Peniela (Story ya kijasusi)

Peniela (Story ya kijasusi)

Njoo tupange mpango wa kumteka lege
LEGE kwa kweli katukomeshaaa...halafu naanza kuona post za hatari mara contant za anaeuza hz stori sasa cjui biashara imeingilia katii. Itabidi tumteke kama Josh alivyofanya kwa wakili msomi Jason
 
LEGE kwa kweli katukomeshaaa...halafu naanza kuona post za hatari mara contant za anaeuza hz stori sasa cjui biashara imeingilia katii. Itabidi tumteke kama Josh alivyofanya kwa wakili msomi Jason
Nimejikuta naanza kukupenda kama mh jaji kwa peniela
 
Lakini umejua kutukomesha lege umetupa utamu weee halafu umetuacha njiani.ila kama mwenyewe amekataa ni bora utujulishe
 
Hahahaaa jiandae kupokea chupa ya uso toka kwa Jason...ngoja nilale tuu LEGE kaniligeza.
Yaani umekubali kulegezwa kirahisi hivyo?

Brgds,
John Mwaulaya Albert
 
Sasa nitafanyaje mkuu, naunaona "the problem the language even in the white house". Hapa nilipo sina hata hiyo kamusi mkuu, na hata ningekua nayo, basi kuna kukesha nimeshika kamusi badala ya Biblia na episode moja nikajikuta naimaliza mwezi mzima. Mwambie chonde chonde, aendelee kutufanyia utu na u binadamu. Hata kama ni kifurushi tutamtumia.
Hahahahhh
 
wakuu za kutwa na poleni sana kwakusubilia sana mzigo.nikiwa na nafasi nitakuwa na ubwaga kadili niwezavyo hata kama ni sehem 10 nitafanya hivyo naninapokuwa nimebanwa plz tuvumiliane pia ndio maana najitahidi kwa siku ziwe zinafika sehem 10 na siku mkiona kimyaa msikasirike sana wakuu
Shukrani usijar tunaelewa
 
LEGE kwani unaishi wapi nije kuchukua mzigo😵
 
LEGE jitokeza mwenyewe kabla sijakutumia Team SC41 ije kukiangamiza
[emoji37] [emoji37] [emoji37] [emoji37] [emoji37]
 
Anazingua apa ndo ninapomuwaza ilu wangu naye cjui kalala
 
Back
Top Bottom