Peniela (Story ya kijasusi)

Peniela (Story ya kijasusi)

Duh

Hii ndiyo hadithi sasa....inanikumbusha miaka ya 80-90 wakati tukiwa na watunzi mahiri wa riwaya zinazomake sense na sio wa siku hizi wa mwendokasi

Mnaokumbuka kina Ben Mtobwa, Elvis Musiba na wengineo. huu ni mzigo mwandishi ameonyesha weledi mkubwa wa lugha, kupangilia matukio vizuri na hivyo kuwa na mantiki. Heko sana kwake

LEGE kwa niaba ya kisukari na wengine tunakushukuru kwa huu mzigo mzito usichoke kutupia
Shikamoo inaoneka we ni babu
 
Nakubaliana na ww kwa sababu naona methew hana mpango wa kumtafuna Anitha pamoja na ukaribu wao
Ndio utakapoyakubali maandiko mapenzi na kazi vitu viwili tofauti.
Kama kwa "Samson na Delila"
 
Captein amos ni double agent aisee...!!....selikarini yumo.na sc 41 kunamuhusu pia....wapi ndipo anatumikia kwa uaminifu....???...
Yes ni Double Agent but i believe yuko kwa Deus Zaidi....hopeful.Thats how i think sema pesa ni mwanaharam bwana
 
Mathew Kiboko alimbana mtu ngunguri kama John akaongea dah jamaa nomaa alafu anaconfidence ya kufa mtu.
 
Jaji Elibariki anaonekana ana kismati...Penieli kafa kaoza dadadeki.
 
Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni.....John ni mtu mwema sana bc tu shetani almtawala...me namhurumia
 
Laptop la dada mdukuzi
 

Attachments

  • 1474118719968.jpg
    1474118719968.jpg
    4.6 KB · Views: 447
Back
Top Bottom