Peniela (Story ya kijasusi)

Peniela (Story ya kijasusi)

Ha ha haaaa....yaani mkuu upo tayari kuitosa kwa ajili ya kiinglishi!?
Sasa nitafanyaje mkuu, naunaona "the problem the language even in the white house". Hapa nilipo sina hata hiyo kamusi mkuu, na hata ningekua nayo, basi kuna kukesha nimeshika kamusi badala ya Biblia na episode moja nikajikuta naimaliza mwezi mzima. Mwambie chonde chonde, aendelee kutufanyia utu na u binadamu. Hata kama ni kifurushi tutamtumia.
 
Sasa nitafanyaje mkuu, naunaona "the problem the language even in the white house". Hapa nilipo sina hata hiyo kamusi mkuu, na hata ningekua nayo, basi kuna kukesha nimeshika kamusi badala ya Biblia na episode moja nikajikuta naimaliza mwezi mzima. Mwambie chonde chonde, aendelee kutufanyia utu na u binadamu. Hata kama ni kifurushi tutamtumia.
Ha ha ha haaaaa!!![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Namtafuta dactari wa jeshi aliishia wapi?
Kwanini msiba wake haujawa inshu serikalini?
Hawajajua adi Leo au
 
Back
Top Bottom