Consigliere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 12,037
- 24,637
Ingekua katika dunia halisi, mimi pia ningekua katibya walioruka viunzi vyake.mpaka sasa ni mwanaume mmoja 2 aliyeruka kihunzi cha peniela?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ingekua katika dunia halisi, mimi pia ningekua katibya walioruka viunzi vyake.mpaka sasa ni mwanaume mmoja 2 aliyeruka kihunzi cha peniela?
Yeye kila mwanaume hajawahi kuona mfano wake hapa duniani.Peniela anaanza kunikera sasa. Yeye kila siku anagongwa na watu tofauti lakini Eli hata haoni wivu
Yeye kamaliza.karibia wahusika wote muhimu wa mission....halafu anajifanya ana wivu na eli kumgonga naomi teja....Peniela anaanza kunikera sasa. Yeye kila siku anagongwa na watu tofauti lakini Eli hata haoni wivu
Nani LEGEmpaka sasa ni mwanaume mmoja 2 aliyeruka kihunzi cha peniela?
mida mida wakuu nitabwaga nyingine kama 2 hivi zakulalia
Penny kicheche sana.....pamoja kwamba ni mzuri kazini..... [emoji57][emoji57][emoji57]Sijapenda kitendo wanachotaka kufanya peniela na mathew uyu mwanamke zaidi ya shetani
Nahisi Mathew atamchomoleaSijapenda kitendo wanachotaka kufanya peniela na mathew uyu mwanamke zaidi ya shetani
Mwaga hata tano jameniiiimida mida wakuu nitabwaga nyingine kama 2 hivi zakulalia
Zaidi ya kicheche mpk anakera umalaya gani anaoletaPenny kicheche sana.....pamoja kwamba ni mzuri kazini..... [emoji57][emoji57][emoji57]
Ukichanganya na uasili wa wanawake uwezo wao wa kuchanganya ukatili na huruma kwa wakati mmoja..... !!.. Mwaulaya aliliona hilo. Ndio maana alimtunza sana.... Na kwa udhaifu wa wanaume na wanawake wazuri... Lazima awe anapata information's sana.....kalelewa na kufundishwa kazi hiyo ikiwa na pamoja kuitumia papuchi yake kukamilisha mission anazokutana nazo
Hawezi na ana ukame wa miaka na miakaNahisi Mathew atamchomolea
Hawezi na ana ukame wa miaka na miakaNahisi Mathew atamchomolea