Ilu
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 1,198
- 1,648
LEGE kwa kweli katukomeshaaa...halafu naanza kuona post za hatari mara contant za anaeuza hz stori sasa cjui biashara imeingilia katii. Itabidi tumteke kama Josh alivyofanya kwa wakili msomi JasonNjoo tupange mpango wa kumteka lege