Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
Shikamoo inaoneka we ni babuDuh
Hii ndiyo hadithi sasa....inanikumbusha miaka ya 80-90 wakati tukiwa na watunzi mahiri wa riwaya zinazomake sense na sio wa siku hizi wa mwendokasi
Mnaokumbuka kina Ben Mtobwa, Elvis Musiba na wengineo. huu ni mzigo mwandishi ameonyesha weledi mkubwa wa lugha, kupangilia matukio vizuri na hivyo kuwa na mantiki. Heko sana kwake
LEGE kwa niaba ya kisukari na wengine tunakushukuru kwa huu mzigo mzito usichoke kutupia