Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,916
- 43,505
Alishanadi kuwa yeye si muumini wa mitandao na alitamani Malaika ashuke kushughulikia Mitandao
Na kwa alichokifanya Waziri Ndungulile huenda alikuwa anajua kinachoendelea kwenye Wizara...Sasa inakuwaje awe pengo?
Una hakika?