa kama zamani ila naona wahusika wa mitandao bado hawajarudisha vifurushi
Wewe mwongo sana, hili lilianzia kwake ili kuwafanya watu wasitumie mitandao kumkosoaNina imani angekuwepo mzee hili swala la vifurushi kupanda bei na viwango kuna watu saivi angekuwa tiyali kashawatumbua na wengine wameshaondolewa mpka sasa nimeshanga serikali imetoa tamko swala la vifurushi kurudishwa kama zamani ila naona wahusika wa mitandao bado hawajarudisha vifurushi
🤣🤣🤣Hapo lumumba sikuhizi mnavuta bangi?
Busara. Hii nchi ni ya Watanzania wote. MUNGU mbariki sana mzee MWINYI.Sasa ni zamu ya uongozi wa kuoneana huruma. Na uswahili mwingi tumerudi kipindi cha awamu ya pili.
Huyu mtoa mada na wenzie ndiyo wanaoitwa wanyonge na masikini, upumbavu umewajaa akilini ndiyo maana Meko alikuwa anayajaza ujinga kuwa unyonge na umaskini ni sifa ya maana.Hebu toa ujinga , yeye ndio alikua behind the scene ya hili jambo na ndie alie anzisha wizara hii mpya , mwezi wa pili wakati Ndugulile anatangaza haya mabadiliko ulikua umefariki ?
Kwan vifaa Vya ujenzi, sukari na mafuta ilikuwaje mkuu , acha ngonjera zako hapaNina imani angekuwepo mzee hili swala la vifurushi kupanda bei na viwango kuna watu saivi angekuwa tiyali kashawatumbua na wengine wameshaondolewa mpka sasa nimeshanga serikali imetoa tamko swala la vifurushi kurudishwa kama zamani ila naona wahusika wa mitandao bado hawajarudisha vifurushi
Wala hatuhitaji utetezi wake. Alivyokuwa hai alikuwa anaruhusu watu wajitetee?Please tuache kumtuka mtu ambae ashakufa maana hawezi kujitetea
Nina imani angekuwepo mzee hili swala la vifurushi kupanda bei na viwango kuna watu saivi angekuwa tiyali kashawatumbua na wengine wameshaondolewa mpka sasa nimeshanga serikali imetoa tamko swala la vifurushi kurudishwa kama zamani ila naona wahusika wa mitandao bado hawajarudisha vifurushi