Siamini kama kumepambazuka .....sijawahi kuwa teja hivi.Mara ya mwisho kuwa teja hivi ilikuwa wakati naangalia 24hrs series for the first time niliugua kabisa na wakati naangalia The God father part zote tatu hii niliangalia mpaka asuhi kabisa.Sikutegea kuwa Peniela anaweza kunifanya hivi ....LEGEππππwacha kupambazuke .
24hrs ilinifanya kuwa mtumwa ndani ya wiki nzima sikuangalia hata taarifa ya habari. Hadi leo haipiti wiki bila kuiangalia japo kidogoSiamini kama kumepambazuka .....sijawahi kuwa teja hivi.Mara ya mwisho kuwa teja hivi ilikuwa wakati naangalia 24hrs series for the first time niliugua kabisa na wakati naangalia The God father part zote tatu hii niliangalia mpaka asuhi kabisa.Sikutegea kuwa Peniela anaweza kunifanya hivi ....LEGEππππ
Mkuu itakuwa hujawahi kuifuatilia WIMBO WA GAIDIkatika zote nilizo wahi kusoma lakni hii ni mwisho hapa ni watu wawili tu wenye uwezo wa kushindana na hii nao ni Joram Kiango na Willy Gamba . Hatahivo kwa utundu wa Anitha inaifanya hii kuwa juu Zaidi.
kweli hiyo bado sijaijua mkuu, je ipo humu.Mkuu itakuwa hujawahi kuifuatilia WIMBO WA GAIDI
BadoooAmeanza kutuma tena kuanzia page ya ngapi wakuu?
Mkuu hyo the godfather ni kitabu au ni move?Siamini kama kumepambazuka .....sijawahi kuwa teja hivi.Mara ya mwisho kuwa teja hivi ilikuwa wakati naangalia 24hrs series for the first time niliugua kabisa na wakati naangalia The God father part zote tatu hii niliangalia mpaka asuhi kabisa.Sikutegea kuwa Peniela anaweza kunifanya hivi ....LEGEππππ
Ni movie mkuuMkuu hyo the godfather ni kitabu au ni move?
Ni noma huwa nairudia kila wakati24hrs ilinifanya kuwa mtumwa ndani ya wiki nzima sikuangalia hata taarifa ya habari. Hadi leo haipiti wiki bila kuiangalia japo kidogo