Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
HahahahhhWe jamaa ushaaribu utasikia lege anastisha uduma akieleza vitabu vinapopatikana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahhhWe jamaa ushaaribu utasikia lege anastisha uduma akieleza vitabu vinapopatikana
Acha roho mbayaNingekuwa mimi ni Lege nikifika karibu mwisho,ningewaacha hewani na kuwaelekeza kununua kitabu nitakacho kichapa[emoji12]
Ungejua toka asubuhi nimeshindwa kufanya kazi. Hadi muda huu sijalala,Acha roho mbaya
sasa kama play boy hukutanishi hvyo vya mkojo cjui kwa wengne hali ikoje[emoji102] vipi bado hamna chochote tuone huruma wengine hatukutanishi vikojoleo usiku story ndio kipoozeo chetu[emoji39]
Huu mwezi dume nyanya zimeozea shambani hatuna pesa ya kuchangamsha vikojoleo, story kama hizi zinatuondolea stress[emoji1]sasa kama play boy hukutanishi hvyo vya mkojo cjui kwa wengne hali ikoje
Elfu 18 jumla? Weka contact za mtunzi hapaWakuu, mpaka sasa nina mashaka kama LEGE ataendelea. Kwa mujibu wa Patrick (Mtunzi), kila season ni Tsh. 3,000 na sasa Riwaya iko season ya 4 season ya 6 ndiyo ya mwisho.
Nadhani hata Mkuu Lege salikuwa ananunua halafu anatumegea nasi.
Season ya 5 ndiyo ya mwisho Mkuu, ujumbe niliuelewa vibaya.Elfu 18 jumla? Weka contact za mtunzi hapa