Shikamoo inaoneka we ni babuDuh
Hii ndiyo hadithi sasa....inanikumbusha miaka ya 80-90 wakati tukiwa na watunzi mahiri wa riwaya zinazomake sense na sio wa siku hizi wa mwendokasi
Mnaokumbuka kina Ben Mtobwa, Elvis Musiba na wengineo. huu ni mzigo mwandishi ameonyesha weledi mkubwa wa lugha, kupangilia matukio vizuri na hivyo kuwa na mantiki. Heko sana kwake
LEGE kwa niaba ya kisukari na wengine tunakushukuru kwa huu mzigo mzito usichoke kutupia
Lini sikulalaaMbona ww pia ulikua haujalala
Jana usikuLini sikulalaa
Kwa DeusCaptein amos ni double agent aisee...!!....selikarini yumo.na sc 41 kunamuhusu pia....wapi ndipo anatumikia kwa uaminifu....???...
Khaa nililala shunie hebu Nipe namba yako plzz[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Jana usiku
Ndio utakapoyakubali maandiko mapenzi na kazi vitu viwili tofauti.Nakubaliana na ww kwa sababu naona methew hana mpango wa kumtafuna Anitha pamoja na ukaribu wao
Yes ni Double Agent but i believe yuko kwa Deus Zaidi....hopeful.Thats how i think sema pesa ni mwanaharam bwanaCaptein amos ni double agent aisee...!!....selikarini yumo.na sc 41 kunamuhusu pia....wapi ndipo anatumikia kwa uaminifu....???...
Mathew mpaka sasa hana demuπππ
Sina simu [emoji30]Khaa nililala shunie hebu Nipe namba yako plzz[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni.....John ni mtu mwema sana bc tu shetani almtawala...me namhurumia
Captein amos ni double agent aisee...!!....selikarini yumo.na sc 41 kunamuhusu pia....wapi ndipo anatumikia kwa uaminifu....???...
Nahisi kwa rais mstaafu atakuwa committed zaidSio double Ni triple,yuko serikali,sc 41 na lile kundi la Rais mstaafu.
Nahisi kwa rais mstaafu atakuwa committed zaid