Peniela (Story ya kijasusi)

LEGE tunashukuru sanaaa lakini tupatie time zako za kurusha tusishinde tunalia humu
 
WAKUU TUFANYE HIVI 2 KAMILI HAIFIKI NITAKUWA NIMEWEKA MZIGO NA KUIMALIZA KABISA SEASON YA 3.

natamani sana nibwage mzigo uishe lkn mambo yananisonga kidogo lkn sio mbaya maana kwa siku lazima zifike sehem 5 nazaidi. ningesema niweke kila siku sehem 1 tungekesha
 
pouw kaka ht ukianza kbis na season y 4 co vbaya
 
Eti uso kwa uso dr.joshua na chizibariki....coming soon... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]..... Halafu rose na joshua lao si moja ..!!.. Na rose ndio agent wa deal ya package..... Ila kuna supprise kutoka kwa chizi bariki japo... Kama ingalikuwa tunapiga kura za kuwaatoa washiriki...??.. Elibariki angekuwa anaongoza kwa kura za kufungasha virago wakati huu....
 
Huyu Jaji wa Mahakama Kuu hana akili za kupambanua mambo, eti anataka kumuangukia Dr. Joshua? Hajui Joshua ana hasira za kifo cha binti yake.
 
Well said Kaizer
 
Well said mkuu, ni suala la muda tu. Nadhani Sterling hasa wa hii kitu atakua ni Mathew tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…