Peniela (Story ya kijasusi)

Peniela (Story ya kijasusi)

LEGE umetunyima cha mchana cha jioni na cha asubuhi sasa nina stress kibao nagombana na kila mtu mbele yangu......LEGE unahatarisha hali ya hewa
 
LEGE sisi tunakutambua wewe hapa hatumjui Patric wala nini....weka number yako ya simu tutume mpesa kulipia kama unataka tulipie vinginevyo utatuua LEGELEGE
 
Umejua kutubrain wash kama John akivyombrain wash Peniela mpaka anamuheshimu kama baba wakati ndiye aliyemuulia wazazi wake.....LEGE akili hazifanyi kazi please come
 
LEGEEE pls do something tumekuwa addicted
 
Dah kwa hii story Dany hakuna anachofanya anacheza cheza tu Mathew anafanya kazi yake kwa umakini sana na hana mchezo nimeikubaliii LEGE wewe ni mkalii
 
Hii story siitaki tena lege kaanza maringo ngoja niamini mh jaji alikua prezidaaa na alimuoa peniela kwa sasa namtaka ilu tu bas
 
Dah kwa hii story Dany hakuna anachofanya anacheza cheza tu Mathew anafanya kazi yake kwa umakini sana na hana mchezo nimeikubaliii LEGE wewe ni mkalii
Dany hovyo tu...mtunzi mvivu...
Ukiisoma hii huwezi kurudi kule tena.
 
poleni sana wakuu nilikuwa nashida kidogo na halotel jana wakanikatili kwenye network basi ikawa kimyaa.tunaliendeleza week end hii hakuna kutoka home wala kuchepuka. ni mwendo wa peniele tuu
 
poleni sana wakuu nilikuwa nashida kidogo na halotel jana wakanikatili kwenye network basi ikawa kimyaa.tunaliendeleza week end hii hakuna kutoka home wala kuchepuka. ni mwendo wa peniele tuu

Tupe episode kama 4 za kupunguza machungu.
 
poleni sana wakuu nilikuwa nashida kidogo na halotel jana wakanikatili kwenye network basi ikawa kimyaa.tunaliendeleza week end hii hakuna kutoka home wala kuchepuka. ni mwendo wa peniele tuu
pole LEGE
 
Back
Top Bottom